Boda Boda ni death trap ila hatuwezi zikwepa kiukweli. Daladala na foleni hizi ni kero mno. Yani hazivumiliki kabisa kama una nauli utalipa boda boda tu ikupeleke. Gari binafsi ndio yale yale maana una ganda for hours kwa safari ya dakika 20 tu.
 
Kama unatumia Bodaboda hasa maeneo ya mjini tuzingatie sana

1. Usipande bodaboda isiyokuwa na vioo vya pembeni (saiti mira) – side mirror
Pikipiki ambayo haina vioo vya pembeni, dereva haoni gari linalokuja nyuma au hata akitaka kupinda, haoni nyuma hivyo uwezekano wa kugongwa ni mkubwa sana; ni suala la muda tu wala haijalishi uzoefu. Kama unajali uhai wako na familia yako, zingatia sana hii

2. Usipande pikipiki ambayo dereva hajavaa Kofia/helmet
Ile kofia inakioo kinachozuia wadudu wanaoingia machoni na hata vumbi anapopishana na magari makubwa; Fikiria boda anakimbia KMS 70, halafu wadudu wamuingie machoni; ushukuru sana Mungu kama hutaishia kwenye mtaro au hata kugongwa...

Ushauri: Vile vioo vya pembeni vyote viwili havizidi shs 10,000 hivyo kama una bodaboda wako, unaweza kumnunulia/kumkopesha. Kofia ngumu ya kawaida ni kwenye shs 20,000=
Sina la kusema mkuu, maana kuna wanaotegemea kuishi kwa hizo boda hivyo siwezi kuziita takataka labda sheria zikaziwe, usalama uzingatiwe watozwe faini kali huenda ikapunguza tatizo hali ni mbaya boda zinaua sana barabarani
 
Boda Boda ni death trap ila hatuwezi zikwepa kiukweli. Daladala na foleni hizi ni kero mno. Yani hazivumiliki kabisa kama una nauli utalipa boda boda tu ikupeleke.
Baada ya wiki mbili kumzika ndg yangu nikapata dharula ya haraka na kwa usafiri wa town ningechelewa basi kabla sijapanda niliwapigia ndg wa karibu wajue naelekea wapi na namba ya pikipiki nikawatumia, yule boda aliendesha kwa makini kweli nikajisemea mngeendesha hivi siku zote mngepungukiwa nini
 
Boda Boda ni death trap ila hatuwezi zikwepa kiukweli. Daladala na foleni hizi ni kero mno. Yani hazivumiliki kabisa kama una nauli utalipa boda boda tu ikupeleke. Gari binafsi ndio yale yale maana una ganda for hours kwa safari ya dakika 20 tu.
Nawashauri bodaboda hasa kipndi hichi cha mvua wawe wanawasha taa na ikifikq saa 12 jioni pia hii ni rahisi hata kama mtu anagari amuone mapema hua nashangaa sana kuna mvua kubwa na mtu anaendeshq boda hivo hivo bila ya taa yyte inakua ngumu kumdetect mtu hasa aliwa anatokea ubavuni mwako
 
Kama unatumia Bodaboda hasa maeneo ya mjini tuzingatie sana

1. Usipande bodaboda isiyokuwa na vioo vya pembeni (saiti mira) – side mirror
Pikipiki ambayo haina vioo vya pembeni, dereva haoni gari linalokuja nyuma au hata akitaka kupinda, haoni nyuma hivyo uwezekano wa kugongwa ni mkubwa sana; ni suala la muda tu wala haijalishi uzoefu. Kama unajali uhai wako na familia yako, zingatia sana hii

2. Usipande pikipiki ambayo dereva hajavaa Kofia/helmet
Ile kofia inakioo kinachozuia wadudu wanaoingia machoni na hata vumbi anapopishana na magari makubwa; Fikiria boda anakimbia KMS 70, halafu wadudu wamuingie machoni; ushukuru sana Mungu kama hutaishia kwenye mtaro au hata kugongwa...

Ushauri: Vile vioo vya pembeni vyote viwili havizidi shs 10,000 hivyo kama una bodaboda wako, unaweza kumnunulia/kumkopesha. Kofia ngumu ya kawaida ni kwenye shs 20,000=
Ok Ila
 

Watanzania ni kama vile hawalipi kodi, huduma zote muhimu kuzipata ni kama unaomba, na wakati mwingine unalazimika hata kutoa pesa kinyume na sheria ili upatiwe huduma. Ni aibu!

Kuongoza hivi vinchi masikini inakuhitaji uwe na mkono wa chuma katika kutekeleza sheria.

Tazama jibu kama hilo la kipumbavu linatolewa na taasisi inayohusika na usalama wa raia, unaweza kuwategemea watu kama hao kulinda raia?
 
Kama unatumia Bodaboda hasa maeneo ya mjini tuzingatie sana

1. Usipande bodaboda isiyokuwa na vioo vya pembeni (saiti mira) – side mirror
Pikipiki ambayo haina vioo vya pembeni, dereva haoni gari linalokuja nyuma au hata akitaka kupinda, haoni nyuma hivyo uwezekano wa kugongwa ni mkubwa sana; ni suala la muda tu wala haijalishi uzoefu. Kama unajali uhai wako na familia yako, zingatia sana hii

2. Usipande pikipiki ambayo dereva hajavaa Kofia/helmet
Ile kofia inakioo kinachozuia wadudu wanaoingia machoni na hata vumbi anapopishana na magari makubwa; Fikiria boda anakimbia KMS 70, halafu wadudu wamuingie machoni; ushukuru sana Mungu kama hutaishia kwenye mtaro au hata kugongwa...

Ushauri: Vile vioo vya pembeni vyote viwili havizidi shs 10,000 hivyo kama una bodaboda wako, unaweza kumnunulia/kumkopesha. Kofia ngumu ya kawaida ni kwenye shs 20,000=
Tutazingatiq lakini boda nyingine unakuta inavyo vyote ila ndo hivyo
 

Watanzania ni kama vile hawalipi kodi, huduma zote muhimu kuzipata ni kama unaomba, na wakati mwingine unalazimika hata kutoa pesa kinyume na sheria ili upatiwe huduma. Ni aibu!

Kuongoza hivi vinchi masikini inakuhitaji uwe na mkono wa chuma katika kutekeleza sheria.

Tazama jibu kama hilo la kipumbavu linatolewa na taasisi inayohusika na usalama wa raia, unaweza kuwategemea watu kama hao kulinda raia?
Mwendazake alikua na mapungufu yake kama binadamu, Lakini kwa wakati wake huu upuuzi wa polisi kusema hawana mafuta sijui nini usingekuwepo. Kingine nilichompendea Magufuli , tatizo likitokea analitafutia ufumbuzi haraka sana hakua na mijadala ya kipumbavu pumbavu.Polisi wa bongo ni majanga na hawafai. Hilo sio jeshi la polisi ni jeshi la waganga njaa na wala rushwa.
 
Back
Top Bottom