cacutee
Senior Member
- Apr 9, 2024
- 169
- 378
Huna ubaguz babu kipendhiii Ila sijaonaNaanzia wapi kukubagua Mjukuu
Tangu Jana nilikamilisha 🤗
Huna ubaguz babu kipendhiii Ila sijaonaNaanzia wapi kukubagua Mjukuu
Tangu Jana nilikamilisha 🤗
🤗Huna ubaguz babu kipendhiii Ila sijaona
😂😂😂😂😂yuko zake kwa Biden, huku kamuacha miongozo na shangazi wa msituni,
Kwan bibi cjui alikwama wapi kudate na miongozo, khaaaah
Kwelisema kweliii??
Haiwezekani, we ndo umemuacha mwenzio🤣🤣🤣Nakuja kufata ada yangu nishaachika huku tayari 🤣🤣🤣🤣
Wifi nakudai pesa yangu ya mafunzo 🤣🤣🤣Haiwezekani, we ndo umemuacha mwenzio🤣🤣🤣
Pesa kurudi sahau, itakuwa ulikosea mizungu mwari kigego wangu.Wifi nakudai pesa yangu ya mafunzo 🤣🤣🤣
Usintanie kabisaa, mi wa kuachika kweli?? Na ulinitia moyo wewe ni kiboko kwa kufunda!!
😂😂😂😂 sikutegemea mwamba wa kaskazini angeniacha na kunifunda kote kule??Pesa kurudi sahau, itakuwa ulikosea mizungu mwari kigego wangu.
Afu wewe umenifanya nilog in Kwa mtanange wa Kule selfika, Ile naandika comment uzi umefungwa. ....Ila sio kesi ngoja nikachote mchanga nje niwaite na wenzio mje mpute vagi liendelee🤣🤣🤣
Haiwezi kukuacha Yule......we tulia atarudi tu......mbona nanihiii karudi, we tulia dunia yenyewe ndogo hii😂😂😂😂 sikutegemea mwamba wa kaskazini angeniacha na kunifunda kote kule??
Au wewe umemtafutia mke mwingine??
🤣🤣🤣🤣 hawezi ww fanya unirudishie mshiko wangu hata nusu hasara tugawaneHaiwezi kukuacha Yule......we tulia atarudi tu......mbona nanihiii karudi, we tulia dunia yenyewe ndogo hii
Uzi mmefanya mpaka umepigwa ban...nyieee 😆 😆 😆Mbona kama kuna mtu unatamani umsute ila ujasiri huna 😂😂😂
Dada nikuletee Panadol kichwa kitulieDaaaah yani humu ni pazito...
Niletee mdogo wangu..umeona nilivyovurugwa eee...Dada nikuletee Panadol kichwa kitulie
Nimekuona mm nimeenda toilet haja ndogo mara Tatu had Sasa ningekuwa mbali na choo aiseeNiletee mdogo wangu..umeona nilivyovurugwa eee...
Acha tuu kipenzi...tuvumiliane jamani tusiachane uchi vile...Nimekuona mm nimeenda toilet haja ndogo mara Tatu had Sasa ningekuwa mbali na choo aisee
Mungu atusaidie 🙏
Mamy k nimekumiss my sister, hw r u doing?Haiwezi kukuacha Yule......we tulia atarudi tu......mbona nanihiii karudi, we tulia dunia yenyewe ndogo hii
Mekumiss pia bro ake Mie.....am doing well, how bout you?Mamy k nimekumiss my sister, hw r u doing?
😂😂Mekumiss pia bro ake Mie.....am doing well, how bout you?
Jioni tuna kikao cha kifamilia, hakikisha unakuja ukiwa sober.....nna maswali ya kukuswalika🤣🤣🤣🤣🤣
Nan huyu kapigwa ban😂Daaaah yani humu ni pazito...