Kama unatumia Bodaboda hasa maeneo ya mjini tuzingatie sana

1. Usipande bodaboda isiyokuwa na vioo vya pembeni (saiti mira) – side mirror
Pikipiki ambayo haina vioo vya pembeni, dereva haoni gari linalokuja nyuma au hata akitaka kupinda, haoni nyuma hivyo uwezekano wa kugongwa ni mkubwa sana; ni suala la muda tu wala haijalishi uzoefu. Kama unajali uhai wako na familia yako, zingatia sana hii

2. Usipande pikipiki ambayo dereva hajavaa Kofia/helmet
Ile kofia inakioo kinachozuia wadudu wanaoingia machoni na hata vumbi anapopishana na magari makubwa; Fikiria boda anakimbia KMS 70, halafu wadudu wamuingie machoni; ushukuru sana Mungu kama hutaishia kwenye mtaro au hata kugongwa...

Ushauri: Vile vioo vya pembeni vyote viwili havizidi shs 10,000 hivyo kama una bodaboda wako, unaweza kumnunulia/kumkopesha. Kofia ngumu ya kawaida ni kwenye shs 20,000=
Ongezea...
1)bodaboda kavaa ndaraa
2)bodaboda kasuka virasta,kanyoa kiduku huku muda wote kafungulia singeli na amapiano

Ova
 
Ajali imetokea jana usiku mida ya saa 8 nadhani, boda boda wa mbezi wamefika eneo la tukio wanawapigia simu polisi kuwapa maelezo ya tukio ili wafike kwa wakati lakini ajabu jibu walilotoa askari linafikirisha sana..

Jibu walilotoa polisi walisema Gari yao haina MAFUTA ☹️,boda boda ilibidi waustili mwili vizuri ili hali ukiendelea kubakia eneo lile ukinyeshewa na mvua😢, mpaka ilipofika leo mida ya saa 4 asubuhi ndipo askari waliweza kufika eneo la tukio na kuutoa mwili wa marehemu kuupeleka hospitali.

TUKIO LA JANA NI UDHIHIRISHO TOSHA KUWA TUNA ASKARI WASIOKUWA NA WELEDI WOWOTE NA KAZI YAO 😒😠


"""Dah Zuchi, Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏 nakumbuka wakati na Show ya #ThePlaylist ikabidi nitafute mtu mkali wa kufanya nae Professional Photoshoot nikakutana na Zuchi kipindi iyo anajitafuta na Studio yake Mwenge ndani ndani!

Akawasha midude hatari sana na kutokea apo ikawa kila kazi tunapiga nae na watu wakibao wakamuamini zaidi, njaa yake ya kutamani kupiga picha kali ikampeleka mpaka kwa Millard na kufanya kazi kupitia Ayotv, Pole sana @millardayo pole kwa familia, ndugu na jamaa 🙏 M/Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏. """Lulyommy

View attachment 2974670View attachment 2974671
R.I.P gentleman...
 
Ajali imetokea jana usiku mida ya saa 8 nadhani, boda boda wa mbezi wamefika eneo la tukio wanawapigia simu polisi kuwapa maelezo ya tukio ili wafike kwa wakati lakini ajabu jibu walilotoa askari linafikirisha sana..

Jibu walilotoa polisi walisema Gari yao haina MAFUTA ☹️,boda boda ilibidi waustili mwili vizuri ili hali ukiendelea kubakia eneo lile ukinyeshewa na mvua😢, mpaka ilipofika leo mida ya saa 4 asubuhi ndipo askari waliweza kufika eneo la tukio na kuutoa mwili wa marehemu kuupeleka hospitali.

TUKIO LA JANA NI UDHIHIRISHO TOSHA KUWA TUNA ASKARI WASIOKUWA NA WELEDI WOWOTE NA KAZI YAO 😒😠


"""Dah Zuchi, Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏 nakumbuka wakati na Show ya #ThePlaylist ikabidi nitafute mtu mkali wa kufanya nae Professional Photoshoot nikakutana na Zuchi kipindi iyo anajitafuta na Studio yake Mwenge ndani ndani!

Akawasha midude hatari sana na kutokea apo ikawa kila kazi tunapiga nae na watu wakibao wakamuamini zaidi, njaa yake ya kutamani kupiga picha kali ikampeleka mpaka kwa Millard na kufanya kazi kupitia Ayotv, Pole sana @millardayo pole kwa familia, ndugu na jamaa 🙏 M/Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏. """Lulyommy

View attachment 2974670View attachment 2974671
Hapo Wazee ungewapigia Simu ya Deal, Gari ingekua na Mafuta.
 
Apo aliyemgonga utakuta alikua amelewa,na saivi yupo bar anakunywa bia,hakuna anayemkumbuka,lawama zote zipo upande wa polis kwa kuchelewa kuhukua mwili,upande wa pili wa chanzo cha ajali kama kuna uzembe mahali,unazimwa kwa kubebeshwa lawma polisi pekee,
Utakuta anayefanya hivyo analengo maalumu anawajua wabongo walivyoo,wakwanza kubebeshwa lawama wanapita naye uyo uyo.
Utaona apo ata mwili ukichukuliwa saa 11 kasoro asubuhi,mtoa mada anaandika saa 4 asubuhi.
 
Boda Boda ni death trap ila hatuwezi zikwepa kiukweli. Daladala na foleni hizi ni kero mno. Yani hazivumiliki kabisa kama una nauli utalipa boda boda tu ikupeleke. Gari binafsi ndio yale yale maana una ganda for hours kwa safari ya dakika 20 tu.
Kwahio mkuu una risk maisha yako kwasababu ya kuchelewa 20-30minutes? Huko uendako unawahi nini muhimu kuliko uhai wako?
Vijana epukeni bodaboda.
 

Watanzania ni kama vile hawalipi kodi, huduma zote muhimu kuzipata ni kama unaomba, na wakati mwingine unalazimika hata kutoa pesa kinyume na sheria ili upatiwe huduma. Ni aibu!

Kuongoza hivi vinchi masikini inakuhitaji uwe na mkono wa chuma katika kutekeleza sheria.

Tazama jibu kama hilo la kipumbavu linatolewa na taasisi inayohusika na usalama wa raia, unaweza kuwategemea watu kama hao kulinda raia?
Nchi ya kipuuzi sana.
 
Boda boda in dsm is very risk.

Rip kijana.

Inapofika usiku huwa kuna magari yanapita kukusanya maiti ambazo zimetokana na vifo vya bodaboda.

Then mpaka inafika usiku saanane kwa boda boda wengi wa DSM wanakuwa wamelewa pombe tayari wapo tungi .


Kifo Kama hiki kinasikitisha Sana
 
Huu mwaka haunogi vifo vingi ni ajali kwa vijana wadogo wanaojitafuta na kuelekea kujipata, foleni za dar zinafanya mtu ajitoe kwa kutumia usafiri wa pikipiki mwishowe ni kifo, wapumzike mahali pema
Binafsi pikipiki na bajaj sipandi kama ni lami, yaani hadi nipande bajaj sijui nina haraka gani. Nimeshazoea na huo umekuwa utaratibu wangu.

One day nipo job, nikatumiwa sms na wife kuwa watoto wanaenda sehemu mchana. Nampigia dada yao wako wapi na wanatumia usafiri gani, niliposikia "bajaj" nikamwambia washuke kituo kinachofata wapande daladala...

Sijui kwa nini nina hofu sana na bajaj.
 
Binafsi pikipiki na bajaj sipandi kama ni lami, yaani hadi nipande bajaj sijui nina haraka gani. Nimeshazoea na huo umekuwa utaratibu wangu.

One day nipo job, nikatumiwa sms na wife kuwa watoto wanaenda sehemu mchana. Nampigia dada yao wako wapi na wanatumia usafiri gani, niliposikia "bajaj" nikamwambia washuke kituo kinachofata wapande daladala...

Sijui kwa nini nina hofu sana na bajaj.
Madereva wa boda na bajaji wote akili moja, Mungu atusaidie tu
 
Back
Top Bottom