Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,472
- 189,910
Yapo hai tunadunda nje ya keyboard ❤️Vipi mahusiano yako bado yako hai?
Yapo hai tunadunda nje ya keyboard ❤️Vipi mahusiano yako bado yako hai?
Hivi kumbe watu hua mnapatana kiukweli humu eehhhh🤔🤔Yapo hai tunadunda nje ya keyboard ❤️
AiseeMbona kama kuna mtu unatamani umsute ila ujasiri huna 😂😂😂
Minilijuaga ni utani tu mkuu...🙄Hatari sana, ngoja waje watupe mrejesho
🤣😂😂 anatamani kujimaliza ila ujasiri hana.
Ebu sema neno tusikie mkuu...😜Aisee
Nitajulia wapi mambo hayo Kwa Uzee huu Mjukuu
Natamani nivutwe na gari zima, maana gari langu ni bovu hakiyanani
Ninakosaje mahusiano SasaUnataka kutuaminisha huna mahusiano?
Tunatafunana sana tu na nauli zinaliwa mno babu.Kumbe huwa mnakula kiukweli kweli🙌
Me nilidhani mnafanya kinguo nguo nyuma ya keyboard😅🙌
Hongereni by the way, bado cc naziona ona humu 👏👏
Safi sana mkuu, sie wenye roho mbaya ngoja tuendelee kuwaombea muachane...🤣Wee wenzio tunalea tena season two.jipe moyo nyuma ya keybord watu Wana maisha tofautiiii kabisaaaaaaa
waambie tungewaletea thread za anniversary kabisa ila kwa jinsi wako bitter tunayamalizia zetu chumbani..!!Yapo hai tunadunda nje ya keyboard ❤️
Kama uyasemayo ni kweli, pongezi kwakoYapo hai tunadunda nje ya keyboard ❤️
Mh asee waja mna mambo ,ya sirini kweli haya au...ngoja niweke kiti hapa Fake P come here msichanaNa mimba juu kaachwa single Maza, kabakia kuzunguka kila thread JF hana kazi ya kufanya
Safari moja uanzisha nyingineMinilijuaga ni utani tu mkuu...🙄