Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,015
- 55,200
Mleta mada ni mvulana
😂😂😂😂😂😂Ila we jamaa wewe!
Mwenzio niliacha manzi,kisa kachekeshwa tu na jamaa,kacheka.
📌📌Ndugu kweli huna akili timamu. Yani mtu kaachwa kugongwa kimya kimya huko hadi asubiri mpo wote ndiyo aje agongewe chumba Cha lodge mliyofikia, hiyo ni dharau kiwango Cha Flyover. Maana alivyo kuaga anatoka alikuwa na uwezo wa kwenda kupigiwa lodge nyingine, Kwa hiyo itoshe kusema MUACHE na USIMRUDIE TENA jua vitauma na utasahau!