Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    565
Kama Dunia ni Tufe linalozunguka 👉🏼 🌍 kwanini large water bodies kama vile bahari na maziwa yana appear flat and level,......?

Na hiyo haitoshi,.....ni kipi kinachoshikilia maji yasimwagike away from Dunia Tufe ikiwa Dunia yenye umbo la namna hiyo inazunguka Kwa Kasi mno.

Je, kuna uthibitisho wowote unaoonyesha namna maji yanavyoshikiliwa kwenye dunia Tufe linalozunguka,... apart from nadharia?


Nadhani hayo ni baadhi ya maswali machache fikirishi,.... ambayo mpaka sasa hayajapatiwa majibu ya kueleweka.
Eti hayajapatiwa majibu, majibu yapo umepewa jibu lako ni UONGO.
BTW, ww kwenye hoja zako umejibu hoja Gani inayokufanya uamini unachoanini? Bora ungesema upo neutral
 
Ushashiba biryani unaanza fujo kaka,...🙌🏼


Bado hujathibitisha kama Dunia ni Tufe linalozunguka....

Kuhusu Gravity,. Einstein alishahitimisha decades ago.
Wewe ni mjinga mbishi, wewe kusema sijathibitisha haimaniishi sijathibitisha.

Nilikuuliza basi Einstein alisema nn kuhusu gravity na kuhusu vitu kufall na celestial body kurevolve each other? Lkn hujanijibu unamkimbilia Einstein wakati hujui kuwa Einstein anamchango mkubwa kwenye proof ya Dunia kuwa Duara na kuzunguka Jua.
 
Wewe ni mjinga mbishi, wewe kusema sijathibitisha haimaniishi sijathibitisha.

Nilikuuliza basi Einstein alisema nn kuhusu gravity na kuhusu vitu kufall na celestial body kurevolve each other? Lkn hujanijibu unamkimbilia Einstein wakati hujui kuwa Einstein anamchango mkubwa kwenye proof ya Dunia kuwa Duara na kuzunguka Jua.
Chai.
 
Kama Dunia ni Tufe linalozunguka 👉🏼 🌍 kwanini large water bodies kama vile bahari na maziwa yana appear flat and level,......?

Na hiyo haitoshi,.....ni kipi kinachoshikilia maji yasimwagike away from Dunia Tufe ikiwa Dunia yenye umbo la namna hiyo inazunguka Kwa Kasi mno.

Je, kuna uthibitisho wowote unaoonyesha namna maji yanavyoshikiliwa kwenye dunia Tufe linalozunguka,... apart from nadharia?


Nadhani hayo ni baadhi ya maswali machache fikirishi,.... ambayo mpaka sasa hayajapatiwa majibu ya kueleweka.
Naomba majibu mkuu..
Kwanini position ya kuzama na kuchomoza kwa jua inabadilika?
Kwanini majira ya kuzama na kuchomoza kwa jua yanabadilika?
Una picha za miishio ( edges) za Dunia? Naziomba tuma hapa, na baada ya miishio hiyo kuna Nini?

Addition: ijumaa iliyopita China walirusha roketi live kwenye media kwa wakafika point astronauts peni zao zilikuwa zinaelea tu hewani kwanini?
 
NI ukosefu wa elimu tu,

Waelimisheni vzr hawa watu, how come Russia na Marekani ni karibu zaidi kuliko east to west sides za marekani.

Wasomesheni vzr wataalewa
 
Mwanzo ulisema unaweza kuona mpaka space station iliyopo km 400 kutokea Duniani.....

Au sio wewe uliyedai hivyo?

NB:- Macho yana limitation ya kuona, limitation ambayo inatokana na factors mbalimbali ikiwemo distance, obstacles na kadhalika.
Mkuu, mbona hata vitu rahisi kuvielewa ni ngumu kwako?
Ngoja twende kama darasa la kwanza:

KM 60 ni ndogo kuliko km 400.
Kama unaweza kuona kitu kilicho km 400, basi kilichopo km 60 unatakiwa pia uweze kukiona maana hapa ni dhairi macho yako hayajafikia limit yake.
Sasa wewe unaiona international space station iliyopo km 400 angani alafu taa za Zanzibar zilizopo km 60 kutokea pwani ya dar huzioni alafu unafikiri umefika limit ya uwezo wako wa kuona???

Pia macho pekee hayawezi kukupa uhalisia wa kila kitu.
1. Mbingu ina onekana ni ya blue, unafikiri na ublue huko angani?
2. Upinde wa mvua, unafikiri ukipaa utaupata huo upinde?
3. Sunset, unafiki kuna mawingu mekundu kila jioni?
4. Mirage, yale maji unayoona mbele ukiwa kwenye gari mchana, ulishawahi kuyafikia???

Unajifungia kwenye box na kulimit fikira zako, ukitoka nje ya hiyo jela yako utaona jinsi dunia ilivyokubwa na maajabu yake.
Asilimia kubwa ya vitu unavyotumia vimetokana na nadharia hizi hizi unazozipinga, kama unahisi nadharia zako ni sahihi tengeneza simulations alafu angalia kama hizo simulation zitakupa majibu sawa na unavyoona dunia inavyofanya. Ukiona hupati majibu jaribu kusimulate nadharia unazozipinga na kisha angalia kama nazo hazitoi majibu sahihi.
Bajeti ya kumpeleka kila anayezaliwa space ilikujihakikishia dunia ni duara kwa kweli hatuna (ukizingatia wanaweza sema kioo cha vessel ilitumikia sio real ni cgi).
Na ndo sababu tunapokua na ukakasi tunatafuta experiments zinazoweza prove au disprove fikira zetu.
 
Wewe unahitaji ushahidi wa namna gani ?
Namaanisha kama ni kuzunguka kwa Dunia unataka ushahidi uwe kwa mtindo upi ?
Lete ushahidi wa kipimo ulichotumia kujua kama Dunia inazunguka,...au ikiwa ngumu lete video inayoonyesha Dunia inazunguka Kwa 1670 kilometres per hour.



NB:- Usilete maneno sasa hapa...
 
Kwahiyo unakubali dunia ni tufe 🌎 Ili sasa upewe ushahidi linavyozunguka?

Kwasababu huwezi kwenda hatua ya pili kabla ya kumaliza ya kwanza

Hapa tunajadili umbo la dunia
Wapi nimesema nakubali Dunia ni Tufe?

Nimekuelezea mfano wa scenario ya Dunia kuzunguka kwa kuwa mfano huo wa Dunia Kuzunguka hata kilaza ataelewa......

Kimsingi ni kwamba Dunia sio tufe na ipo stationary kama unavyoiona ipo hivyo hivyo!
 
Mkuu, mbona hata vitu rahisi kuvielewa ni ngumu kwako?
Ngoja twende kama darasa la kwanza:

KM 60 ni ndogo kuliko km 400.
Kama unaweza kuona kitu kilicho km 400, basi kilichopo km 60 unatakiwa pia uweze kukiona maana hapa ni dhairi macho yako hayajafikia limit yake.
Sasa wewe unaiona international space station iliyopo km 400 angani alafu taa za Zanzibar zilizopo km 60 kutokea pwani ya dar huzioni alafu unafikiri umefika limit ya uwezo wako wa kuona???
Huoni Kama wewe ndiyo unashindwa kuelewa vitu rahisi mno?

Apart from distance,.vipo vitu vingine vingi tu vinavyoweza kukuzuia usione hata object iliyopo km 20 Tu...... So kimsingi huwezi kuona Zanzibar kutokana na obstacles mbalimbali na sio kwamba Zanzibar ipo below the imaginary curve kama ulivyoaminishwa..... Au huoni hata Meli ikisafiri kwenda Zanzibar inasafiri horizontally without any bending mpaka pwani ya Zanzibar?


NB:- Kimsingi hata kama hiyo curvature ingekuepo distance Kati ya Zanzibar na Tanzania ni fupi Sana there's no way useme Zanzibar haionekani due to curvature,...itakua unajidanganya.

Additionally,..The water of the Indian Ocean plays a role in obstructing the view of lights and buildings from Zanzibar's localities when you're on the coast of Tanzania. The surface of the ocean, especially if it's calm, can act like a mirror, reflecting light away from your line of sight. Additionally, the moisture in the air near the coast can contribute to haze or fog, further reducing visibility. These factors, combined with the distance and other conditions, can make it challenging to see lights from a distant shoreline.
 
Asante sana, maana huyu hateeb10 ni mjinga sana
Huyo mjinga mwenzako maana hicho alichokisema nilikitolea ufafanuzi humu.....Air resistance immediately acts against a force previously used to push the object in a particular direction,.... sasa air resistance ikishafanya object ianze kurudi chini unataka tena air resistance iact against which force? Wakati object husika ishakua forceless!!!!?!!
Tumieni akili wakuu 🙌🏼

Na kuhusu suala la gravity mjadala tulishaufunga na ulikubali Kwamba Einstein yupo sahihi pale alipopinga gravity na kusema "GRAVITY IS NOT A FORCE"
 
Huoni Kama wewe ndiyo unashindwa kuelewa vitu rahisi mno?

Apart from distance,.vipo vitu vingine vingi tu vinavyoweza kukuzuia usione hata object iliyopo km 20 Tu...... So kimsingi huwezi kuona Zanzibar kutokana na obstacles mbalimbali na sio kwamba Zanzibar ipo below the imaginary curve kama ulivyoaminishwa..... Au huoni hata Meli ikisafiri kwenda Zanzibar inasafiri horizontally without any bending mpaka pwani ya Zanzibar?


NB:- Kimsingi hata kama hiyo curvature ingekuepo distance Kati ya Zanzibar na Tanzania ni fupi Sana there's no way useme Zanzibar haionekani due to curvature,...itakua unajidanganya.

Additionally,..The water of the Indian Ocean plays a role in obstructing the view of lights and buildings from Zanzibar's localities when you're on the coast of Tanzania. The surface of the ocean, especially if it's calm, can act like a mirror, reflecting light away from your line of sight. Additionally, the moisture in the air near the coast can contribute to haze or fog, further reducing visibility. These factors, combined with the distance and other conditions, can make it challenging to see lights from a distant shoreline.
Obstacle unayoizungumzia ndo dunia yenyewe.
Ulijaribu kufanya hata hesabu kidogo kujiridhisha kuwa 60km sio significant kufanya usione objects kwenye sphere?

Nimekuwekea image hapo chini ikusaidie hesabu za kutafuta height ya obstacle 'b' inayosababisha p1 and p2 wasionane.
Radius 'r' = 6,371 km
Height of obstacle 'b' = r-a
'a' unaweza kuipata kutokea kwenye trig
Angle unaweza kuipata kutokea kwenye uhusiano wa distance ya arc p1,p2 (60KM) na circumference ya dunia.
Circumference ya dunia unaweza kuipata kutokea kwenye radius (C=2⫪r)

1714792681119.jpeg


Mkuu tokea lini reflection ikawa sababu ya mwanga kutofika eneo husika kwenye line of sight???
zaidi zaidi reflection inasaidia mwanga kufika eneo ambalo ulitakiwa usifike.
1714793989552.jpeg

Hebu niambie hapo reflection inazuiaje hizo red rays zisifike kwenye R kutokea S??
ukifikiria kwa makini hizo purple rays zinaprovide alternate route kama red rays zimekuwa blocked.
Kwenye propagation of light, reflection ni advantage na sio disadvantage, side mirrors za kwenye magari ni mfano mzuri.
Na sio light pekee yake hata radio waves, reflection ni advantage maana inasaidia redio signals kufika bila kutegemea line of sight.
 
Wapi nimesema nakubali Dunia ni Tufe?

Nimekuelezea mfano wa scenario ya Dunia kuzunguka kwa kuwa mfano huo wa Dunia Kuzunguka hata kilaza ataelewa......

Kimsingi ni kwamba Dunia sio tufe na ipo stationary kama unavyoiona ipo hivyo hivyo!
Toka awali sikutaka kwenda in details sababu Naamini unajua dunia ni tufe ila una challenge kwasababu umependa tu idea ya watu wana AMINI dunia ni disc inayoelea

Na kwasababu unasema huwaamini wanaanga wowote unatumia macho yako tu na akili, nataka nipime akili yako unafuata mkumbo au unajua kwa hakika dunia ni flat

Kwanza tu assume dunia ni flat lakini pia jua haliko mabilioni miles na linazunguka juu ya uso wadunia ndani ya dome

Naamini unajua a very simple science kwamba kitu kinavyo kwenda mbali kinazidi kuonekana kidogo mwishowe huonekana kupotea kutokana na upeo wa macho.... but still unaweza kukiona kwa darubini.
Unaweza kuelezea vipi jua lnalozunguka juu ya dunia flat kuchomoza na kuzama kwa muonekano wa ukubwa ule ule namna hii 👇👇
 

Attachments

  • 8E752A99-6AF0-4F98-9036-C6A2B2BE4F88.jpeg
    8E752A99-6AF0-4F98-9036-C6A2B2BE4F88.jpeg
    35.9 KB · Views: 3
Huyo mjinga mwenzako maana hicho alichokisema nilikitolea ufafanuzi humu.....Air resistance immediately acts against a force previously used to push the object in a particular direction,.... sasa air resistance ikishafanya object ianze kurudi chini unataka tena air resistance iact against which force? Wakati object husika ishakua forceless!!!!?!!
Tumieni akili wakuu 🙌🏼

Huyo mjinga mwenzako maana hicho alichokisema nilikitolea ufafanuzi humu.....Air resistance immediately acts against a force previously used to push the object in a particular direction,.... sasa air resistance ikishafanya object ianze kurudi chini unataka tena air resistance iact against which force? Wakati object husika ishakua forceless!!!!?!!
Tumieni akili wakuu 🙌🏼
Wewe ni mjinga, haya tuambie parachute linafanyaje kazi kama kweli hakuna air resistance object ikiwa inarudi chini.😀 Nini kinafanya parachuti irudi chini taratiiibu badala ya kuporomoka kama jiwe🤣🤣 nakusubiri shehe
 
Natamani sana kuandika kuhusu hii thread lakini sitoweza. Kuna siri kubwa sana kuhusu ukweli wa hii dunia na siri yote ipo kwenye logo ya UN. Kwa mtu ambaye anataka kujua ukweli wa hii dunia tafuta kitabu cha “Eric Dubay” kwa kupata elimu mpya.
Unaweza ku upload pdf yake.
 
Wewe ni mjinga, haya tuambie parachute linafanyaje kazi kama kweli hakuna air resistance object ikiwa inarudi chini.😀 Nini kinafanya parachuti irudi chini taratiiibu badala ya kuporomoka kama jiwe🤣🤣 nakusubiri shehe
Hivi unaelewa kweli? Kama kuna sehemu nimesema air resistance haifanyi kazi object ikiwa unarudi chini,.... nionyeshe.

Kesi ya parachute na kurusha object nyingine mfano Jiwe ni tofauti kabisa,...ukirusha Jiwe angani(means kuna force umetumia kurusha jiwe husika) air resistance itaslow down force iliyotumika kurusha hilo jiwe mpaka force husika ifike zero,.Then Jiwe linarudi chini kwa kuwa the applied force no longer exists.

So, hapo tayari air resistance ime act against the force used to throw the stone in the air na consequently Jiwe linarudi direction Ile Ile ilipotokea, Huwezi kutaka air resistance irudishe Jiwe lilirudi tena juu wakati at the moment the force previously applied to it ni zero... umeelewa?


Sasa swali la msingi jiulize,...Je, ukirusha Parachute kuna force yoyote unaitumia kama ilivyo Kwa Jiwe?

Usirudie tena kufananisha vitu visivyofanana...... umeelewa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom