ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 4,574
- 17,894
Unajua sarakasi?Umfundishe Mwalimu? Huna adabu.
Unajua sarakasi?Umfundishe Mwalimu? Huna adabu.
Siyo za kubinua makalio lakini.Unajua sarakasi?
Nimenusa harufu ya chai iliyotiwa mchaichaiSiyo za kubinua makalio lakini.
Sarakasi za kuruka hewani. Siwezi kuweka mikono chini kama mama lukasii.
Mimi ni hatari.
Na ndiyo muhimu kwa afya yako. Inywe tu.Nimenusa harufu ya chai iliyotiwa mchaichai
Hongera mkuu!Na ndiyo muhimu kwa afya yako. Inywe tu.
Hata hivyo, mimi sijakuandalia chai. Nakuambia ukweli.
Honestly, mimi nilikuwa napiga sana sarakasi. Ila uzee huu, kwa sasa hapana.
Uzi ulikuwa ni hapa ila ukazunguka weeeeHuenda alikua ananimendea au tunamendeana kisiri siri moyoni
Nishateguka kiuno.Hongera mkuu!
Maswala ya kupakanapana mate ni ya watoto!! Legends wanatumia mafuta ya MwamposaWewe sema nikufundishe! Tusiandikie wino akati mate yapo
Nitaisoma baadaeNishateguka kiuno.
Ulikuwa bingwa wa kucheza mchezo gani ulipokuwa mtoto?
Wakuu, Watoto na michezo ni kama samaki na maji, wengi tushazama kwenye michezo mpaka tukaja kufatwa na fimbo huko tulipokuwa. Wakati mwingine mzazi mpaka anapata wasiwasi labda mtoto kapotea, kumbe mtu kazama kwenye kombolela huko? Katika michezo yote niliyoweza kucheza rede nilikuwa fundi...www.jamiiforums.com
ukiwa na perfection sense saa zingine ni mzigo sana, na unatatiza usipate mambo fulani ambayo huna, usielewe au kujua mambo kadha wa kadha usiyoyafahamu 🐒Tofautisha kati ya utoto na mtoto/watoto. Ndio maana narudia acha utoto
Comment yangu tu hiyo.Nitaisoma baadae
Sa si uwe mke wa Rais la TFFNdoto yangu ni kua first lady! Nataka niitwe muheshimiwa Ephen🤸
did you pass through my article on first time I contested position of mp, after I finished the 3rd year last semester paper with only laki5 cash in hand. Incumbent was there and he was beaten like burukenge on a ballot box 🐒Mkuu umejiandaaje kupambana na incumbent? Maana huwa wana muscles kuliko wewe.
Unaweza kujiona una wafuasi wengi kwa macho, ila sasa in reality watu wana mikakati mingi sana.
pia nagonga sana sambasoti, shungFan, ishi, stua n.k mpaka leo licha ya wanaonifahamu kunibeza ati siwezi kwasabb ya kafriza ka kiana nilikonako, but for sure naruka sarakasi vizuri sana na ni sehemu ya mazoezi yangu nikienda kufukuza upepo na kutafta pumzi uwanjani 🐒Na ndiyo muhimu kwa afya yako. Inywe tu.
Hata hivyo, mimi sijakuandalia chai. Nakuambia ukweli.
Honestly, mimi nilikuwa napiga sana sarakasi. Ila uzee huu, kwa sasa hapana.
Dhima ya uzi n hiyo 😂nyie watu wa kusumarise paragraph 8 kua moja mna akili na macho ya ajabu sana da🤣🤣