amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 738
- 1,288
Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.
Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke aliridhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
FUNZO;
Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.
Update;
Now Salio la UTT linasoma 30m+ malengo ni kuendelea kuwekeza until nifike 100m hapo ndipo nahisi nitaanza kupata financial freedom.
Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke aliridhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
- Watoto bado wadogo under 7.
- Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.
FUNZO;
Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.
Update;
Now Salio la UTT linasoma 30m+ malengo ni kuendelea kuwekeza until nifike 100m hapo ndipo nahisi nitaanza kupata financial freedom.