mabeberu

  1. GoldDhahabu

    Kuwaita Wazungu Mabeberu si kujitukana?

    Beberu ni mbuzi dume. Kinyume cha beberu ni mbuzi jike. Ukitamka tu mbuzi inafahamika unamzungumzia mbuzi jike. Viongozi wa Tanzania, hasa wa nrengo wa kijamaa, wamekuwa na kawaida ya kuziita nchi za Magharibi MABEBERU! Kea kuwaita Wazungu Mabeberu, wao watakuwa wamejiweka kundi gani? Nao...
  2. chiembe

    Haji Manara hajui kufuga ndevu ni Sunna na amrisho la Mtume (S.AW)? Afananisha wanaofuga ndevu na mabeberu ya kihutu

    Haji Manara mi mwalimu wa madrassa na pia ameenda Umra, leo katika mitandao yake ya kijamii, amefananisha kufuga ndevu kwamba ni kufanana na beberu la kihutu. Hii ni sawa ndugu zangu waislamu? Binafsi naona haya ni makufuru ya hali ya juu na kuutukana uislam. Kufuga ndevu ni moja ya maamrisho...
  3. Boss la DP World

    Kwanini waliitwa mabeberu?

    Wakuu kuna anayejua chanzo kilicho pelekea wakoloni kuitwa mabeberu? Naomba mnipe maelezo ya kina maana binafsi sijaelewa mpaka sasa. vi
  4. R

    Mbinu ya uhaini imegoma; mbinu gani inafuata kuwanyamazisha waliotumwa na MABEBERU?

    Serikali imejaribu kuingia kwenye kuuza Bandari kwa kuwanyamazisha watu kupitia uhaini ila ni kama vile wamewasha moto kimataifa Wanaoungwa mkono na MABEBERU wanaonekana kuzidi kuwa na nguvu huku watetezi wa DP world wakizidi kunyamaza kwa kasi. Hakuna mbunge wala waziri ambaye anafungua mkono...
  5. M

    Wananchi wa Niger waunga mkono mapinduzi ya kijeshi. Wanasisa wa Kiafrika wanakuwa vibaraka wa mabeberu na kuwasahau wananchi

    Katika hali ya kawaida, ungetegemea wananchi kutokuunga mkono mapinduzi dhidi ya viongozi wao waliowachagua wenyewe. Tatizo ni kwamba baada ya kuchaguliwa viongozi huamua kuwa vibaraka wa mabeberu wa nchi za magharibi na kuwasahau wananchi waliowaweka madarakani. Sasa Rais aliyepinduliwa...
  6. M

    Haya machafuko yaliyoko Ufaransa kama yangetokea China au Urusi mabeberu wangeshangilia sana, kama walivyoshangilia uasi wa Wagner

    Ufaransa kuna machafuko makubwa ya, maandamano, yaliyotokana na polisi kumwua kwa risasi mtoto wa miaka 17. Usafiri wa mabasi na treni umesitishwa. Fujo usiku kucha. Laiti kama haya yangetokea China au Urusi, mabeberu wa nchi za magharibi wangefurahia sana na kudai utawala wa "mabavu" umeishiwa...
  7. B

    Kwa Afrika ukiona Chama au Kiongozi amedumu madarakani ni kwa sababu anauza maliasili za nchi kwa mabeberu

    Nihakikishie ulinzi na kupita kwenye uchaguzi tutayajenga. Ndio sababu hata watawale miaka 1000 faida zitokanazo na Rasilimali za Nchi hamtaziona kamwe. Mikataba ya Siri, vikao vya siri, chaguzi haramu, mikopo ya kumwaga. Ili kuepuka mtego huo Kiongozi au Chama chake ni lazima kichague njia...
  8. R

    Eti Magufuli alipigana vita na mabeberu, vita ya uchumi, ni vita gani alishinda dhidi ya Western Impelialism?

    Propaganda za akina johnthebaptist and Co. Ltd eti ni shujaa. Ushujaa wake unatoka wapi? eti alipigana vita na mabebebru, alipigana vita ipi na alishinda ipi? Vita gani, Ya Uchumi, kuna bebebru hata mmoja aliondoka akaacha miradi yake? Sana sana we are paying dearly kwa kukurupuka kwake...
  9. B

    Huyu ndiyo Yoweri Kaguta Mseven: Mabeberu wanamjua

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameurudisha bungeni muswada wa sheria ya sheria ya kupinga mapenzi ya jinsia moja nchini humo. Msemaji wa Rais, Bw.Sandor Walusimbi amesema, Rais Museveni amependekeza marekebisho ya adhabu kwenye muswada huo kabla hajausaini. Kwa sasa muswada huo unatoa adhabu ya...
  10. NetMaster

    Nini kimempata Rais Museveni, kwanini ameomba sheria ya kubana mapenzi ya jinsia moja ifanyiwe marekebisho, Mabeberu wamemchimba mkwara?

    Afrika iliweza kushuhudia wiki chache zilizopita bunge la Uganda likipitisha muswada wa kutokomeza ushoga kimafia, Wengi tukaona Uganda awe mfano wa kuigwa na tukawapongeza sana kwamba ndio taifa la kuigwa katika suala la kulinda maadili yetu ya kiafrika. Kilichobaki ilikuwa ni kumpasia pasi...
  11. James Martin

    Naanza kupata mashaka kuiona serikali ya Rais Samia kuwa karibu na Mabeberu na vitendo vya rushwa kushamiri nchini

    Ni takribani miaka miwili sasa tangu nuache kuandika maoni yangu hapa Jamii Forum. Hata hivyo leo nimeona nirudi tena kwani kuna vitu vya kukera vimeanza kujitokeza. Wakati hayati Magufuli alivyochukua nchi nilivutiwa sana na mambo aliyokuwa anayafanya. Nilikuwa mstari wa mbele kumtetea pale...
  12. BARD AI

    Mtoto wa Rais Museveni asema Uganda itaisaidia Urusi Wanajeshi wake ikiwa itatishiwa na Mabeberu

    Mtoto wa kiume wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni Muhoozi Kainerugaba alitangaza siku ya Alhamisi kwamba nchi yake itatuma wanajeshi kuilinda Moscow ikiwa itakabiliwa na vitisho. "Niite 'Putinist' ukipenda, lakini sisi, Uganda tutatuma wanajeshi kuilinda Moscow ikiwa itawahi kutishiwa na...
  13. matunduizi

    #COVID19 Hakujawahi kuwepo kitu kinachoitwa COVID duniani. Ni uongo wa mabeberu

    Wakuu wakati wa Corona sikuamini uwepo wa hiyo kitu wala habari zake nilikuwa sisikilizi na Barakoa nilikuwa sivai. Naamini hata Hayati JPM alikuwa na msimamo kama wangu. Ulikuwa ni ugonjwa unaosambazwa kwa njia ya taarifa ya habari na sio vimelea. Ushahidi: Habari za kimataifa na kidunia...
  14. M

    CCM inatumia pesa za umma kuwalipa Chadema ili kuonesha kuwa kuna demorasia nchini ili kuwalidhisha Mabeberu.

    Tozo za Watanzania zinatumika kwa mambo ya ajabu Kuwaridhisha mabeberu ili waone kuna demokrasia wakati ufisadi umetamaraki Huu ni uzandiki wa kisiasa. Hizi pesa wanazopewa Chadema na CCM bora zingejenga mashule.
  15. MIXOLOGIST

    Zile Hekaya za 'Wanyonge' na 'Mabeberu' zimefia wapi?

    Wasalaam wana JF Nilipokua mdogo niliambiwa kua uyaone. Nimekua sasa, hakika ya ulimwengu na malimwengu ni mengi na ya kustaajabisha. katika kipindi fulani niliaminishwa kwamba kuwa mnyonge ndiyo alama ya uzalendo na kwamba asiye utaka unyonge ni kibaraka wa mabeberu au ni beberu kuu lenyewe...
  16. Fursakibao

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulikuwa ni shinikizo la Mabeberu na ndio maana Hati za Muungano wanazo wao

    Tunaambiwa kuwa Tanganyika na Zanzibar ziliungana Kwa sababu ya kuwepo Kwa mahusiano ya karibu na ya kihistoria baina ya nchi hizi mbili katika nyanja mbalimbali kama vile undugu wa damu biashara na utamaduni. Ukiangalia uhalisia haya ni matango pori Tunalishwa kwani sababu zote zilizoelezwa...
  17. LUS0MYA

    Ruhusa ya mikutano ya hadhara ni utashi wa watawala au imeshinikizwa na masharti ya wakubwa wanaotoa mikopo?

    Tanzania imefungua ukurasa mpya wa demokrasia kwa kurejesha haki ya wananchi kushiriki mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa.Tunachosubiri kuona ni je kweli kuna utashi wa kisiasa kuruhusu mikutano hii au ni shinikizo la wakubwa? Maana yake kama ni utashi wetu basi ruhusa hii itatolewa bila...
  18. Nigrastratatract nerve

    Rais Samia mpe Kabudi Wizara ya Mambo ya Nje awanyooshe mabeberu. Ondoa falsafa ya kufungua nchi

    Rais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika kwa kukamatiwa ndege yeti Rudisha utawala wa aina ya awamu ya 5 utanishukuru baadaye ondoa ushikaji...
  19. Vladivostok

    Mwamba huyu hapa kazaliwa upya, Mabeberu wajipange

    Hii picha imepostiwa na binti yake Gaddafi mtoto ni Gaddafi mtupu.apo kavaa kama babu yake muammar Gaddafi.
Back
Top Bottom