Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,447
- 175,250
Boda Boda ni death trap ila hatuwezi zikwepa kiukweli. Daladala na foleni hizi ni kero mno. Yani hazivumiliki kabisa kama una nauli utalipa boda boda tu ikupeleke. Gari binafsi ndio yale yale maana una ganda for hours kwa safari ya dakika 20 tu.