Okay,Mkuu Kama unagombea naomba unicheki nina wazo kwa ajili ya mbunge
Uwe chama kinachokubalika mjini au kijijini keep in touch tuwasiliane mwakani mapema
Nataka tufanye mkakati wa kuchukua jimbo Ahsubui
Akuuuu! Lucas ananitoshaaaChukua namba kabisa kuna muda pm ataifufunga mheshimiwa, unipasie na mimi
Mwambiee huyoooo..!🤸sio vizuri kuwanenea mbovu hawa wasaidizi wa ma comrade. ni muhimu wakaheshimiwa na kutiwa moja zaidi kwa kazi kubwa wanazofanya kuwasaidia wale wapambanaji ambao wako mstari wa mbele wa mapambano 🐒
kwanza sijaumia kwasabb nilikua na malengo, nia na kazi yangu muhimu sana kwenye harakati zile 🐒Kama Binti kaolewa anakuaje mtoto.... Huyo ni mkubwa na atafanya maamuzi ya kikubwa na mambo yakikubwa pia. Wewe kinachokuuma hapo kitu gani, kwamba wewe ni mkamilifu sana Hapa Duniani.... Mwanaume kutumia imoji ya nyani kwenye maandiko yake unajua maana yake?? Ndio maana narudia, acha utoto
Wewe utaalikwa kwenye mkutano uwasalimie wananchi, uruke sarakasi ujambe.Mwambiee huyoooo..!🤸
Babu anatomb(a) mke wa mwalimu.actually nimesimulia nilichokishuhudia nikapata ufahamu na uelewa ya kwamba age is not an issue in love, na si zaidi ya hapo 🐒
Mkuu hayo madeal mbona Lucas wangu humpi? Tunataka jimbo na sisiOkay,
Let me file you in my political notebook and we will see how we can position as early as possible 🐒
Aweeeeeehhhh umeridhia kuimbiwa iyena iyenaaaaAkuuuu! Lucas ananitoshaaa
Kama kawa! Nitakupa kadi ya mchangoAweeeeeehhhh umeridhia kuimbiwa iyena iyenaaaa
😂Unanionea wivu kisa nilienda jeshini nikafundishwa kuruka sarakasi🤸Wewe utaalikwa kwenye mkutano uwasalimie wananchi, uruke sarakasi ujambe.
Mh aaibike..
Ukumbi pale lumumba 😹😹😹 wifi betina ndaniii nguo kijani kiatu njano....nakujaaaaaKama kawa! Nitakupa kadi ya mchango
Congrats!! So in your credence you're already reached in your final destination??actually vijana wengi sana wanapoteza maisha kutokana msongo wa mawazo unaotokana kwa kiasi kubwa na jambo hili
kama kiongozi wa kisasa, nyakati za kisasa, siwezi kujivunga kushare experience na vijana ati kwasabb somebody with perfection sense and negativity zake will feel bad
that one, is true story within my journey to where I am today
Sarakasi huwezi wewe. 🤣😂Unanionea wivu kisa nilienda jeshini nikafundishwa kuruka sarakasi🤸
Tofautisha kati ya utoto na mtoto/watoto. Ndio maana narudia acha utotokwanza sijaumia kwasabb nilikua na malengo, nia na kazi yangu muhimu sana kwenye harakati zile 🐒
lakini pia binafsi katika utoto ninajifunza, kuelewa na kufahamu mambo mengi makubwa na muhimu sana....
mathalani nisingeaandika uzi huu nisingefahamu wala kujua kama una uelewa mzuri juu ya mambo ya mahusianao lakini una mihemko ndani yako.
nisingejua kabisa kama unaogopa kinyani kiasi hicho 🐒
Na zaidi ya hapo,
Pale ninapopo pata ugumu, uzito au kukosa uelewa wa jambo fulani, hua namwambia Mungu anirahisishie, anionyeshe njia na kunifundisha kama mtoto mdogo sana nisie elewa chochote ili hatimae niweze kujikwamua mahali nilipokwama 🐒
Imeandikwa,
waacheni watoto wa dogo waje kwangu....
kuwabeza na kuwadharau watoto wa dogo ni kufuru 🐒
Wewe sema nikufundishe! Tusiandikie wino akati mate yapoSarakasi huwezi wewe. 🤣
Umfundishe Mwalimu? Huna adabu.Wewe sema nikufundishe! Tusiandikie wino akati mate yapo