Ipi kampuni bora ya bima ya magari kati ya hizi?

profesawaaganojipya

JF-Expert Member
Apr 21, 2015
1,486
3,137
Wakuu, kati ya kampuni hizi hapa ipi ni bora kwa ajili ya bima ya gari?

IMG_20240423_080800.jpg
 
kwa hizo ulizo andika Mimi naikubali Mayfair kwani ndiyo naifaham vizuri
Zanzibar insurance ni nzuri pia na inafanya kazi Bara na Visiwani
NMB Bank nao ni wakala wa Bima, wanafanya vizuri japo siwajui vizuri
 
Back
Top Bottom