Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 6,574
- 13,786
Na vile hatupo vizuri kwenye kitengo cha forensics si tutakichezea sana .Life insurance ni moja kati ya reasons za juu kabisa za mauaji huko majuu....
Ikija bongo hii wanandoa watauana sana
Even watoto wavivu wataua sana wazazi wao