an alpha male
JF-Expert Member
- Mar 28, 2022
- 858
- 1,805
Dah inashangaza kweli....kumbe mnabogozoana humu ndani na hamsemi.
Yani kinyamanyama mkuu ,kama wwe bado mwombe mshana chumvi ya mawe uogee siku 7 .Aisee kumbe mnatafunana kweli humu
NashangaaNinakosaje mahusiano Sasa
ntafanya hivyo mkuuYani kinyamanyama mkuu ,kama wwe bado mwombe mshana chumvi ya mawe uogee siku 7 .
Basi mie nikajua memba wote hapa ni Me...🤓Safari moja uanzisha nyingine
Mkuu, watu wapo humu laivu...🤣Aisee kumbe mnatafunana kweli humu
Very well ❤️❤️Hivi kumbe watu hua mnapatana kiukweli humu eehhhh🤔🤔
Kama mgeni vile kumbe aliwatan mtafunaji 🤣Aisee kumbe mnatafunana kweli humu
I receive ❤️Kama uyasemayo ni kweli, pongezi kwako
Mie mkulima mambo ya kuanzisha mapenzi mitandaoni siwezi..🤣Ebu sema neno tusikie mkuu...😜
Sasa mbona namimi hamnipati mkuu...😥Very well ❤️❤️
Uzee unakuponza itakuwa 🤣Sasa mbona namimi hamnipati mkuu...😥
Au nafeli wapi wapi mwali...🤗
🤣 nimelia kwa furahawaambie tungewaletea thread za anniversary kabisa ila kwa jinsi wako bitter tunayamalizia zetu chumbani..!!
I recieve 😅Kama mgeni vile kumbe aliwatan mtafunaji 🤣
Kama unajifanya hujui vile kumbe ww ndyo mwamba dangote kbsa 🤣🤣🤣🤣🤣Aisee kumbe mnatafunana kweli humu
mkuu mi sijatafuna badoKama unajifanya hujui vile kumbe ww ndyo mwamba dangote kbsa 🤣🤣🤣🤣🤣