🔨Kwao nimeenda hayupo na kuna taarifa nimesikia kwamba ameenda nje ya mkoa japo sina uhakika nazo mimi mwenyewe nawaza nimpotezee kwasababu hataki mawasiliano labda siku akihitaji matumizi ya mtoto atanitafuta yeye mwenyewe
Huwa ni wakati mgumu ila jikaze mzee mwenzetu mana maisha lazima yaendelee na ukiona wanakukazia tafuta tu mwanamke mwingine ili uokoe nafsi yako kuwa mtumwa.Nashukuru sana mkuu kwa kunipa moyo kwenye wakati huu mgumu
Kwani kuna magauni ya kiume?😂😂wanasemaga nunua magauni yakike na chupi kadhaa Anika nje majirani ndo watakusaidia kumrudisha haraka 😀
😀😀😀Nilikosea bhnaKwani kuna magauni ya kiume?
Na vipi Mama wa mtoto upo nae au ulimuacha jumlaChakufanya wewe fanya mambo yako, fanya kila namna mhudumie mwanao tu, kama ni shule aende. Mimi ilinikuta km hiyo, na shida ilikuja kumpata mtoto kuchelewa kuanza shule, na mpk sasa wa rika lake wako madarasa mawili mbele.