Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

  • Sticky
Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie. Natanguliza shukrani zangu. BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU: UTANGULIZI Kuanzia...
27 Reactions
737 Replies
394K Views
  • Sticky
Habari wakuu, Ni dhahiri kuwa Jukwaa letu la Biashara limesheheni mada nyingi zenye miongozo kwa wanaoanza biashara na hata wanaohitaji msaada kwa biashara zao. Kutokana na mada nyingi kuwa na...
22 Reactions
370 Replies
198K Views
  • Sticky
IDEA ya Biashara ni moja ya mambo yanayo waumiza watu wengi sana, Na mara nyingi wazo la biashara linahitaji utafiti wa kina ili kuja na wazo lenye tija kwako na kwa jamii nzima. HIZI NI MOJA YA...
318 Reactions
625 Replies
368K Views
  • Sticky
1. Hisa ni nini? Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa moja inawakilisha asilimia ndogo ya umiliki katika kampuni. Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji anamiliki hisa...
32 Reactions
451 Replies
227K Views
  • Sticky
Imekuwa ni shida sana kwa watanzania wengi kununua bidhaaa katika masoko haya ya mtandaoni kwani mengi huwa hayakupi fursa ya kutumiwa mzigo wako moja kwa moja Tanzania. Baadhi ya thread...
130 Reactions
2K Replies
382K Views
  • Closed
  • Sticky
Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya...
20 Reactions
62 Replies
77K Views
Wakuu, Nyumba thamani yake ni milion 12, vyumba vitatu na kimoja cha nje. Imefanyiwa wiring bado umeme lakini vyote umeme na maji vyote vipo jiran tu nyumba ya pili ni kuvuta tu. Gari nalotaka...
5 Reactions
74 Replies
971 Views
Just imagine milioni 700+ afu unapakia abiria 50 kwa elfu 50 Dar Kahama, unalipa wafanyakazi, engine kubwa inanyonya mafuta kama walevi wa KASKAZINI. Bado ukodi ofisi, trafiki, Latra etc...
12 Reactions
77 Replies
4K Views
Nataka kulinda shamba langu kwa kupandwa miti... Naulizia bei ya miti ambayo ni affordable naweza kupanda morogoro
0 Reactions
0 Replies
31 Views
MBUNGE SANTIEL KIRUMBA Ataka Serikali Kutatua Changamoto ya Ajira Kwenye Miradi ya Kimkakati ya SGR Mkoani Shinyanga Swali la Mhe. Santiel Eric Kirumba, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga...
0 Reactions
0 Replies
28 Views
Habarini za Asubuhi wakuu humu ndani, bila shaka mmeamka poa na kwa wale ambao wanaumwa basi namuomba Mungu awaponye kwa uwezo wake Aamin ! Leo nimekuja na hii Biashara nzuri ya kuanzisha YouTube...
1 Reactions
10 Replies
366 Views
Nikikwambia kuwa unaweza kumiliki mashine yenye uwezo wa kukuletea wateja kwenye biashara yako utaniamini? Wateja wenye pesa mkononi tayari kununua bidhaa/huduma unazotoa? Wengi nikiwaambia hili...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Habar, hii taarfa nilishawai kuandikq siku 3 au 4 zilizo pita Sasa baada ya watu wengi kutoelewa na kuisi vibaya nmerudinna kuweka KILA kitu wazi fursa zinazopatika kwenye msimu huu wa mavuno ya...
1 Reactions
2 Replies
73 Views
Habari wakuu nauza Mahindi! Gunia moja la kilo 100 ni shiliingi 50,000. Yapo magunia 150. Mawasiliano +255 687 391 885
0 Reactions
19 Replies
397 Views
Habari wakuu? Wanasema ndege wenye manyoya ya kufanana huruka pamoja. Na mimi pia naamini kwenye mzunguko wa watu wangu wa karibu nikiwa na watu wanaofanya kitu kama changu itanisaidia kukua...
1 Reactions
8 Replies
605 Views
Ndo biashara ya sasa inayokiki mjini, baada ya kupigwa marufuku mifuko ya plastic, thread hii ni ya kutoa michongo / fursa namna gani unaweza piga pesa kwa kuikamatia hii fursa. Mpaka sasa nmeona...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wajameni eeh, Nimebahatika "kupata" mahala ka mtaji. Ni kiasi cha Shs. milioni kumi tu, (10,000,000/=) za Kitanzania. Nipeni mapendekezo nizi invest wapi, kivipi na matarajio ya faida (i.e...
36 Reactions
2K Replies
563K Views
Mashine ya kumenya viazi na mihogo, imara na yenye ifanisi wa hali ya juu sana. Bei ya kutupa,mwenye kujua thamani yake haulizi mara 2. Nawakaribisha tufanye biashara. Bei 900K. Nipigie 0625697394
3 Reactions
8 Replies
241 Views
Mteja ni mfalme ila kuna wakati naye huzingua na kujikuta kajivua au kuvuliwa ufalme wake na kuonekana kenge tu. Sababu zinaweza kuwa hizi. 1. Mteja anayeona duka linafanya SALE ila bila aibu...
9 Reactions
38 Replies
738 Views
Mojawapo ya kosa kubwa sana la kiufundi kwa vijana wengi wadogo wanaoanza biashara ni kuwekeza pesa nyingi kwenye vitu ambavyo havirudishi pesa kwa haraka au pengine havirudishi kabisa. Vijana...
28 Reactions
46 Replies
1K Views
Kwa hapa Dar, je naweza kufungua butcher la samaki wabichi sato, sangara n.K kutoka Mwanza ? Kwa mtaji wa 2 milioni. Kwa wazoefu na soko la SAMAKI na usafiri pia Kutoka MWANZA to Dar hiyo pesa...
5 Reactions
30 Replies
510 Views
✨ Your Trading Journey Begins Here ✨ Are you ready to dive into the world of Forex and come out a trading champ? 🏆 BIG BOYS CLUB INVESTMENTS is offering a FREE Forex course that you can't afford...
2 Reactions
53 Replies
921 Views
Habari wanajamvi.. Nimejaribu kutembelea miji, manispaa, na majiji mbalimbali kwakweli kuna utitiri mkubwa sana kwa sasa wa maduka yanayouza jezi mbalimbali za timu za mpira wa miguu. Kwa...
6 Reactions
103 Replies
3K Views
Wadau nimekua na idea ya biashara ila naombeni, niwashirikishe mlitafakari kwangu naona linaweza kulipa sana!!. Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI...
2 Reactions
30 Replies
772 Views
Habari za wakati huu; Ni matumaini yangu kwamba mnaendelea salama na shughuli za ujenzi wa Taifa. Kwanza kabisa nianza kwa kuanza kuwapongeza wote ambao mnapambania Biasha zenu.Mungu awasimamie...
3 Reactions
5 Replies
154 Views
Naomba kufahamishwa kodi ya basi jipya la umeme toka China la thamani ya dola za kimarekani 6000 nitalipa sh ngapi.. Na ninyi watu wa mazingira je?mwaweza kunipa kibali cha unafuu niletapo basi...
0 Reactions
3 Replies
130 Views
Back
Top Bottom