Mama mkwe kamtorosha Mke wangu, nifanye nini niko njia panda

Habarini za usiku wapendwa

Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja

Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Kuna muda inabidi ujikaze mtoto wa kiume uendelee kupambania kombe, sasa ukiendelea kulalamika na kuleta uzi humu naanza kupata mashaka na wewe. Mwanaume sio wa kulalamika lalamika. Tafuta suluhisho kama ni kupiga chini au kausha hadi waje wenyewe kuomba hela ya matumizi.
 
Mwanaume muungwana hupata Mwanamke wa hovyo,
Na mwanamke mstaarabu hupata mwanaume pasua kichwa

Kwao Mwanamke Hawajui Kujenga Wanajua Kuboa Ndoa, Sijajua Ulichosahau Kwao Mwanamke Ni Nini?

Shukuru Mungu Picha Umeiona, kazi ni kwako!

Simama kama mwanaume kumkosa kwao sio shida,
Na wewe tafuta namna wakija wajute kubeep!

Ila pia ni somo ikitokea ukataka kuoa tena nenda walipo wazazi wote na uhakikishe baba ndo final say
Ama kwa hakika mkuu nimejifunza mengi sana sitakaa nirudie tena kwasababu mke na mama yake ni kama mtu wanafanana matendo
 
Kuna muda inabidi ujikaze mtoto wa kiume uendelee kupambania kombe, sasa ukiendelea kulalamika na kuleta uzi humu naanza kupata mashaka na wewe. Mwanaume sio wa kulalamika lalamika. Tafuta suluhisho kama ni kupiga chini au kausha hadi waje wenyewe kuomba hela ya matumizi.
Ndio nafanya maamuzi mkuu lakini kupata mawazo ya watu tofauti tofauti pia ni vizuri kwasababu mimi sio wakwanza kukumbwa na tatizo kama hili
 
Ndio nafanya maamuzi mkuu lakini kupata mawazo ya watu tofauti tofauti pia ni vizuri kwasababu mimi sio wakwanza kukumbwa na tatizo kama hili
Ilishanikuta hii ila ilikuwa tofauti kidogo kwa hiyo kutokana na hilo nashauri usifuate mkumbo wao. Endelea na maisha kama hakuna kilichotokea maana watakuja wao wenyewe tu. Nature ya mwanamke imekaa kukomoa ili muwe sawa kwa hiyo usifuate mkumbo wao kabisa.
 
Ilishanikuta hii ila ilikuwa tofauti kidogo kwa hiyo kutokana na hilo nashauri usifuate mkumbo wao. Endelea na maisha kama hakuna kilichotokea maana watakuja wao wenyewe tu. Nature ya mwanamke imekaa kukomoa ili muwe sawa kwa hiyo usifuate mkumbo wao kabisa.
Nashukuru sana na kinacho endelea itakua ni ivyo ivyo kukomoa ila ngoja nipotee mazima na mimi mpaka atakaporudi yeye mwenyewe
 
Case kama hii inafanana na jamaa mmoja ila mke na mume walikuwa miji tofauti...bana eeh kumbe jamaa mtoto sio wake...siku anarudi mke amekimbia kwa mama mkwe ...na mama mkwe kamficha...jamaa anasema anachotaka DNA wakamwambia mtoto sio wake..
Hapo mtihani sana.
 
Achana nao endelea na mambo yako.

Muda ni mwamuzi mzuri zaidi.
Mwanaume muungwana hupata Mwanamke wa hovyo,
Na mwanamke mstaarabu hupata mwanaume pasua kichwa

Kwao Mwanamke Hawajui Kujenga Wanajua Kuboa Ndoa, Sijajua Ulichosahau Kwao Mwanamke Ni Nini?

Shukuru Mungu Picha Umeiona, kazi ni kwako!

Simama kama mwanaume kumkosa kwao sio shida,
Na wewe tafuta namna wakija wajute kubeep!

Ila pia ni somo ikitokea ukataka kuoa tena nenda walipo wazazi wote na uhakikishe baba ndo final say

Mnaumiza vidole vyenu Bure
Mnamshauri
PUNGUANI WAHED
 
Habarini za usiku wapendwa

Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja

Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Waue
 
Habarini za usiku wapendwa

Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja

Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Fika police dawati la jinsia

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom