Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 9,615
- 12,957
katika harakati zangu za kisiasa, kura za maoni kivyama huko Jimboni, mara hiyo tupo mjini na, ni wakati wa kulala huko guest house.
Sasa miongoni mwa wakuu wa msafara alikuepo mtu mzima, lakini ni Mzee sana tena ni wale wa aina ile ambao akivaa koti hawezi kulivua hata kuwe na joto kiasi gani. Lakini pia hauwezi kumuharakisha kwa chochote. kwasabb ya uzee daima alikua slow, kutafakari, kusema na kutenda.
Lakini pia kulikua na mdada mbichi tu, niliarifiwa alikua ni mke wa mwalimu ambae alikua amestaafu huko kijijini, na sasa huyo binti ni muandamizi ndani ya chama, nae alikua miongoni mwa wakuu wa msafara, pamoja nasi wagombeaji.🐒
sasa kule guest house si nikajua kila mtu ana lala kwenye chumba chake, kumbe bwana, yule babu na yule binti wanalala chumba kimoja na ni wapenzi tangu tumeanza safari za mzunguko wa kampeni.
na cha kushangaza zaid, kwa baridi la huku jimboni yule, babu badala ya kwenda kusuuza mshedede wake na kuoga bafuni, Babu alijifunika shuka kama mwamvuli vile nje ya bafu la guest house, jalalani, ndio anaosha mshedede kwa kunyunyiza maji kwa kikombe, dah!
kwa uzee ule,
hangeweza kuoga kwa baridi lile. Kuna ile sinario kwamba mko kwenye safari halafu mkapata tatizo, kuna watu wanasemaga, huenda kuna watu wametoka kugegedana na hawajaoga humu 🐒
nadhani pia kwa yule babu, ile ilikua sababu ya wagombea takribani watatu kutaka kupigana na kutishiana maisha kwenye miongoni mwa mikutano kule kwenye kampeni, na hata yule babu alimanusura apigwe makofi na mkutano ukaisha kwa vurugu. But that is the story for other day...
But actually,
yule babu,
ati ndio alikua analala na yule binti mbichi kabisa mke wa mwalimu mstaafu chumba kimoja aise....
na wakati ule ndio nikaona na nikathibitisha kwamba kweli mapenzi hayana wala hayajali umri.
hata hivyo binti yule alikua na soni sana baada ya kumgundua analalala na Babu. Huenda alikua ananimendea au tunamendeana kisiri siri moyoni 🐒
Sasa miongoni mwa wakuu wa msafara alikuepo mtu mzima, lakini ni Mzee sana tena ni wale wa aina ile ambao akivaa koti hawezi kulivua hata kuwe na joto kiasi gani. Lakini pia hauwezi kumuharakisha kwa chochote. kwasabb ya uzee daima alikua slow, kutafakari, kusema na kutenda.
Lakini pia kulikua na mdada mbichi tu, niliarifiwa alikua ni mke wa mwalimu ambae alikua amestaafu huko kijijini, na sasa huyo binti ni muandamizi ndani ya chama, nae alikua miongoni mwa wakuu wa msafara, pamoja nasi wagombeaji.🐒
sasa kule guest house si nikajua kila mtu ana lala kwenye chumba chake, kumbe bwana, yule babu na yule binti wanalala chumba kimoja na ni wapenzi tangu tumeanza safari za mzunguko wa kampeni.
na cha kushangaza zaid, kwa baridi la huku jimboni yule, babu badala ya kwenda kusuuza mshedede wake na kuoga bafuni, Babu alijifunika shuka kama mwamvuli vile nje ya bafu la guest house, jalalani, ndio anaosha mshedede kwa kunyunyiza maji kwa kikombe, dah!
kwa uzee ule,
hangeweza kuoga kwa baridi lile. Kuna ile sinario kwamba mko kwenye safari halafu mkapata tatizo, kuna watu wanasemaga, huenda kuna watu wametoka kugegedana na hawajaoga humu 🐒
nadhani pia kwa yule babu, ile ilikua sababu ya wagombea takribani watatu kutaka kupigana na kutishiana maisha kwenye miongoni mwa mikutano kule kwenye kampeni, na hata yule babu alimanusura apigwe makofi na mkutano ukaisha kwa vurugu. But that is the story for other day...
But actually,
yule babu,
ati ndio alikua analala na yule binti mbichi kabisa mke wa mwalimu mstaafu chumba kimoja aise....
na wakati ule ndio nikaona na nikathibitisha kwamba kweli mapenzi hayana wala hayajali umri.
hata hivyo binti yule alikua na soni sana baada ya kumgundua analalala na Babu. Huenda alikua ananimendea au tunamendeana kisiri siri moyoni 🐒