Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,149
- 2,274
Mi na rubii mbona hatujaachana
Huwa yanaendelea, muhimu tu salioHivi hua yanakuwepo hafi in real life au yanishiaga humu humu
Mshana na Demiss au sioWanakulana sana watu huku mkuu, nimekumbuka Mganga wa kienyeji na yule dada wa Nkuhungu pale Dodoma. Dada akachatuka akawa analiwa na kila mtu humu, na akisha liwa anapost namba ya chumba alicholiwa. Wahuni kumbe huko huko wanampiga picha, walivyokuja kumvua nguo akapotea mazima
Hiyo ya kupigana picha alikosa ustaarabuWanakulana sana watu huku mkuu, nimekumbuka Mganga wa kienyeji na yule dada wa Nkuhungu pale Dodoma. Dada akachatuka akawa analiwa na kila mtu humu, na akisha liwa anapost namba ya chumba alicholiwa. Wahuni kumbe huko huko wanampiga picha, walivyokuja kumvua nguo akapotea mazima
Endelea kufungukaWanakulana sana watu huku mkuu, nimekumbuka Mganga wa kienyeji na yule dada wa Nkuhungu pale Dodoma. Dada akachatuka akawa analiwa na kila mtu humu, na akisha liwa anapost namba ya chumba alicholiwa. Wahuni kumbe huko huko wanampiga picha, walivyokuja kumvua nguo akapotea mazima
Kulikoni tena? 😅😅 Nilikuachia dada angu umtunzeIsraeli na Gaza
You don't want peace.... You want problems. Always 🤣🤣🤣Na mimba juu kaachwa single Maza, kabakia kuzunguka kila thread JF hana kazi ya kufanya
Vipi, ya kwako bado iko hai?Haya mkuje huku, mnaitwa.
Hii imeenda tunawasubiri hapa tupige sensa
Kumbe huwa mnakula kiukweli kweli
Me nilidhani mnafanya kinguo nguo nyuma ya keyboard
Hongereni by the way, bado cc naziona ona humu
Tuthibitishie hilo kwa picha ya pamoja mliokumbatiana pamoja na katotoWee wenzio tunalea tena season two.jipe moyo nyuma ya keybord watu Wana maisha tofautiiii kabisaaaaaaa
Vipi mahusiano yako bado yako hai?We ndio unajua 😂😂
Mtaachana tu muda ukifikaMi na rubii mbona hatujaachana
Nitajulia wapi mambo hayo Kwa Uzee huu Mjukuu 🤗Na wewe pia unashangaa babu?
Since when? Nimeacha kujipendaVipi, ya kwako bado iko hai?
Nilishindwa kutoa ng'ombe 50Kulikoni tena? 😅😅 Nilikuachia dada angu umtunze
Tunawasubiri waje kwa mbwe mbwe kutujibuWanakuja kukujibu
Anapigage kelele tu u much know mwiingi! Sisi wanaume tunajua kuishi na kila mwanamke na mbwembwe zake. Innocent ladies who gives their sacrifice ya kuheshimu wanaume, kuvumilia, kuwa humble wanakuwa gifted zawadi ya kusainiwa rasmi katika ukoo mwingine (Marriage)You don't want peace.... You want problems. Always 🤣🤣🤣
Wewe ulijuaje lakini
Unataka kutuaminisha huna mahusiano?Since when? Nimeacha kujipenda