Pongezi za Miaka 60 ya Muungano: Twende Kwenye Muungano Kamili wa Ukweli wa Nchi Moja, Serikali Moja na Rais Mmoja? Kero Zote za Muungano Zitayeyuka!

kama mmeuliwa mbona wewe upo hai sasa.

Kwa kuwa mimi niko hai ndio hakuuliwa mtu , hii yote ni jeuri yenu maana hujapoteza kitu , mzigo wa mwenzako kwako ni ganda la usufi.

Ghasia zote hizi ni kwa sababu raisi anayewatawala ametoka Zanzibar , miaka yote mkituonea mlikuwa kimya.
 
Back
Top Bottom