Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

Napenda kufahamu jinsi wafanyabiashara wanavyonunua mbuzi toka kwenye minada mbalimbali eneo la Gairo, Kilindi, Handeni , Kilosa na Dodoma. Kisha kuwasafirishq kupeleka kwenye kiwanda cha Nyama...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Nikikwambia kuwa unaweza kumiliki mashine yenye uwezo wa kukuletea wateja kwenye biashara yako utaniamini? Wateja wenye pesa mkononi tayari kununua bidhaa/huduma unazotoa? Wengi nikiwaambia hili...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Just imagine milioni 700+ afu unapakia abiria 50 kwa elfu 50 Dar Kahama, unalipa wafanyakazi, engine kubwa inanyonya mafuta kama walevi wa KASKAZINI. Bado ukodi ofisi, trafiki, Latra etc...
12 Reactions
78 Replies
4K Views
  • Redirect
Wakuu Habari, Wakongwe wa biashara tunaomba uzoefu wangu hapa:- Now days kuna bookeeping and record keeping apps and software nyingi sana lakini kwanini tulija madukani kwenu hatuoni mukizitumia...
0 Reactions
Replies
Views
Yaani VICOBA ili kujikwamua katika hili na lile...ni wazo tu waungwana....au ninyi mwafikirije?
8 Reactions
49 Replies
591 Views
Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance...
82 Reactions
159 Replies
11K Views
MBUNGE SANTIEL KIRUMBA Ataka Serikali Kutatua Changamoto ya Ajira Kwenye Miradi ya Kimkakati ya SGR Mkoani Shinyanga Swali la Mhe. Santiel Eric Kirumba, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga...
0 Reactions
0 Replies
42 Views
Habarini za Asubuhi wakuu humu ndani, bila shaka mmeamka poa na kwa wale ambao wanaumwa basi namuomba Mungu awaponye kwa uwezo wake Aamin ! Leo nimekuja na hii Biashara nzuri ya kuanzisha YouTube...
1 Reactions
10 Replies
407 Views
Habar, hii taarfa nilishawai kuandikq siku 3 au 4 zilizo pita Sasa baada ya watu wengi kutoelewa na kuisi vibaya nmerudinna kuweka KILA kitu wazi fursa zinazopatika kwenye msimu huu wa mavuno ya...
1 Reactions
2 Replies
115 Views
Ndo biashara ya sasa inayokiki mjini, baada ya kupigwa marufuku mifuko ya plastic, thread hii ni ya kutoa michongo / fursa namna gani unaweza piga pesa kwa kuikamatia hii fursa. Mpaka sasa nmeona...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wajameni eeh, Nimebahatika "kupata" mahala ka mtaji. Ni kiasi cha Shs. milioni kumi tu, (10,000,000/=) za Kitanzania. Nipeni mapendekezo nizi invest wapi, kivipi na matarajio ya faida (i.e...
36 Reactions
2K Replies
564K Views
Mteja ni mfalme ila kuna wakati naye huzingua na kujikuta kajivua au kuvuliwa ufalme wake na kuonekana kenge tu. Sababu zinaweza kuwa hizi. 1. Mteja anayeona duka linafanya SALE ila bila aibu...
9 Reactions
38 Replies
1K Views
✨ Your Trading Journey Begins Here ✨ Are you ready to dive into the world of Forex and come out a trading champ? 🏆 BIG BOYS CLUB INVESTMENTS is offering a FREE Forex course that you can't afford...
2 Reactions
53 Replies
954 Views
Wadau nimekua na idea ya biashara ila naombeni, niwashirikishe mlitafakari kwangu naona linaweza kulipa sana!!. Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI...
2 Reactions
30 Replies
804 Views
Habari za wakati huu; Ni matumaini yangu kwamba mnaendelea salama na shughuli za ujenzi wa Taifa. Kwanza kabisa nianza kwa kuanza kuwapongeza wote ambao mnapambania Biasha zenu.Mungu awasimamie...
3 Reactions
5 Replies
192 Views
Naomba kufahamishwa kodi ya basi jipya la umeme toka China la thamani ya dola za kimarekani 6000 nitalipa sh ngapi.. Na ninyi watu wa mazingira je?mwaweza kunipa kibali cha unafuu niletapo basi...
0 Reactions
3 Replies
140 Views
Miaka mitano iliopita nilifungua website ya kuagiza bidhaa mbalimbali kwanjia ya mtandao bahatimbaya sikupata wateja wakutosha nilikutana na changamoto nyingi sana 1. Watu wengi niwaoga kutapeliwa...
10 Reactions
151 Replies
6K Views
Nimeandika toleo hile lengo tutanuane kimawazo 1.UTT AMIS ni mfuko wa uwekezaji ambao unapata gawio la kila mwezi makadirio 400,000/= mfuko wa bondfund -hakuna chochote cha kusimamia wala...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri...
117 Reactions
3K Replies
509K Views
Kwa kiingereza inaitwa CUT THROAT COMPETITION (Ushindani wa kuchinjana makoromeo) Ni aidha jirani biashara imemshinda anaanza kuuza kwa bei za chini amalize mzigo Mbinu ya kukuibia wateja kwa...
10 Reactions
39 Replies
2K Views
Back
Top Bottom