Umeshawai kufumania? Ilikuaje, ulipatwa na hali gani, ukafanya uamuzi gani?

Jambo Kubwa

Senior Member
Jan 21, 2017
149
204
Salam salam ndugu, jamaa, washkaji na marafiki. Natoa salam hizi nikiwa sina akili zangu timamu kutokana na jambo nililoshuhudia siku chache nyuma.

Kama kichwa cha habari kinavyosema, mimi ni kijana wa miaka 30+ ila sijafika 35, nipo katikati apo.

Sasa kama mnavyojua ndugu zangu wiki hii kulikua na mapumziko marefu kuanzia Ijumaa siku mwokozi anasurubiwa hadi kufa, jumapili ya ufufuo wake na jumatatu kumalizia sherehe za ufufuo wake na siku hii iliambatana na siku ya wajinga (01/04)

Katika mapumziko haya tulikubaliana mimi na mpenzi wangu tukutane mkoa flani uliopo katikati ya nchi ili tuwe pamoja na tuyatumie vizuri mapumziko maana huwa tunakua mbali mbali mda mrefu kutokana na mihangaiko ya kimaisha (tunafanya kazi mikoa tofauti).

Kama kawaida alhamisi kuu hakukua na mambo mengi ofisini, si unajua wafanyakazi wakishajua kuna mapumziko marefu kwa io akili zinawaza mapumziko tu muda ufike waondoke. Mimi nilitoka mapema sana siku hii, nikaenda kujiandaa na safari ya kwenda kumuona Haniiiiii.

Jioni yake nikapanda basi kwenda mkoa wa katikati ya nchi, nikafika mida ya sa 4 au 5 usiku hivi. Baada ya kushuka kwenye basi nikampigia simu kumtaarifu kwamba nimefika ili nijue yupo ile sehemu tunayofikiaga siku zote au yupo sehemu nyingine nipitie.

Nilipiga simu haikupokelewa, nikasubiri kama nusu saa hivi nikapiga tena simu haikupokelewa, nikaanza kujiuliza kuna nini tena mbona sio kawaida yake. Ikabidi nifanye uamuzi wa kuchukua bodaboda na kuelekea

moja kwa moja sehemu ambayo huwa tunafikia mimi na bebi mama wangu.

Vuuuum hadi lodge, nashuka tu kwenye boda naona simu yake inaita, nikapokea nikamuuliza vipi akasema fresh, usingizi ulimpitia ndo mana hakupokea simu nikamwambia poa haina shida, akaniuliza umeshafika nikamwambia ndio nipo sehemu yetu kabisa, akanielekeza namba ya chumba basi nikajongea zangu hadi chumbani.

Kufika room tukaonana na mambo mengine yakaendelea poa kama mnavyojua wapenzi wasiokutana mda mrefu wakikutana huwa inakuaje, ilikua ni nyakati nzuri sana sikumbuki hata usingizi ulikuja sa ngapi, tulikuja kushtuka kesho yake siku isiyoruhusiwa kula nyama alaf mi nimekula tena mbichi mida ya sa tano asubuhi hivi watu wa usafi walivyokuja kutugongea mlango.

Mambo yalienda poa sana, kiasi kwamba tulipanga tuondoke jumatatu ya pasaka ili jumanne kila mtu awe kituo chake cha kazi tukaongeza siku moja yaani tuondoke jumanne, jumatano ndo tuwe kazini. Sasa hii siku ya moja tulioiongeza ndo ilikua kivumbii.

Katika huu mkoa nna ndugu zangu, kwa io nilimpanga mtu wangu kwamba jumatatu jioni ntaenda kusalimia ao ndugu ila nitawai kurudi kabla ya sa tatu usiku nitaku nimesharudi. Io siku na muda ukafika nikamuaga mwenzangu naenda kusalimia akasema poa.

Nikafika kwa ndugu zangu nikakaa nikapiga story sana,ilivyofika mida ya sa moja usiku sim ikaita, bebe ananipigia nikapokea ananiambia kuna wenzake wamekuja ameenda kuonana nao alaf funguo ya pale chumbani amejisahau ameibeba ajaiacha mapokezi kwa io nikiwa narudi nimwambie ili na yeye arudi, nikamwambia poa haina shida.

Mida ya sa mbili usiku nikaanza kutoka kwa ndugu zangu, nikamtumia msg bebe kwamba ndo natoka kwa ndugu ili na yeye ajiandae kurudi tunapokaa. Ile msg haikujibiwa, kama kawaida nikapanda bajaji hadi mjini kati kabla sijaenda tulipofikia nikampigia simu hakupokea, nikapotezea nikapitia dukani nikamchukulia zawadi nikaanza kutembea mdogo mdogo kueleka ile lodge, nikapiga tena simu haikupokelewa, apo muda ni kama sa tatu na nusu hivi. Akili ikaanza kuwaza amepatwa na nini, ameshatoka aliponiambia ameenda au bado maana sim haipokelewi msg hajibu.

Nikaingia pale lodge nikamkuta dada wa mapokezi, tukasalimiana na tunafahamiana maana sisi ni wateja wake wa mda mrefu, badae nikamuuliza uyu dada ambae nipo nae yupo umu ndani au hajarudi, akaniambia yupo na mbona hajatoka leo. Eeeh kitu kikagonga kichwani kwamba hajatoka na mi aliniambia ametoka, nikazuga pale mapokezi nikamuaga yule mfanyakazi alaf chaap nikaenda mlangoni kwenye chumba changu.

Kuzungusha kitasa mlango umefungwa kwa ndani, nikagonga mara kadhaa haufunguliwi nikachungulia ile sehemu ya kupitisha funguo nikaona funguo ipo ndani, nikajiuliza uyu amelala au ni nini? Nikapiga sim hapokei. Ikabidi niongeze nguvu ya kugonga mlango baada ya muda kidogo nikasikia mijongeo ya miguu paap funguo zinacheza mlango unafunguliwa.

Ile kufungua tu mlango akasimama mlangoni ananizuia nisiingie, nikamuuliza vipi akaniambia ndani kuna rafiki zake wawili (mtu na mpenzi wake) kwa io anaomba tuwapishe watoke alaf ndo sisi tuingie, nikamwambia unasemajee kudadeki nilimrukia kichwa kimoja yule binti kama bahati kuna mtu alikua anapita kwenye korido za lodge akawai akamvuta pembeni nikaenda kukita ukutani, ukuta ulitikisika kama tetemeko limepita na mimi nikaumia kichwa.

Nikaondoka kwenye lile eneo navuja dam nikaenda nje nikasema siondoki maeneo haya hadi nione alikua na nani, nikarudi tena kuelekea kwenye kile chumba nikapishana na MCHIZI kwenye korido anatoka kwenye chumba chetu, nikapoa jamaa akanisalimia nikamuitikia tukapishana. (Jamaa ananifahamu na mimi namfaham, na tulifahamiana kupitia uyu mpenzi wangu).

Nikawa nimeshapata majibu kwamba mle ndani alikua na yule jamaa ambae siku za nyuma aliwai kunitambulisha kwake kama rafiki ake alisoma nae Chuo.

Sasa chumbani ndo kukawa mziki, akawa anakataa hawajafanya chochote walikuwa wanapiga tu story, nikamuuliza kwa nini ulinidanganya uliniambia unatoka kumbe haujatoka, kwa nini ulinizuia nisiingie kama kulikua hamna jambo lolote akajibu alikua anaogopa.

Hasira zilikua nyingi jumlisha na maumivu ya kichwa, nikaingia bafuni nikajimwagia maji nikahisi unafuu kidogo, nikapoa.

Sasa nikagundua kitu mbona mda wote angang’ang’ania kanga haitoi mwilini mwake, sikumuuliza, akataka kwenda kuoga nikaona anaenda vilevile na nguo nilizomkuta nazo nikamsimamisha nikamvuta ile kanga akaanza kurudi nyuma, nikamshika kwa nguvu kunyanyua lile gauni ndani hana kitu kumshika juu hana kitu (yani vazi alilokua nalo ni lile gauni tu) aagh bas nikajiridhisha leo siku ya wajinga nimekua mjinga nimepigiwa manzi wangu.

Nikamuacha sikuumuliza chochote, hali yangu nikawa siielewi akaanza kuomba msamaha na kusisitiza hawajafanya chochote, nikamwambia poa haina shida.

Sasa kupata usingizi kulala ikawa issue mi sipati usingizi, mtoto wa watu analia tu usiku kucha, kusema kweli nilimpotezea nikamuacha na sikulala nae kama ambavyo huwa tunalala siku zote.

Ilipofika sa 9 usiku uvumulivu ukanishinda nikamwambia mimi na wewe basi, tukiondoka apa tusijuane tena eeh nikawa nimeamsha kilio upya.

Yule muhudumu wa pale lodge akaja akanigongea, nikafungua nikawa naongea nae (alijua nampiga labda) kwa io alikuja kucheki usalama akakuta usalama upo poa kama Ikulu.

Kulivyokucha nikajiandaa nikapanga vitu vyangu, nikamuaga na kumtakia maisha mema kilio kikaanza tena, nikatoka nje kwanza nimuache apumue.

Nilivyokua nje nikakutana na mmama mmoja mtu mzima ambae huwa anahudumu kwenye hii lodge na tumezoeana tu ile kikawaida, akaniita akaanza kuniuliza vipi wewe na mwenzako (nadhani alijua kuna kitu). Nikamuelezea kila kitu kama ilivyokua na maamuzi niliyochukua, akaanza kunipa ushauri pale ananiuliza mahusiano yetu yana mda gani na nini, mwisho akanishauri nisimuache nimpe muda, nirudi niongee nae na muondoke apa mmeelewana ila katika uo mda unaompa unakua unamchunguza, sio vema mmekuja apa wote alaf kila mtu anaondoka kivyake sio jambo jema hata uko mnapoenda hakutokua kwema.

Aagh nikaona poa maneno ya mtu mzima yana maana, nikarudi chumbani nikamkuta mtoto yupo tu machozi yanatoka nikaanza kuongea nae na kumwambia hatuachani nilifanya maamuzi nilikurupuka sababu ya hasira na nini kwa io tuendelee kuwa ote lakini tuchunge miendeneo yetu, basi tukabembelezana pale akaamka akajaindaa tukanywa chai tukaondoka, tukapita sehemu tukafanya manunuzi ya hapa na pale tukaenda stendi akapanda gari akaondoka kwenda kazini, na mi nikaenda kutafuta usafiri nikaondoka kwenda mkoa wangu naofanya kazi.

Picha ikawa imeishia hivo, PASAKA imekua PASUKA maana nna kakovu kichwani apa. Sasa nachowaza maamuzi yapi sahihi ni yale niliofanya usiku wa manane au niliofanya asubuhi baada ya kushauriwa (sielewi)

Lakini ni tukio baya sana kutokewa kwenye maisha yangu, sijawai fikiria kama ntakuja kutana na kitu kama hiki ila ndo imeshatokea na kama tupo hai maisha lazima yaendelee tu.

Vipi wewe, limewai kukutokea ilikuaje, ulichukua uamuzi gani..??!
Karibu tubadilishane uzoefu
 
Salam salam ndugu, jamaa, washkaji na marafiki. Natoa salam hizi nikiwa sina akili zangu timamu kutokana na jambo nililoshuhudia siku chache nyuma.

Kama kichwa cha habari kinavyosema, mimi ni kijana wa miaka 30+ ila sijafika 35, nipo katikati apo.

Sasa kama mnavyojua ndugu zangu wiki hii kulikua na mapumziko marefu kuanzia Ijumaa siku mwokozi anasurubiwa hadi kufa, jumapili ya ufufuo wake na jumatatu kumalizia sherehe za ufufuo wake na siku hii iliambatana na siku ya wajinga (01/04)

Katika mapumziko haya tulikubaliana mimi na mpenzi wangu tukutane mkoa flani uliopo katikati ya nchi ili tuwe pamoja na tuyatumie vizuri mapumziko maana huwa tunakua mbali mbali mda mrefu kutokana na mihangaiko ya kimaisha (tunafanya kazi mikoa tofauti).

Kama kawaida alhamisi kuu hakukua na mambo mengi ofisini, si unajua wafanyakazi wakishajua kuna mapumziko marefu kwa io akili zinawaza mapumziko tu muda ufike waondoke. Mimi nilitoka mapema sana siku hii, nikaenda kujiandaa na safari ya kwenda kumuona Haniiiiii.

Jioni yake nikapanda basi kwenda mkoa wa katikati ya nchi, nikafika mida ya sa 4 au 5 usiku hivi. Baada ya kushuka kwenye basi nikampigia simu kumtaarifu kwamba nimefika ili nijue yupo ile sehemu tunayofikiaga siku zote au yupo sehemu nyingine nipitie.

Nilipiga simu haikupokelewa, nikasubiri kama nusu saa hivi nikapiga tena simu haikupokelewa, nikaanza kujiuliza kuna nini tena mbona sio kawaida yake. Ikabidi nifanye uamuzi wa kuchukua bodaboda na kuelekea

moja kwa moja sehemu ambayo huwa tunafikia mimi na bebi mama wangu.

Vuuuum hadi lodge, nashuka tu kwenye boda naona simu yake inaita, nikapokea nikamuuliza vipi akasema fresh, usingizi ulimpitia ndo mana hakupokea simu nikamwambia poa haina shida, akaniuliza umeshafika nikamwambia ndio nipo sehemu yetu kabisa, akanielekeza namba ya chumba basi nikajongea zangu hadi chumbani.

Kufika room tukaonana na mambo mengine yakaendelea poa kama mnavyojua wapenzi wasiokutana mda mrefu wakikutana huwa inakuaje, ilikua ni nyakati nzuri sana sikumbuki hata usingizi ulikuja sa ngapi, tulikuja kushtuka kesho yake siku isiyoruhusiwa kula nyama alaf mi nimekula tena mbichi mida ya sa tano asubuhi hivi watu wa usafi walivyokuja kutugongea mlango.

Mambo yalienda poa sana, kiasi kwamba tulipanga tuondoke jumatatu ya pasaka ili jumanne kila mtu awe kituo chake cha kazi tukaongeza siku moja yaani tuondoke jumanne, jumatano ndo tuwe kazini. Sasa hii siku ya moja tulioiongeza ndo ilikua kivumbii.

Katika huu mkoa nna ndugu zangu, kwa io nilimpanga mtu wangu kwamba jumatatu jioni ntaenda kusalimia ao ndugu ila nitawai kurudi kabla ya sa tatu usiku nitaku nimesharudi. Io siku na muda ukafika nikamuaga mwenzangu naenda kusalimia akasema poa.

Nikafika kwa ndugu zangu nikakaa nikapiga story sana,ilivyofika mida ya sa moja usiku sim ikaita, bebe ananipigia nikapokea ananiambia kuna wenzake wamekuja ameenda kuonana nao alaf funguo ya pale chumbani amejisahau ameibeba ajaiacha mapokezi kwa io nikiwa narudi nimwambie ili na yeye arudi, nikamwambia poa haina shida.

Mida ya sa mbili usiku nikaanza kutoka kwa ndugu zangu, nikamtumia msg bebe kwamba ndo natoka kwa ndugu ili na yeye ajiandae kurudi tunapokaa. Ile msg haikujibiwa, kama kawaida nikapanda bajaji hadi mjini kati kabla sijaenda tulipofikia nikampigia simu hakupokea, nikapotezea nikapitia dukani nikamchukulia zawadi nikaanza kutembea mdogo mdogo kueleka ile lodge, nikapiga tena simu haikupokelewa, apo muda ni kama sa tatu na nusu hivi. Akili ikaanza kuwaza amepatwa na nini, ameshatoka aliponiambia ameenda au bado maana sim haipokelewi msg hajibu.

Nikaingia pale lodge nikamkuta dada wa mapokezi, tukasalimiana na tunafahamiana maana sisi ni wateja wake wa mda mrefu, badae nikamuuliza uyu dada ambae nipo nae yupo umu ndani au hajarudi, akaniambia yupo na mbona hajatoka leo. Eeeh kitu kikagonga kichwani kwamba hajatoka na mi aliniambia ametoka, nikazuga pale mapokezi nikamuaga yule mfanyakazi alaf chaap nikaenda mlangoni kwenye chumba changu.

Kuzungusha kitasa mlango umefungwa kwa ndani, nikagonga mara kadhaa haufunguliwi nikachungulia ile sehemu ya kupitisha funguo nikaona funguo ipo ndani, nikajiuliza uyu amelala au ni nini? Nikapiga sim hapokei. Ikabidi niongeze nguvu ya kugonga mlango baada ya muda kidogo nikasikia mijongeo ya miguu paap funguo zinacheza mlango unafunguliwa.

Ile kufungua tu mlango akasimama mlangoni ananizuia nisiingie, nikamuuliza vipi akaniambia ndani kuna rafiki zake wawili (mtu na mpenzi wake) kwa io anaomba tuwapishe watoke alaf ndo sisi tuingie, nikamwambia unasemajee kudadeki nilimrukia kichwa kimoja yule binti kama bahati kuna mtu alikua anapita kwenye korido za lodge akawai akamvuta pembeni nikaenda kukita ukutani, ukuta ulitikisika kama tetemeko limepita na mimi nikaumia kichwa.

Nikaondoka kwenye lile eneo navuja dam nikaenda nje nikasema siondoki maeneo haya hadi nione alikua na nani, nikarudi tena kuelekea kwenye kile chumba nikapishana na MCHIZI kwenye korido anatoka kwenye chumba chetu, nikapoa jamaa akanisalimia nikamuitikia tukapishana. (Jamaa ananifahamu na mimi namfaham, na tulifahamiana kupitia uyu mpenzi wangu).

Nikawa nimeshapata majibu kwamba mle ndani alikua na yule jamaa ambae siku za nyuma aliwai kunitambulisha kwake kama rafiki ake alisoma nae Chuo.

Sasa chumbani ndo kukawa mziki, akawa anakataa hawajafanya chochote walikuwa wanapiga tu story, nikamuuliza kwa nini ulinidanganya uliniambia unatoka kumbe haujatoka, kwa nini ulinizuia nisiingie kama kulikua hamna jambo lolote akajibu alikua anaogopa.

Hasira zilikua nyingi jumlisha na maumivu ya kichwa, nikaingia bafuni nikajimwagia maji nikahisi unafuu kidogo, nikapoa.

Sasa nikagundua kitu mbona mda wote angang’ang’ania kanga haitoi mwilini mwake, sikumuuliza, akataka kwenda kuoga nikaona anaenda vilevile na nguo nilizomkuta nazo nikamsimamisha nikamvuta ile kanga akaanza kurudi nyuma, nikamshika kwa nguvu kunyanyua lile gauni ndani hana kitu kumshika juu hana kitu (yani vazi alilokua nalo ni lile gauni tu) aagh bas nikajiridhisha leo siku ya wajinga nimekua mjinga nimepigiwa manzi wangu.

Nikamuacha sikuumuliza chochote, hali yangu nikawa siielewi akaanza kuomba msamaha na kusisitiza hawajafanya chochote, nikamwambia poa haina shida.

Sasa kupata usingizi kulala ikawa issue mi sipati usingizi, mtoto wa watu analia tu usiku kucha, kusema kweli nilimpotezea nikamuacha na sikulala nae kama ambavyo huwa tunalala siku zote.

Ilipofika sa 9 usiku uvumulivu ukanishinda nikamwambia mimi na wewe basi, tukiondoka apa tusijuane tena eeh nikawa nimeamsha kilio upya.

Yule muhudumu wa pale lodge akaja akanigongea, nikafungua nikawa naongea nae (alijua nampiga labda) kwa io alikuja kucheki usalama akakuta usalama upo poa kama Ikulu.

Kulivyokucha nikajiandaa nikapanga vitu vyangu, nikamuaga na kumtakia maisha mema kilio kikaanza tena, nikatoka nje kwanza nimuache apumue.

Nilivyokua nje nikakutana na mmama mmoja mtu mzima ambae huwa anahudumu kwenye hii lodge na tumezoeana tu ile kikawaida, akaniita akaanza kuniuliza vipi wewe na mwenzako (nadhani alijua kuna kitu). Nikamuelezea kila kitu kama ilivyokua na maamuzi niliyochukua, akaanza kunipa ushauri pale ananiuliza mahusiano yetu yana mda gani na nini, mwisho akanishauri nisimuache nimpe muda, nirudi niongee nae na muondoke apa mmeelewana ila katika uo mda unaompa unakua unamchunguza, sio vema mmekuja apa wote alaf kila mtu anaondoka kivyake sio jambo jema hata uko mnapoenda hakutokua kwema.

Aagh nikaona poa maneno ya mtu mzima yana maana, nikarudi chumbani nikamkuta mtoto yupo tu machozi yanatoka nikaanza kuongea nae na kumwambia hatuachani nilifanya maamuzi nilikurupuka sababu ya hasira na nini kwa io tuendelee kuwa ote lakini tuchunge miendeneo yetu, basi tukabembelezana pale akaamka akajaindaa tukanywa chai tukaondoka, tukapita sehemu tukafanya manunuzi ya hapa na pale tukaenda stendi akapanda gari akaondoka kwenda kazini, na mi nikaenda kutafuta usafiri nikaondoka kwenda mkoa wangu naofanya kazi.

Picha ikawa imeishia hivo, PASAKA imekua PASUKA maana nna kakovu kichwani apa. Sasa nachowaza maamuzi yapi sahihi ni yale niliofanya usiku wa manane au niliofanya asubuhi baada ya kushauriwa (sielewi)

Lakini ni tukio baya sana kutokewa kwenye maisha yangu, sijawai fikiria kama ntakuja kutana na kitu kama hiki ila ndo imeshatokea na kama tupo hai maisha lazima yaendelee tu.

Vipi wewe, limewai kukutokea ilikuaje, ulichukua uamuzi gani..??!
Karibu tubadilishane uzoefu
Amina kuzika au kusafirisha ila ukweli huyo dada hakupeeeeeeeeendina hafirahii kuwa na wewe km anavofurahia kuwa na jamaaa ndio maana aliona Bora akukose wewe awe na jamaaa........
 
Chaji akili hizo!
Kwenye chumba chenu cha lodge, kitanda hikohiko amekudharau mara elfu 10 wahudumu wameona jinsi ulivyochapiwa mchana kweupeee!! Hakuogopi hakuheshimu hata kidunchu!
Jamaa amemkunja hadi mlio wa simu yako akawa hasikii na bado umemsamehe.

Yeye na bwana ake saa hii wanakucheka....🤣
 
Hata katika vitabu vya DINI imeandika samehe mara 70
Lkn walipofika katika USALITI (UZINIFU) wa mwanamke hapo wamekemea mbaya
7bu wanasayansi wanaamini mwanamke acheat kwa bahati mbaya ameamua

Na mtibeli kila siku anasema mwanamke akikupenda hawezi kukusaliti
Mwanamke anaweza kuificha QYUMA yake hata miaka miwili akikusubilia kipenzi uje uipekenyue wewe pekee yake

Kwa kifupi huyo ni MALAYA na amekudhrau sana amekuona wewe ni
BWEGE MTOZENI
POPOYO
JINGA
KUBWA JINGA
MSHAMBA
POPOMA
hupindui kwake hizo ni dharau kubwa
Mwanamke msaliti haumpi tena nafasi ya pili ukimpa nafasi ya pili utajuta maisha yako yote 7bu ataona ameshakuweza
Piga CHINI itauma mwanzo tena sana ila after siku kadhaa pain itapotea tafuta mke OA
asikwambie mtu kuna wanawake wazuri wa kila aina katika maisha yangu sikuwahi kuwahi kuwaza kama nitapata DEMU ANASQUITING na KUVAIBRATE kama vile kwenye Pornvideo yaan naenjoy balaa
Kwa hiyo mjomba usiogope mademu wapo kibao wanatusubiri sie VIDUME
na wewe mwanaume FURAHI kuumbwa MWANAUME tena SHABABI linga sana
Huyo MALAYA asikusumbue piga chini faster
 
Salam salam ndugu, jamaa, washkaji na marafiki. Natoa salam hizi nikiwa sina akili zangu timamu kutokana na jambo nililoshuhudia siku chache nyuma.

Kama kichwa cha habari kinavyosema, mimi ni kijana wa miaka 30+ ila sijafika 35, nipo katikati apo.

Sasa kama mnavyojua ndugu zangu wiki hii kulikua na mapumziko marefu kuanzia Ijumaa siku mwokozi anasurubiwa hadi kufa, jumapili ya ufufuo wake na jumatatu kumalizia sherehe za ufufuo wake na siku hii iliambatana na siku ya wajinga (01/04)

Katika mapumziko haya tulikubaliana mimi na mpenzi wangu tukutane mkoa flani uliopo katikati ya nchi ili tuwe pamoja na tuyatumie vizuri mapumziko maana huwa tunakua mbali mbali mda mrefu kutokana na mihangaiko ya kimaisha (tunafanya kazi mikoa tofauti).

Kama kawaida alhamisi kuu hakukua na mambo mengi ofisini, si unajua wafanyakazi wakishajua kuna mapumziko marefu kwa io akili zinawaza mapumziko tu muda ufike waondoke. Mimi nilitoka mapema sana siku hii, nikaenda kujiandaa na safari ya kwenda kumuona Haniiiiii.

Jioni yake nikapanda basi kwenda mkoa wa katikati ya nchi, nikafika mida ya sa 4 au 5 usiku hivi. Baada ya kushuka kwenye basi nikampigia simu kumtaarifu kwamba nimefika ili nijue yupo ile sehemu tunayofikiaga siku zote au yupo sehemu nyingine nipitie.

Nilipiga simu haikupokelewa, nikasubiri kama nusu saa hivi nikapiga tena simu haikupokelewa, nikaanza kujiuliza kuna nini tena mbona sio kawaida yake. Ikabidi nifanye uamuzi wa kuchukua bodaboda na kuelekea

moja kwa moja sehemu ambayo huwa tunafikia mimi na bebi mama wangu.

Vuuuum hadi lodge, nashuka tu kwenye boda naona simu yake inaita, nikapokea nikamuuliza vipi akasema fresh, usingizi ulimpitia ndo mana hakupokea simu nikamwambia poa haina shida, akaniuliza umeshafika nikamwambia ndio nipo sehemu yetu kabisa, akanielekeza namba ya chumba basi nikajongea zangu hadi chumbani.

Kufika room tukaonana na mambo mengine yakaendelea poa kama mnavyojua wapenzi wasiokutana mda mrefu wakikutana huwa inakuaje, ilikua ni nyakati nzuri sana sikumbuki hata usingizi ulikuja sa ngapi, tulikuja kushtuka kesho yake siku isiyoruhusiwa kula nyama alaf mi nimekula tena mbichi mida ya sa tano asubuhi hivi watu wa usafi walivyokuja kutugongea mlango.

Mambo yalienda poa sana, kiasi kwamba tulipanga tuondoke jumatatu ya pasaka ili jumanne kila mtu awe kituo chake cha kazi tukaongeza siku moja yaani tuondoke jumanne, jumatano ndo tuwe kazini. Sasa hii siku ya moja tulioiongeza ndo ilikua kivumbii.

Katika huu mkoa nna ndugu zangu, kwa io nilimpanga mtu wangu kwamba jumatatu jioni ntaenda kusalimia ao ndugu ila nitawai kurudi kabla ya sa tatu usiku nitaku nimesharudi. Io siku na muda ukafika nikamuaga mwenzangu naenda kusalimia akasema poa.

Nikafika kwa ndugu zangu nikakaa nikapiga story sana,ilivyofika mida ya sa moja usiku sim ikaita, bebe ananipigia nikapokea ananiambia kuna wenzake wamekuja ameenda kuonana nao alaf funguo ya pale chumbani amejisahau ameibeba ajaiacha mapokezi kwa io nikiwa narudi nimwambie ili na yeye arudi, nikamwambia poa haina shida.

Mida ya sa mbili usiku nikaanza kutoka kwa ndugu zangu, nikamtumia msg bebe kwamba ndo natoka kwa ndugu ili na yeye ajiandae kurudi tunapokaa. Ile msg haikujibiwa, kama kawaida nikapanda bajaji hadi mjini kati kabla sijaenda tulipofikia nikampigia simu hakupokea, nikapotezea nikapitia dukani nikamchukulia zawadi nikaanza kutembea mdogo mdogo kueleka ile lodge, nikapiga tena simu haikupokelewa, apo muda ni kama sa tatu na nusu hivi. Akili ikaanza kuwaza amepatwa na nini, ameshatoka aliponiambia ameenda au bado maana sim haipokelewi msg hajibu.

Nikaingia pale lodge nikamkuta dada wa mapokezi, tukasalimiana na tunafahamiana maana sisi ni wateja wake wa mda mrefu, badae nikamuuliza uyu dada ambae nipo nae yupo umu ndani au hajarudi, akaniambia yupo na mbona hajatoka leo. Eeeh kitu kikagonga kichwani kwamba hajatoka na mi aliniambia ametoka, nikazuga pale mapokezi nikamuaga yule mfanyakazi alaf chaap nikaenda mlangoni kwenye chumba changu.

Kuzungusha kitasa mlango umefungwa kwa ndani, nikagonga mara kadhaa haufunguliwi nikachungulia ile sehemu ya kupitisha funguo nikaona funguo ipo ndani, nikajiuliza uyu amelala au ni nini? Nikapiga sim hapokei. Ikabidi niongeze nguvu ya kugonga mlango baada ya muda kidogo nikasikia mijongeo ya miguu paap funguo zinacheza mlango unafunguliwa.

Ile kufungua tu mlango akasimama mlangoni ananizuia nisiingie, nikamuuliza vipi akaniambia ndani kuna rafiki zake wawili (mtu na mpenzi wake) kwa io anaomba tuwapishe watoke alaf ndo sisi tuingie, nikamwambia unasemajee kudadeki nilimrukia kichwa kimoja yule binti kama bahati kuna mtu alikua anapita kwenye korido za lodge akawai akamvuta pembeni nikaenda kukita ukutani, ukuta ulitikisika kama tetemeko limepita na mimi nikaumia kichwa.

Nikaondoka kwenye lile eneo navuja dam nikaenda nje nikasema siondoki maeneo haya hadi nione alikua na nani, nikarudi tena kuelekea kwenye kile chumba nikapishana na MCHIZI kwenye korido anatoka kwenye chumba chetu, nikapoa jamaa akanisalimia nikamuitikia tukapishana. (Jamaa ananifahamu na mimi namfaham, na tulifahamiana kupitia uyu mpenzi wangu).

Nikawa nimeshapata majibu kwamba mle ndani alikua na yule jamaa ambae siku za nyuma aliwai kunitambulisha kwake kama rafiki ake alisoma nae Chuo.

Sasa chumbani ndo kukawa mziki, akawa anakataa hawajafanya chochote walikuwa wanapiga tu story, nikamuuliza kwa nini ulinidanganya uliniambia unatoka kumbe haujatoka, kwa nini ulinizuia nisiingie kama kulikua hamna jambo lolote akajibu alikua anaogopa.

Hasira zilikua nyingi jumlisha na maumivu ya kichwa, nikaingia bafuni nikajimwagia maji nikahisi unafuu kidogo, nikapoa.

Sasa nikagundua kitu mbona mda wote angang’ang’ania kanga haitoi mwilini mwake, sikumuuliza, akataka kwenda kuoga nikaona anaenda vilevile na nguo nilizomkuta nazo nikamsimamisha nikamvuta ile kanga akaanza kurudi nyuma, nikamshika kwa nguvu kunyanyua lile gauni ndani hana kitu kumshika juu hana kitu (yani vazi alilokua nalo ni lile gauni tu) aagh bas nikajiridhisha leo siku ya wajinga nimekua mjinga nimepigiwa manzi wangu.

Nikamuacha sikuumuliza chochote, hali yangu nikawa siielewi akaanza kuomba msamaha na kusisitiza hawajafanya chochote, nikamwambia poa haina shida.

Sasa kupata usingizi kulala ikawa issue mi sipati usingizi, mtoto wa watu analia tu usiku kucha, kusema kweli nilimpotezea nikamuacha na sikulala nae kama ambavyo huwa tunalala siku zote.

Ilipofika sa 9 usiku uvumulivu ukanishinda nikamwambia mimi na wewe basi, tukiondoka apa tusijuane tena eeh nikawa nimeamsha kilio upya.

Yule muhudumu wa pale lodge akaja akanigongea, nikafungua nikawa naongea nae (alijua nampiga labda) kwa io alikuja kucheki usalama akakuta usalama upo poa kama Ikulu.

Kulivyokucha nikajiandaa nikapanga vitu vyangu, nikamuaga na kumtakia maisha mema kilio kikaanza tena, nikatoka nje kwanza nimuache apumue.

Nilivyokua nje nikakutana na mmama mmoja mtu mzima ambae huwa anahudumu kwenye hii lodge na tumezoeana tu ile kikawaida, akaniita akaanza kuniuliza vipi wewe na mwenzako (nadhani alijua kuna kitu). Nikamuelezea kila kitu kama ilivyokua na maamuzi niliyochukua, akaanza kunipa ushauri pale ananiuliza mahusiano yetu yana mda gani na nini, mwisho akanishauri nisimuache nimpe muda, nirudi niongee nae na muondoke apa mmeelewana ila katika uo mda unaompa unakua unamchunguza, sio vema mmekuja apa wote alaf kila mtu anaondoka kivyake sio jambo jema hata uko mnapoenda hakutokua kwema.

Aagh nikaona poa maneno ya mtu mzima yana maana, nikarudi chumbani nikamkuta mtoto yupo tu machozi yanatoka nikaanza kuongea nae na kumwambia hatuachani nilifanya maamuzi nilikurupuka sababu ya hasira na nini kwa io tuendelee kuwa ote lakini tuchunge miendeneo yetu, basi tukabembelezana pale akaamka akajaindaa tukanywa chai tukaondoka, tukapita sehemu tukafanya manunuzi ya hapa na pale tukaenda stendi akapanda gari akaondoka kwenda kazini, na mi nikaenda kutafuta usafiri nikaondoka kwenda mkoa wangu naofanya kazi.

Picha ikawa imeishia hivo, PASAKA imekua PASUKA maana nna kakovu kichwani apa. Sasa nachowaza maamuzi yapi sahihi ni yale niliofanya usiku wa manane au niliofanya asubuhi baada ya kushauriwa (sielewi)

Lakini ni tukio baya sana kutokewa kwenye maisha yangu, sijawai fikiria kama ntakuja kutana na kitu kama hiki ila ndo imeshatokea na kama tupo hai maisha lazima yaendelee tu.

Vipi wewe, limewai kukutokea ilikuaje, ulichukua uamuzi gani..??!
Karibu tubadilishane uzoefu
Mmmh
 
Wewe ni mjinga kabisa yani mwanamke anatombewa kwenye kitanda mlicholala wote bado unamsamehe acha kuendekeza hisia kijana tumia akili kumbuka mko mikoa tofauti vipi uko atakuwa analiwa sana haikutosha amekudhibitishia kabisa unataka nn tena badala ya kushukuru umeona upumbavu wake live mapema ushauri msamehe mwanamke makosa yote ila sio kutombwa nje hii ni dharau kubwa sana na kamwe haisameheki hata maandiko yameandika mwanamke anapaswa kuachwa tu anapozini na mwanaume ambaye siyo wako

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Salam salam ndugu, jamaa, washkaji na marafiki. Natoa salam hizi nikiwa sina akili zangu timamu kutokana na jambo nililoshuhudia siku chache nyuma.

Kama kichwa cha habari kinavyosema, mimi ni kijana wa miaka 30+ ila sijafika 35, nipo katikati apo.

Sasa kama mnavyojua ndugu zangu wiki hii kulikua na mapumziko marefu kuanzia Ijumaa siku mwokozi anasurubiwa hadi kufa, jumapili ya ufufuo wake na jumatatu kumalizia sherehe za ufufuo wake na siku hii iliambatana na siku ya wajinga (01/04)

Katika mapumziko haya tulikubaliana mimi na mpenzi wangu tukutane mkoa flani uliopo katikati ya nchi ili tuwe pamoja na tuyatumie vizuri mapumziko maana huwa tunakua mbali mbali mda mrefu kutokana na mihangaiko ya kimaisha (tunafanya kazi mikoa tofauti).

Kama kawaida alhamisi kuu hakukua na mambo mengi ofisini, si unajua wafanyakazi wakishajua kuna mapumziko marefu kwa io akili zinawaza mapumziko tu muda ufike waondoke. Mimi nilitoka mapema sana siku hii, nikaenda kujiandaa na safari ya kwenda kumuona Haniiiiii.

Jioni yake nikapanda basi kwenda mkoa wa katikati ya nchi, nikafika mida ya sa 4 au 5 usiku hivi. Baada ya kushuka kwenye basi nikampigia simu kumtaarifu kwamba nimefika ili nijue yupo ile sehemu tunayofikiaga siku zote au yupo sehemu nyingine nipitie.

Nilipiga simu haikupokelewa, nikasubiri kama nusu saa hivi nikapiga tena simu haikupokelewa, nikaanza kujiuliza kuna nini tena mbona sio kawaida yake. Ikabidi nifanye uamuzi wa kuchukua bodaboda na kuelekea

moja kwa moja sehemu ambayo huwa tunafikia mimi na bebi mama wangu.

Vuuuum hadi lodge, nashuka tu kwenye boda naona simu yake inaita, nikapokea nikamuuliza vipi akasema fresh, usingizi ulimpitia ndo mana hakupokea simu nikamwambia poa haina shida, akaniuliza umeshafika nikamwambia ndio nipo sehemu yetu kabisa, akanielekeza namba ya chumba basi nikajongea zangu hadi chumbani.

Kufika room tukaonana na mambo mengine yakaendelea poa kama mnavyojua wapenzi wasiokutana mda mrefu wakikutana huwa inakuaje, ilikua ni nyakati nzuri sana sikumbuki hata usingizi ulikuja sa ngapi, tulikuja kushtuka kesho yake siku isiyoruhusiwa kula nyama alaf mi nimekula tena mbichi mida ya sa tano asubuhi hivi watu wa usafi walivyokuja kutugongea mlango.

Mambo yalienda poa sana, kiasi kwamba tulipanga tuondoke jumatatu ya pasaka ili jumanne kila mtu awe kituo chake cha kazi tukaongeza siku moja yaani tuondoke jumanne, jumatano ndo tuwe kazini. Sasa hii siku ya moja tulioiongeza ndo ilikua kivumbii.

Katika huu mkoa nna ndugu zangu, kwa io nilimpanga mtu wangu kwamba jumatatu jioni ntaenda kusalimia ao ndugu ila nitawai kurudi kabla ya sa tatu usiku nitaku nimesharudi. Io siku na muda ukafika nikamuaga mwenzangu naenda kusalimia akasema poa.

Nikafika kwa ndugu zangu nikakaa nikapiga story sana,ilivyofika mida ya sa moja usiku sim ikaita, bebe ananipigia nikapokea ananiambia kuna wenzake wamekuja ameenda kuonana nao alaf funguo ya pale chumbani amejisahau ameibeba ajaiacha mapokezi kwa io nikiwa narudi nimwambie ili na yeye arudi, nikamwambia poa haina shida.

Mida ya sa mbili usiku nikaanza kutoka kwa ndugu zangu, nikamtumia msg bebe kwamba ndo natoka kwa ndugu ili na yeye ajiandae kurudi tunapokaa. Ile msg haikujibiwa, kama kawaida nikapanda bajaji hadi mjini kati kabla sijaenda tulipofikia nikampigia simu hakupokea, nikapotezea nikapitia dukani nikamchukulia zawadi nikaanza kutembea mdogo mdogo kueleka ile lodge, nikapiga tena simu haikupokelewa, apo muda ni kama sa tatu na nusu hivi. Akili ikaanza kuwaza amepatwa na nini, ameshatoka aliponiambia ameenda au bado maana sim haipokelewi msg hajibu.

Nikaingia pale lodge nikamkuta dada wa mapokezi, tukasalimiana na tunafahamiana maana sisi ni wateja wake wa mda mrefu, badae nikamuuliza uyu dada ambae nipo nae yupo umu ndani au hajarudi, akaniambia yupo na mbona hajatoka leo. Eeeh kitu kikagonga kichwani kwamba hajatoka na mi aliniambia ametoka, nikazuga pale mapokezi nikamuaga yule mfanyakazi alaf chaap nikaenda mlangoni kwenye chumba changu.

Kuzungusha kitasa mlango umefungwa kwa ndani, nikagonga mara kadhaa haufunguliwi nikachungulia ile sehemu ya kupitisha funguo nikaona funguo ipo ndani, nikajiuliza uyu amelala au ni nini? Nikapiga sim hapokei. Ikabidi niongeze nguvu ya kugonga mlango baada ya muda kidogo nikasikia mijongeo ya miguu paap funguo zinacheza mlango unafunguliwa.

Ile kufungua tu mlango akasimama mlangoni ananizuia nisiingie, nikamuuliza vipi akaniambia ndani kuna rafiki zake wawili (mtu na mpenzi wake) kwa io anaomba tuwapishe watoke alaf ndo sisi tuingie, nikamwambia unasemajee kudadeki nilimrukia kichwa kimoja yule binti kama bahati kuna mtu alikua anapita kwenye korido za lodge akawai akamvuta pembeni nikaenda kukita ukutani, ukuta ulitikisika kama tetemeko limepita na mimi nikaumia kichwa.

Nikaondoka kwenye lile eneo navuja dam nikaenda nje nikasema siondoki maeneo haya hadi nione alikua na nani, nikarudi tena kuelekea kwenye kile chumba nikapishana na MCHIZI kwenye korido anatoka kwenye chumba chetu, nikapoa jamaa akanisalimia nikamuitikia tukapishana. (Jamaa ananifahamu na mimi namfaham, na tulifahamiana kupitia uyu mpenzi wangu).

Nikawa nimeshapata majibu kwamba mle ndani alikua na yule jamaa ambae siku za nyuma aliwai kunitambulisha kwake kama rafiki ake alisoma nae Chuo.

Sasa chumbani ndo kukawa mziki, akawa anakataa hawajafanya chochote walikuwa wanapiga tu story, nikamuuliza kwa nini ulinidanganya uliniambia unatoka kumbe haujatoka, kwa nini ulinizuia nisiingie kama kulikua hamna jambo lolote akajibu alikua anaogopa.

Hasira zilikua nyingi jumlisha na maumivu ya kichwa, nikaingia bafuni nikajimwagia maji nikahisi unafuu kidogo, nikapoa.

Sasa nikagundua kitu mbona mda wote angang’ang’ania kanga haitoi mwilini mwake, sikumuuliza, akataka kwenda kuoga nikaona anaenda vilevile na nguo nilizomkuta nazo nikamsimamisha nikamvuta ile kanga akaanza kurudi nyuma, nikamshika kwa nguvu kunyanyua lile gauni ndani hana kitu kumshika juu hana kitu (yani vazi alilokua nalo ni lile gauni tu) aagh bas nikajiridhisha leo siku ya wajinga nimekua mjinga nimepigiwa manzi wangu.

Nikamuacha sikuumuliza chochote, hali yangu nikawa siielewi akaanza kuomba msamaha na kusisitiza hawajafanya chochote, nikamwambia poa haina shida.

Sasa kupata usingizi kulala ikawa issue mi sipati usingizi, mtoto wa watu analia tu usiku kucha, kusema kweli nilimpotezea nikamuacha na sikulala nae kama ambavyo huwa tunalala siku zote.

Ilipofika sa 9 usiku uvumulivu ukanishinda nikamwambia mimi na wewe basi, tukiondoka apa tusijuane tena eeh nikawa nimeamsha kilio upya.

Yule muhudumu wa pale lodge akaja akanigongea, nikafungua nikawa naongea nae (alijua nampiga labda) kwa io alikuja kucheki usalama akakuta usalama upo poa kama Ikulu.

Kulivyokucha nikajiandaa nikapanga vitu vyangu, nikamuaga na kumtakia maisha mema kilio kikaanza tena, nikatoka nje kwanza nimuache apumue.

Nilivyokua nje nikakutana na mmama mmoja mtu mzima ambae huwa anahudumu kwenye hii lodge na tumezoeana tu ile kikawaida, akaniita akaanza kuniuliza vipi wewe na mwenzako (nadhani alijua kuna kitu). Nikamuelezea kila kitu kama ilivyokua na maamuzi niliyochukua, akaanza kunipa ushauri pale ananiuliza mahusiano yetu yana mda gani na nini, mwisho akanishauri nisimuache nimpe muda, nirudi niongee nae na muondoke apa mmeelewana ila katika uo mda unaompa unakua unamchunguza, sio vema mmekuja apa wote alaf kila mtu anaondoka kivyake sio jambo jema hata uko mnapoenda hakutokua kwema.

Aagh nikaona poa maneno ya mtu mzima yana maana, nikarudi chumbani nikamkuta mtoto yupo tu machozi yanatoka nikaanza kuongea nae na kumwambia hatuachani nilifanya maamuzi nilikurupuka sababu ya hasira na nini kwa io tuendelee kuwa ote lakini tuchunge miendeneo yetu, basi tukabembelezana pale akaamka akajaindaa tukanywa chai tukaondoka, tukapita sehemu tukafanya manunuzi ya hapa na pale tukaenda stendi akapanda gari akaondoka kwenda kazini, na mi nikaenda kutafuta usafiri nikaondoka kwenda mkoa wangu naofanya kazi.

Picha ikawa imeishia hivo, PASAKA imekua PASUKA maana nna kakovu kichwani apa. Sasa nachowaza maamuzi yapi sahihi ni yale niliofanya usiku wa manane au niliofanya asubuhi baada ya kushauriwa (sielewi)

Lakini ni tukio baya sana kutokewa kwenye maisha yangu, sijawai fikiria kama ntakuja kutana na kitu kama hiki ila ndo imeshatokea na kama tupo hai maisha lazima yaendelee tu.

Vipi wewe, limewai kukutokea ilikuaje, ulichukua uamuzi gani..??!
Karibu tubadilishane uzoefu
Acha UPAMBUVA.
Fuatilia habari za yule Afisa kilimo wa kule KIBARA km habari za yule jamaa wa MKAA MAGUNIA 2 wa KIGAMBONI zilikupita.
 
Salam salam ndugu, jamaa, washkaji na marafiki. Natoa salam hizi nikiwa sina akili zangu timamu kutokana na jambo nililoshuhudia siku chache nyuma.

Kama kichwa cha habari kinavyosema, mimi ni kijana wa miaka 30+ ila sijafika 35, nipo katikati apo.

Sasa kama mnavyojua ndugu zangu wiki hii kulikua na mapumziko marefu kuanzia Ijumaa siku mwokozi anasurubiwa hadi kufa, jumapili ya ufufuo wake na jumatatu kumalizia sherehe za ufufuo wake na siku hii iliambatana na siku ya wajinga (01/04)

Katika mapumziko haya tulikubaliana mimi na mpenzi wangu tukutane mkoa flani uliopo katikati ya nchi ili tuwe pamoja na tuyatumie vizuri mapumziko maana huwa tunakua mbali mbali mda mrefu kutokana na mihangaiko ya kimaisha (tunafanya kazi mikoa tofauti).

Kama kawaida alhamisi kuu hakukua na mambo mengi ofisini, si unajua wafanyakazi wakishajua kuna mapumziko marefu kwa io akili zinawaza mapumziko tu muda ufike waondoke. Mimi nilitoka mapema sana siku hii, nikaenda kujiandaa na safari ya kwenda kumuona Haniiiiii.

Jioni yake nikapanda basi kwenda mkoa wa katikati ya nchi, nikafika mida ya sa 4 au 5 usiku hivi. Baada ya kushuka kwenye basi nikampigia simu kumtaarifu kwamba nimefika ili nijue yupo ile sehemu tunayofikiaga siku zote au yupo sehemu nyingine nipitie.

Nilipiga simu haikupokelewa, nikasubiri kama nusu saa hivi nikapiga tena simu haikupokelewa, nikaanza kujiuliza kuna nini tena mbona sio kawaida yake. Ikabidi nifanye uamuzi wa kuchukua bodaboda na kuelekea

moja kwa moja sehemu ambayo huwa tunafikia mimi na bebi mama wangu.

Vuuuum hadi lodge, nashuka tu kwenye boda naona simu yake inaita, nikapokea nikamuuliza vipi akasema fresh, usingizi ulimpitia ndo mana hakupokea simu nikamwambia poa haina shida, akaniuliza umeshafika nikamwambia ndio nipo sehemu yetu kabisa, akanielekeza namba ya chumba basi nikajongea zangu hadi chumbani.

Kufika room tukaonana na mambo mengine yakaendelea poa kama mnavyojua wapenzi wasiokutana mda mrefu wakikutana huwa inakuaje, ilikua ni nyakati nzuri sana sikumbuki hata usingizi ulikuja sa ngapi, tulikuja kushtuka kesho yake siku isiyoruhusiwa kula nyama alaf mi nimekula tena mbichi mida ya sa tano asubuhi hivi watu wa usafi walivyokuja kutugongea mlango.

Mambo yalienda poa sana, kiasi kwamba tulipanga tuondoke jumatatu ya pasaka ili jumanne kila mtu awe kituo chake cha kazi tukaongeza siku moja yaani tuondoke jumanne, jumatano ndo tuwe kazini. Sasa hii siku ya moja tulioiongeza ndo ilikua kivumbii.

Katika huu mkoa nna ndugu zangu, kwa io nilimpanga mtu wangu kwamba jumatatu jioni ntaenda kusalimia ao ndugu ila nitawai kurudi kabla ya sa tatu usiku nitaku nimesharudi. Io siku na muda ukafika nikamuaga mwenzangu naenda kusalimia akasema poa.

Nikafika kwa ndugu zangu nikakaa nikapiga story sana,ilivyofika mida ya sa moja usiku sim ikaita, bebe ananipigia nikapokea ananiambia kuna wenzake wamekuja ameenda kuonana nao alaf funguo ya pale chumbani amejisahau ameibeba ajaiacha mapokezi kwa io nikiwa narudi nimwambie ili na yeye arudi, nikamwambia poa haina shida.

Mida ya sa mbili usiku nikaanza kutoka kwa ndugu zangu, nikamtumia msg bebe kwamba ndo natoka kwa ndugu ili na yeye ajiandae kurudi tunapokaa. Ile msg haikujibiwa, kama kawaida nikapanda bajaji hadi mjini kati kabla sijaenda tulipofikia nikampigia simu hakupokea, nikapotezea nikapitia dukani nikamchukulia zawadi nikaanza kutembea mdogo mdogo kueleka ile lodge, nikapiga tena simu haikupokelewa, apo muda ni kama sa tatu na nusu hivi. Akili ikaanza kuwaza amepatwa na nini, ameshatoka aliponiambia ameenda au bado maana sim haipokelewi msg hajibu.

Nikaingia pale lodge nikamkuta dada wa mapokezi, tukasalimiana na tunafahamiana maana sisi ni wateja wake wa mda mrefu, badae nikamuuliza uyu dada ambae nipo nae yupo umu ndani au hajarudi, akaniambia yupo na mbona hajatoka leo. Eeeh kitu kikagonga kichwani kwamba hajatoka na mi aliniambia ametoka, nikazuga pale mapokezi nikamuaga yule mfanyakazi alaf chaap nikaenda mlangoni kwenye chumba changu.

Kuzungusha kitasa mlango umefungwa kwa ndani, nikagonga mara kadhaa haufunguliwi nikachungulia ile sehemu ya kupitisha funguo nikaona funguo ipo ndani, nikajiuliza uyu amelala au ni nini? Nikapiga sim hapokei. Ikabidi niongeze nguvu ya kugonga mlango baada ya muda kidogo nikasikia mijongeo ya miguu paap funguo zinacheza mlango unafunguliwa.

Ile kufungua tu mlango akasimama mlangoni ananizuia nisiingie, nikamuuliza vipi akaniambia ndani kuna rafiki zake wawili (mtu na mpenzi wake) kwa io anaomba tuwapishe watoke alaf ndo sisi tuingie, nikamwambia unasemajee kudadeki nilimrukia kichwa kimoja yule binti kama bahati kuna mtu alikua anapita kwenye korido za lodge akawai akamvuta pembeni nikaenda kukita ukutani, ukuta ulitikisika kama tetemeko limepita na mimi nikaumia kichwa.

Nikaondoka kwenye lile eneo navuja dam nikaenda nje nikasema siondoki maeneo haya hadi nione alikua na nani, nikarudi tena kuelekea kwenye kile chumba nikapishana na MCHIZI kwenye korido anatoka kwenye chumba chetu, nikapoa jamaa akanisalimia nikamuitikia tukapishana. (Jamaa ananifahamu na mimi namfaham, na tulifahamiana kupitia uyu mpenzi wangu).

Nikawa nimeshapata majibu kwamba mle ndani alikua na yule jamaa ambae siku za nyuma aliwai kunitambulisha kwake kama rafiki ake alisoma nae Chuo.

Sasa chumbani ndo kukawa mziki, akawa anakataa hawajafanya chochote walikuwa wanapiga tu story, nikamuuliza kwa nini ulinidanganya uliniambia unatoka kumbe haujatoka, kwa nini ulinizuia nisiingie kama kulikua hamna jambo lolote akajibu alikua anaogopa.

Hasira zilikua nyingi jumlisha na maumivu ya kichwa, nikaingia bafuni nikajimwagia maji nikahisi unafuu kidogo, nikapoa.

Sasa nikagundua kitu mbona mda wote angang’ang’ania kanga haitoi mwilini mwake, sikumuuliza, akataka kwenda kuoga nikaona anaenda vilevile na nguo nilizomkuta nazo nikamsimamisha nikamvuta ile kanga akaanza kurudi nyuma, nikamshika kwa nguvu kunyanyua lile gauni ndani hana kitu kumshika juu hana kitu (yani vazi alilokua nalo ni lile gauni tu) aagh bas nikajiridhisha leo siku ya wajinga nimekua mjinga nimepigiwa manzi wangu.

Nikamuacha sikuumuliza chochote, hali yangu nikawa siielewi akaanza kuomba msamaha na kusisitiza hawajafanya chochote, nikamwambia poa haina shida.

Sasa kupata usingizi kulala ikawa issue mi sipati usingizi, mtoto wa watu analia tu usiku kucha, kusema kweli nilimpotezea nikamuacha na sikulala nae kama ambavyo huwa tunalala siku zote.

Ilipofika sa 9 usiku uvumulivu ukanishinda nikamwambia mimi na wewe basi, tukiondoka apa tusijuane tena eeh nikawa nimeamsha kilio upya.

Yule muhudumu wa pale lodge akaja akanigongea, nikafungua nikawa naongea nae (alijua nampiga labda) kwa io alikuja kucheki usalama akakuta usalama upo poa kama Ikulu.

Kulivyokucha nikajiandaa nikapanga vitu vyangu, nikamuaga na kumtakia maisha mema kilio kikaanza tena, nikatoka nje kwanza nimuache apumue.

Nilivyokua nje nikakutana na mmama mmoja mtu mzima ambae huwa anahudumu kwenye hii lodge na tumezoeana tu ile kikawaida, akaniita akaanza kuniuliza vipi wewe na mwenzako (nadhani alijua kuna kitu). Nikamuelezea kila kitu kama ilivyokua na maamuzi niliyochukua, akaanza kunipa ushauri pale ananiuliza mahusiano yetu yana mda gani na nini, mwisho akanishauri nisimuache nimpe muda, nirudi niongee nae na muondoke apa mmeelewana ila katika uo mda unaompa unakua unamchunguza, sio vema mmekuja apa wote alaf kila mtu anaondoka kivyake sio jambo jema hata uko mnapoenda hakutokua kwema.

Aagh nikaona poa maneno ya mtu mzima yana maana, nikarudi chumbani nikamkuta mtoto yupo tu machozi yanatoka nikaanza kuongea nae na kumwambia hatuachani nilifanya maamuzi nilikurupuka sababu ya hasira na nini kwa io tuendelee kuwa ote lakini tuchunge miendeneo yetu, basi tukabembelezana pale akaamka akajaindaa tukanywa chai tukaondoka, tukapita sehemu tukafanya manunuzi ya hapa na pale tukaenda stendi akapanda gari akaondoka kwenda kazini, na mi nikaenda kutafuta usafiri nikaondoka kwenda mkoa wangu naofanya kazi.

Picha ikawa imeishia hivo, PASAKA imekua PASUKA maana nna kakovu kichwani apa. Sasa nachowaza maamuzi yapi sahihi ni yale niliofanya usiku wa manane au niliofanya asubuhi baada ya kushauriwa (sielewi)

Lakini ni tukio baya sana kutokewa kwenye maisha yangu, sijawai fikiria kama ntakuja kutana na kitu kama hiki ila ndo imeshatokea na kama tupo hai maisha lazima yaendelee tu.

Vipi wewe, limewai kukutokea ilikuaje, ulichukua uamuzi gani..??!
Karibu tubadilishane uzoefu
Hongera Mkuu, umebarikiwa sana.
Kuna wengine tunachapiwa na hatujui.

Kosa lake sio kukusaliti bali kosa lake ni kuruhusu fumanizi.
 
Chaji akili hizo!
Kwenye chumba chenu cha lodge, kitanda hikohiko amekudharau mara elfu 10 wahudumu wameona jinsi ulivyochapiwa mchana kweupeee!! Hakuogopi hakuheshimu hata kidunchu!
Jamaa amemkunja hadi mlio wa simu yako akawa hasikii na bado umemsamehe.

Yeye na bwana ake saa hii wanakucheka....🤣
Daaah oya sio mchezo ndugu yangu, hii imenigusa sana
 
Hata katika vitabu vya DINI imeandika samehe mara 70
Lkn walipofika katika USALITI (UZINIFU) wa mwanamke hapo wamekemea mbaya
7bu wanasayansi wanaamini mwanamke acheat kwa bahati mbaya ameamua

Na mtibeli kila siku anasema mwanamke akikupenda hawezi kukusaliti
Mwanamke anaweza kuificha QYUMA yake hata miaka miwili akikusubilia kipenzi uje uipekenyue wewe pekee yake

Kwa kifupi huyo ni MALAYA na amekudhrau sana amekuona wewe ni
BWEGE MTOZENI
POPOYO
JINGA
KUBWA JINGA
MSHAMBA
POPOMA
hupindui kwake hizo ni dharau kubwa
Mwanamke msaliti haumpi tena nafasi ya pili ukimpa nafasi ya pili utajuta maisha yako yote 7bu ataona ameshakuweza
Piga CHINI itauma mwanzo tena sana ila after siku kadhaa pain itapotea tafuta mke OA
asikwambie mtu kuna wanawake wazuri wa kila aina katika maisha yangu sikuwahi kuwahi kuwaza kama nitapata DEMU ANASQUITING na KUVAIBRATE kama vile kwenye Pornvideo yaan naenjoy balaa
Kwa hiyo mjomba usiogope mademu wapo kibao wanatusubiri sie VIDUME
na wewe mwanaume FURAHI kuumbwa MWANAUME tena SHABABI linga sana
Huyo MALAYA asikusumbue piga chini faster
Kubwa sana, imenipa nguvu 👊🏿👊🏿
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom