Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,716
- 190,795
πππ waogope sana wanaokana hadharani kwa sautiI recieve π
πππ waogope sana wanaokana hadharani kwa sautiI recieve π
Tubaki hukuhuku shambanu mkuu, huku mitandaoni tuwaachie vijana mkuu...π€£Mie mkulima mambo ya kuanzisha mapenzi mitandaoni siwezi..π€£
Kwani walishaachana?! Si waliombana msamaha yakaisha au?Jasusi na nifah
Siku ukitafuna naomba usinisahau na mimi hata kwa masuria mkuu....πmkuu mi sijatafuna bado
Mkali wa hizi kazi na wewe unashangaa..?? HahaAisee kumbe mnatafunana kweli humu
Na ndo malengo yenyewe ya huu uzi, hahaNi suala la mda tu huu Uzi utaishia pabaya
Hahahahaha huu hauishi lazima wapite nao unakauchocheziNimechelewa kupata Notification Oky nikiweka jambo langu huu uzi hautakua na maisha i swear. Hogopa
yule mefika nae wapiHahahahaha huu hauishi lazima wapite nao unakauchochezi
Gaza na nini sijui... in short anamaanisha vita ni vita kati yenu π πKajibu Niniπππ?
Umeongea mambo ya msingi sana mkuu maana muda si muda uzi huu unaweza kugeuka uwanja wa cyber bullying kwa watu kuja kulipiza visasi kwa ama kukataliwa au kuachwa/kuachana. Soon utashangaa ishakuwa vita ni vita mura!.......sisi watu wa humu sio watu spesho na timilifu, ni binadamu wa kawaida kama wengine huko mitaani, tunapitia changamoto nyingi za kiuchumi, kijamii na kimahusiano au hata kiafya kama watu wengine.......
.......sioni kama busara sana kuwananga na kuwanyanyasa watu ktk mitandao as if kuna mambo walitukosea au hata kama tuliwataka wakatukataa, mbaya zaidi tunawataja na I'd zao, tujifunze kujadili vitu vyenye tija kuliko kujadili personal issues za watu, hawa memba tunaowataja hapa wana michango mikubwa sana kuifanya jf kuwa sehemu nzuri ya kupata maarifa na kupumzisha akili, tuwaheshimu basi hata kwa hayo waliotupatia, tusiwafanye wakimbie mahali hapa, please guys!!!........
........licha ya kuwa mtandao wa jf unaaminika kujaa watu waelewa na wasomi wa viwango tofauti, lakini unaweza kuwa mtandao wa kwanza unaotumika kunyanyasa watu wa makundi mbalimbali i.e single moms, waliochelewa kuolewa, wahitaji, walimu na watu waliofanikiwa kifedha(kuwasema ni wauza ngada au mashoga hasa hawa celebrates).......
.........nb:hakuna anaependa kuvunja mahusiano au kuachwa, sio sifa kuachana lakini pia sio crime au dhambi, wanaumia kama watu wengine, tuwe faraja kwao, tusiwe sehemu ya maumivu kwao, hongera wote mliodumu ktk mahusiano na ustawi mzuri wa ndoa zenu.......
Hahahaha sjapata humu kumbe watu wanaonyeshana mapendo tuyule mefika nae wapi
Tatizo letu,ubwabwa moto,mchuzi motoππππGaza na nini sijui... in short anamaanisha vita ni vita kati yenu π π
Mkuu unataka kanzu nyeupe au rangi ya maziwa?πKamwe huwezi kujaribu kumpaka mtu matope halafu wewe ukabakia msafi!