Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,752
- 18,062
Pleasepast zingatia huu ushauri ili wakija kupata tatizo uwe upande salama
Pleasepast zingatia huu ushauri ili wakija kupata tatizo uwe upande salama
Mkuu hao watakusaidia nn?
"Painful Truth" Ndo hiki nachosema jamaa ajaribu kuchunguza maana ukiona mama mkwe na mtoto wake wanashirikiana ujue kuna siri nzito nyuma ya pazia.Case kama hii inafanana na jamaa mmoja ila mke na mume walikuwa miji tofauti...bana eeh kumbe jamaa mtoto sio wake...siku anarudi mke amekimbia kwa mama mkwe ...na mama mkwe kamficha...jamaa anasema anachotaka DNA wakamwambia mtoto sio wake..
Usiseme mlikosana kidogo, mwenzio kaona umemfanyia kosa kubwa ndio mana akaondoka. Ila bro unamdekeza sana na hivyo unavyofanya atakusumbua sana. Acha kumfatilia kabisa, Kama Una kademu hamishia majeshi huko hadharani Hata Kama yupo nje ya nchi atapata TU habari zako lazima kaacha Mashushu. Aspokutafuta ujue Hana wazo lolote na wewe. Mwanaume haachwi bwanaHabarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Piga kimya.Habarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Kwao nimeenda hayupo na kuna taarifa nimesikia kwamba ameenda nje ya mkoa japo sina uhakika nazo mimi mwenyewe nawaza nimpotezee kwasababu hataki mawasiliano labda siku akihitaji matumizi ya mtoto atanitafuta yeye mwenyewe
😂😂😂😂😝 tulia Dawa iwakolee🙊Kuna wakati nikiona hawa viumbe wanahangaika au kuteswa na mapenzi huwa nafurahi sana, wamezoea kuumiza wanawake tu ila wao wakipata tatizo kidogo tayari unalikuta mtandaoni😂😂😂
Yuko kwenye mikono salama, tulia endesha maisha yako muda si mrefu watakutafuta na wewe uwafanyie hivyohivyo na usipende kutumia kisingizio cha kumuona mtoto, mtoto yupo tu salama na mama yake.Habarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Asante sana ilo pia nimelionaYuko kwenye mikono salama, tulia endesha maisha yako muda si mrefu watakutafuta na wewe uwafanyie hivyohivyo na usipende kutumia kisingizio cha kumuona mtoto, mtoto yupo tu salama na mama yake.
Kwa kujibishana tu mkuu mambo ya ngumi hapana.Kukorofishana kwa kupigana ngumi/ulimpiga wewe au kwa kujibishana tu?
Usiseme mlikosana kidogo, mwenzio kaona umemfanyia kosa kubwa ndio mana akaondoka. Ila bro unamdekeza sana na hivyo unavyofanya atakusumbua sana. Acha kumfatilia kabisa, Kama Una kademu hamishia majeshi huko hadharani Hata Kama yupo nje ya nchi atapata TU habari zako lazima kaacha Mashushu. Aspokutafuta ujue Hana wazo lolote na wewe. Mwanaume haachwi bwana
Ni sahihi na hapo ndio vijana wanafeli, wanakosa msimamo.Uzuri ni kwamba wako salama ila hawakuhitaji, hivyo basi ukihitajika utaitwa
Nashukuru sana ngoja niwape wiki mbili nyingine nionewape mwezi mmoja! Umesema wiki mbili zimekatika bado wiki mbili zimebaki Zikiisha hizo andikia mama mkwe na mke wako Meseji(Usipige simu) Andika hivi " NAWASHUKURU KWA USHIRIKIANO WENU NIPO KWENYE MCHAKATO WA KUOA NA KUFUNGA NDOA NA MWANAMKE MWINGINE ILI MAISHA YAENDELEE" wasipo kujibu hao ni kausha damu kimbia na Tafuta mwanamke mwingine.
Wanawake wamejaa unapata stress, najua hapo kinachokuumiza ni Mtoto! Hata kwenye mtoto kampime DNA kwa tabia hizo huenda mtoto kuna walakini(sihukumu).
Familia yake ni ya mama tu yani wameungana wala hajaamua chochote wanatengeneza mazingira ya kunyenyekewa kisa wanajua nampenda mtoto yani nawaza sijui nimpotezee na mtoto walau kidogo maana wanamtumia kama fimbo kunichapaKwnza je ni kweli alienda kwao baaada ya kukorofishana???
Chanzo cha ugomvi ilikuwa nn??
Kwa muda wa wiki 2 alizokuwa kwao familia ya huko iliamua nn??
Je umemuoa au amekuja tu kuishi nawe ??kama umemuowa wakati anarudi kwao nn kilifanyika? Walimpokea bila maelezo??
Ikiwa hajachukua chako chochote endelea na maisha yako kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko hapana siwezi kwenda mkuu nitajaribu kumueleza madhara ya kutengana yatakuwa kwa mtoto lakini asipo nielewa kweli nitamuacha japo inauma kuona mtoto atakuja kuishi vibayaMkuu hao watakusaidia nn?
Pia mwanaume kwenda kule ni kamzozo.
Mkuu huko kwenye dawati kwani kuna kielelezo chochote wanampa mtu akienda abaki nacho kama ushahidiPleasepast zingatia huu ushauri ili wakija kupata tatizo uwe upande salama