Kuna wakati nikiona hawa viumbe wanahangaika au kuteswa na mapenzi huwa nafurahi sana, wamezoea kuumiza wanawake tu ila wao wakipata tatizo kidogo tayari unalikuta mtandaoni😂😂😂😂😂😂😂 Mwaka wenu huu😴
Kuna wakati nikiona hawa viumbe wanahangaika au kuteswa na mapenzi huwa nafurahi sana, wamezoea kuumiza wanawake tu ila wao wakipata tatizo kidogo tayari unalikuta mtandaoni😂😂😂😂😂😂😂 Mwaka wenu huu😴
Kuna muda inabidi ujikaze mtoto wa kiume uendelee kupambania kombe, sasa ukiendelea kulalamika na kuleta uzi humu naanza kupata mashaka na wewe. Mwanaume sio wa kulalamika lalamika. Tafuta suluhisho kama ni kupiga chini au kausha hadi waje wenyewe kuomba hela ya matumizi.Habarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
duhKuna wakati nikiona hawa viumbe wanahangaika au kuteswa na mapenzi huwa nafurahi sana, wamezoea kuumiza wanawake tu ila wao wakipata tatizo kidogo tayari unalikuta mtandaoni😂😂😂
Ama kwa hakika mkuu nimejifunza mengi sana sitakaa nirudie tena kwasababu mke na mama yake ni kama mtu wanafanana matendoMwanaume muungwana hupata Mwanamke wa hovyo,
Na mwanamke mstaarabu hupata mwanaume pasua kichwa
Kwao Mwanamke Hawajui Kujenga Wanajua Kuboa Ndoa, Sijajua Ulichosahau Kwao Mwanamke Ni Nini?
Shukuru Mungu Picha Umeiona, kazi ni kwako!
Simama kama mwanaume kumkosa kwao sio shida,
Na wewe tafuta namna wakija wajute kubeep!
Ila pia ni somo ikitokea ukataka kuoa tena nenda walipo wazazi wote na uhakikishe baba ndo final say
Ndio nafanya maamuzi mkuu lakini kupata mawazo ya watu tofauti tofauti pia ni vizuri kwasababu mimi sio wakwanza kukumbwa na tatizo kama hiliKuna muda inabidi ujikaze mtoto wa kiume uendelee kupambania kombe, sasa ukiendelea kulalamika na kuleta uzi humu naanza kupata mashaka na wewe. Mwanaume sio wa kulalamika lalamika. Tafuta suluhisho kama ni kupiga chini au kausha hadi waje wenyewe kuomba hela ya matumizi.
Ilishanikuta hii ila ilikuwa tofauti kidogo kwa hiyo kutokana na hilo nashauri usifuate mkumbo wao. Endelea na maisha kama hakuna kilichotokea maana watakuja wao wenyewe tu. Nature ya mwanamke imekaa kukomoa ili muwe sawa kwa hiyo usifuate mkumbo wao kabisa.Ndio nafanya maamuzi mkuu lakini kupata mawazo ya watu tofauti tofauti pia ni vizuri kwasababu mimi sio wakwanza kukumbwa na tatizo kama hili
Nashukuru sana na kinacho endelea itakua ni ivyo ivyo kukomoa ila ngoja nipotee mazima na mimi mpaka atakaporudi yeye mwenyeweIlishanikuta hii ila ilikuwa tofauti kidogo kwa hiyo kutokana na hilo nashauri usifuate mkumbo wao. Endelea na maisha kama hakuna kilichotokea maana watakuja wao wenyewe tu. Nature ya mwanamke imekaa kukomoa ili muwe sawa kwa hiyo usifuate mkumbo wao kabisa.
Mkuu pengine unaweza kua sawa ila siwezi jua.Sitaki kuwa mshauri wa mapenzi maana hata mimi ninamaumivu yangu , ila bro kwakifupi wanakufanyia hivyo kwasababu huna pesa
Pole bro maumivu ya kuonyeshwa dharau kama hizo ni makubwa sana chamsingi Acha kulazimisha mapenzi pambana na maendeleo yako binafsi kwanzaMkuu pengine unaweza kua sawa ila siwezi jua.
Hakika icho ndio naenda kufanya kwa sasa.Pole bro maumivu ya kuonyeshwa dharau kama hizo ni makubwa sana chamsingi Acha kulazimisha mapenzi pambana na maendeleo yako binafsi kwanza
Hapo mtihani sana.Case kama hii inafanana na jamaa mmoja ila mke na mume walikuwa miji tofauti...bana eeh kumbe jamaa mtoto sio wake...siku anarudi mke amekimbia kwa mama mkwe ...na mama mkwe kamficha...jamaa anasema anachotaka DNA wakamwambia mtoto sio wake..
Achana nao endelea na mambo yako.
Muda ni mwamuzi mzuri zaidi.
Mwanaume muungwana hupata Mwanamke wa hovyo,
Na mwanamke mstaarabu hupata mwanaume pasua kichwa
Kwao Mwanamke Hawajui Kujenga Wanajua Kuboa Ndoa, Sijajua Ulichosahau Kwao Mwanamke Ni Nini?
Shukuru Mungu Picha Umeiona, kazi ni kwako!
Simama kama mwanaume kumkosa kwao sio shida,
Na wewe tafuta namna wakija wajute kubeep!
Ila pia ni somo ikitokea ukataka kuoa tena nenda walipo wazazi wote na uhakikishe baba ndo final say
Kwanini mkuu usipanik hii ni forum ya kuelimisha watu hivyo sio kila unacho kisoma kiwe kimetokea mtu vingine watu wanaweka ili ambao vitaendana na matatizo yao basi wapate elimu.
Mnaumiza vidole vyenu Bure
Mnamshauri
PUNGUANI WAHED
WaueHabarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Fika police dawati la jinsiaHabarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya