Kipi Bora kuwekeza Mil 50? UTT AMIS au kujenga nyumba?

WANGAMBA

Member
Jul 21, 2022
64
95
Nimeandika toleo hile lengo tutanuane kimawazo
1.UTT AMIS ni mfuko wa uwekezaji ambao unapata gawio la kila mwezi makadirio 400,000/= mfuko wa bondfund
-hakuna chochote cha kusimamia wala malalamiko ya kutatua kama migogoro ya wapangaji
2.NYUMBA ni uwekezaji mzuri sana kama ukipata sehemu inayokua thamani maana sio maeneo yote yanakua thamani hata wajukuu mbeleni wakapiga bingo
-migogoro ya wapangaji ni pasua kichwa
 
Mwanza ni jiji linaokuwa kwa kasi sana. Wafanyabiashara kutoka Uganda, Rwanda, Burundi, DRC, Kenya wamejaa pale.
Madini, mazao, samaki ardhi nk.

Inategemeana na uwezo wako wa kuchacharika. 400k ni ni kama milioni tano kwa mwaka. Ukiangalia inflation, usumbufu wa ujenzi na usimamizi inabidi utafakari.

Sehemu ya biashara labda ingekulipa zaidi. Usimamizi ni shida.
 
Nimeandika toleo hile lengo tutanuane kimawazo
1.UTT AMIS ni mfuko wa uwekezaji ambao unapata gawio la kila mwezi makadirio 400,000/= mfuko wa bondfund
-hakuna chochote cha kusimamia wala malalamiko ya kutatua kama migogoro ya wapangaji
2.NYUMBA ni uwekezaji mzuri sana kama ukipata sehemu inayokua thamani maana sio maeneo yote yanakua thamani hata wajukuu mbeleni wakapiga bingo
-migogoro ya wapangaji ni pasua kichwa
Mbona ushahukumu kabisa
 
Hisa kushuka dhamani ni pasua kichwa mda mwingine though capital yako inaweza kuwa salama ila kale kaujinga ka mwanadamu ka kutaka kuona ulichowekeza physically kana raha yake
 
Nimeandika toleo hile lengo tutanuane kimawazo
1.UTT AMIS ni mfuko wa uwekezaji ambao unapata gawio la kila mwezi makadirio 400,000/= mfuko wa bondfund
-hakuna chochote cha kusimamia wala malalamiko ya kutatua kama migogoro ya wapangaji
2.NYUMBA ni uwekezaji mzuri sana kama ukipata sehemu inayokua thamani maana sio maeneo yote yanakua thamani hata wajukuu mbeleni wakapiga bingo
-migogoro ya wapangaji ni pasua kichwa
Hii kitu inaitwa UTT AMIS hii.... mh. Siwajui na wala sijawekeza kwao ila tu roho yangu huwa inadunda..
 
Nimeandika toleo hile lengo tutanuane kimawazo
1.UTT AMIS ni mfuko wa uwekezaji ambao unapata gawio la kila mwezi makadirio 400,000/= mfuko wa bondfund
-hakuna chochote cha kusimamia wala malalamiko ya kutatua kama migogoro ya wapangaji
2.NYUMBA ni uwekezaji mzuri sana kama ukipata sehemu inayokua thamani maana sio maeneo yote yanakua thamani hata wajukuu mbeleni wakapiga bingo
-migogoro ya wapangaji ni pasua kichwa
Ardhi inapanda thamani Kila siku hata kama nyumba haitakulioa vizuri bado itakuwa ni hazina yako mbeleni
 
Endeleeni wenye fikra za kitajiri. Kila la kheri. BTW wabongo elimu yetu inaturuhusu kukariri mambo yalivyo na kuyasifia! Ukihoji kutaka kujua au kuonyesha mashaka unaitwa mpinzani!
Tumewekeza miaka mingapi na kika tunapohitaji fedha tunapata na bado tunawekeza,,,kwanza unaijua UTT,,,unataka ukiwa mjinga kila mtu awe mjinga kama wewe.Nyie ndo wale kila kitu ni risk....wapi umehoji ukakosa kuelekezwa wewe
 
Endeleeni wenye fikra za kitajiri. Kila la kheri. BTW wabongo elimu yetu inaturuhusu kukariri mambo yalivyo na kuyasifia! Ukihoji kutaka kujua au kuonyesha mashaka unaitwa mpinzani!
Inakuruhusu wewe kukariri siyo kila mtu,,,na mimi sijasoma bongo kwa taarifa yako.Acha kutishia watu kwenye kitu huba uelewa nacho na hujawah kujaribu na hujajifunza.unarukia tuu naamini hujawah jifunza wala kuisoma ni nini na inafamyaje kazi ila unarukia kutisha watu,,,fungua akili UTT wala haihitaji elimu kubwa sana wala kiwango kikubwa kuanzia kuwekeza weka hata 50,000 bas kwa mwaka mzima usiweke kitu uone ndo uje kuja kulalamika hapa.Ukishindwa hiyo weka hata 10,000 basi ndo useme moyo wako una dunda
 
Inakuruhusu wewe kukariri siyo kila mtu,,,na mimi sijasoma bongo kwa taarifa yako.Acha kutishia watu kwenye kitu huba uelewa nacho na hujawah kujaribu na hujajifunza.unarukia tuu naamini hujawah jifunza wala kuisoma ni nini na inafamyaje kazi ila unarukia kutisha watu,,,fungua akili UTT wala haihitaji elimu kubwa sana wala kiwango kikubwa kuanzia kuwekeza weka hata 50,000 bas kwa mwaka mzima usiweke kitu uone ndo uje kuja kulalamika hapa.Ukishindwa hiyo weka hata 10,000 basi ndo useme moyo wako una dunda
Hakika wewe hata nje ya mkoa uliozaliwa hujawahi kutoka. Hakuna namna mtu mwenye exposure akaandika kitu ulichoandika.
 
Tumewekeza miaka mingapi na kika tunapohitaji fedha tunapata na bado tunawekeza,,,kwanza unaijua UTT,,,unataka ukiwa mjinga kila mtu awe mjinga kama wewe.Nyie ndo wale kila kitu ni risk....wapi umehoji ukakosa kuelekezwa wewe
Sijakukataza kuwekeza. Totaly you have no clue what I was asking about! Asking for more information about the investment is a reasonable part of conducting due diligence.
 
Back
Top Bottom