Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,511
- 40,592
Kuna watu humu walianzisha mahusiano kwa mbwe mbwe sana, mpaka sisi ambao hatukuwa na mahusiano tukajiona labdo dunia hii sio sehemu yetu sahihi ya kuishi.
Ilikuwa kila sehemu wakipitia nyuzi lazima waonekane pamoja, waitane majina mazuri mazuri ili kutuumiza roho sisi; lakini mwisho wa siku mahusiano yakawa chali, hakuna kuitana majina mazuri mazuri tena, kila mmoja anapambana na hali yake.
Kama wewe ni mmoja wapo; njoo utupe ushuhuda, ni nini kilikupata mpaka ukavunja mahusiano?
Ilikuwa kila sehemu wakipitia nyuzi lazima waonekane pamoja, waitane majina mazuri mazuri ili kutuumiza roho sisi; lakini mwisho wa siku mahusiano yakawa chali, hakuna kuitana majina mazuri mazuri tena, kila mmoja anapambana na hali yake.
Kama wewe ni mmoja wapo; njoo utupe ushuhuda, ni nini kilikupata mpaka ukavunja mahusiano?