hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 1,913
- 843
Fact na kujua kuhusu fact ni vitu viwili tofauti.....fact always ipo kama ilivyo ila kujua kuhusu fact ndiyo itakubidi utumie akili.Fact ni fact tu ama uwe na akili au usiwenazo
Kama akili zako zinakufanya uamini jua lina ukubwa kama mpira wa miguu kwasababu ndivyo unavyoliona hizo zitakua ni akili zako tu na sio FACT
Kama akili zako zinakufanya uamini kwamba unahitaji Dunia ziwe takribani 109.86 ili ziweze kufit ndani ya Jua,.hizo pia zitakua ni akili zako Tu na sio fact.
So,ikiwa ninachokiamini Kwa upande wako unaona si fact basi na Mimi Nina room hiyo hiyo ya kuona unachokiamini sio fact,.. unless uwe na uthibitisho usio na shaka kuhusu madai yako.