Hermanx
Senior Member
- Sep 22, 2022
- 130
- 249
Wadau nimekua na idea ya biashara ila naombeni, niwashirikishe mlitafakari kwangu naona linaweza kulipa sana!!.
Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI
Tufanye hivi kama upo maeneo ya biashara, chuo, maofisini au popote ambapo kuna watu wenye matumizi ya bando la data, fanya hivi uweze kujipatia kipato ambacho risk ya kupoteza hela ni ndogo sana na faida ni kubwa.
Chukua router ambayo ina unapewa na bando unlimited ambayo tunaiuza kwa sh. Laki moja tu. router hii kila mwezi utakua unalipia laki moja, inauwezo wa KUCONNECT watu 65 kwa wakati mmoja.
so wewe ukishainunua waambie watu kua utakua unawakonnect free WiFi kwa mwezi wanakulipa sh. 10k tu.
Mfano kwenye eneo lako ukipata watu wa uhakika 20 tuu unakua umepata faida ya laki moja kwa mwezi na pia wewe umepata faida ya kua online kila wakati. Na hii nimewekea kiwango cha chini sana ila unaweza hata kupata watu 40 na kuendelea kutokana na eneo ulilopo.
Kama uhitaji utakua mkubwa zaidi unaweza ukachukua router kubwa zaidi unayopewa na speed kubwa zaid, mfano ipo ya 150k, na 200k
SOKO:
Soko ni la uhakika mana watumiaji wa bando la data ni wengi, hakuna mtu utakayemuambia atoe 10k kisha awe anatumia data free mwezi mzima akakataa. Kama huamini jaribu kifanya utafiti kidogo tu, waulize watu waliokuzunguka kua; "unaonaje nikikupa bando la data mwezi mzima alafu uwe unanilipa elfu kumi?" Majibu utakayopata yatakupa picha halisi ya faidaunayoenda kupata. Pia speed ya mtandao kwenye router hizo ni kubwa hivyo itawavutia watu wengi.
UTAPATA WAPI HICHO KIFAA CHA WI-FI(ROUTER)?
Router hizo nitakuuzia mimi na NAKULETEA HADI ULIPO POPOTE TANZANIA FREE DELIVERY.
Malipo ya kifaa yanalipiwa moja kwa moja kwenda tig0 kwa utaratibu nitakaokupatia, utaratibu huo wa kufanya malipo ni utaratibu rasmi, unaweza hata kuuliza watoa huduma kujiridhisha, pia kama tukielewana vizuri unaweza hata kulipia baada ya wewe kupata huduma kamili. ukiwa na swali lolote usisite kuuliza nikupe ufafanuzi!
NICHEKI TUANZE BIASHARA: 0717700921
Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI
Tufanye hivi kama upo maeneo ya biashara, chuo, maofisini au popote ambapo kuna watu wenye matumizi ya bando la data, fanya hivi uweze kujipatia kipato ambacho risk ya kupoteza hela ni ndogo sana na faida ni kubwa.
Chukua router ambayo ina unapewa na bando unlimited ambayo tunaiuza kwa sh. Laki moja tu. router hii kila mwezi utakua unalipia laki moja, inauwezo wa KUCONNECT watu 65 kwa wakati mmoja.
so wewe ukishainunua waambie watu kua utakua unawakonnect free WiFi kwa mwezi wanakulipa sh. 10k tu.
Mfano kwenye eneo lako ukipata watu wa uhakika 20 tuu unakua umepata faida ya laki moja kwa mwezi na pia wewe umepata faida ya kua online kila wakati. Na hii nimewekea kiwango cha chini sana ila unaweza hata kupata watu 40 na kuendelea kutokana na eneo ulilopo.
Kama uhitaji utakua mkubwa zaidi unaweza ukachukua router kubwa zaidi unayopewa na speed kubwa zaid, mfano ipo ya 150k, na 200k
SOKO:
Soko ni la uhakika mana watumiaji wa bando la data ni wengi, hakuna mtu utakayemuambia atoe 10k kisha awe anatumia data free mwezi mzima akakataa. Kama huamini jaribu kifanya utafiti kidogo tu, waulize watu waliokuzunguka kua; "unaonaje nikikupa bando la data mwezi mzima alafu uwe unanilipa elfu kumi?" Majibu utakayopata yatakupa picha halisi ya faidaunayoenda kupata. Pia speed ya mtandao kwenye router hizo ni kubwa hivyo itawavutia watu wengi.
UTAPATA WAPI HICHO KIFAA CHA WI-FI(ROUTER)?
Router hizo nitakuuzia mimi na NAKULETEA HADI ULIPO POPOTE TANZANIA FREE DELIVERY.
Malipo ya kifaa yanalipiwa moja kwa moja kwenda tig0 kwa utaratibu nitakaokupatia, utaratibu huo wa kufanya malipo ni utaratibu rasmi, unaweza hata kuuliza watoa huduma kujiridhisha, pia kama tukielewana vizuri unaweza hata kulipia baada ya wewe kupata huduma kamili. ukiwa na swali lolote usisite kuuliza nikupe ufafanuzi!
NICHEKI TUANZE BIASHARA: 0717700921