Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 4,566
- 11,172
Shida kubwa kwenye muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni taifa moja kukubali kujizika {Tanganyika} na kuuvaa Utanzania na wakati huo huo Wazanzibar hawataki kupoteza utambulisho wao kama Wazanzibar,hivyo kuwa na serikali moja ni ndoto za alnacha.