Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 696
- 1,369
Wacha weeeeee.Achana na biblia kwanza,zile ni habari za middle East..hebu tufikiri nje ya box
Wacha weeeeee.Achana na biblia kwanza,zile ni habari za middle East..hebu tufikiri nje ya box
Ha haaaa kule ni kujizima data tu Kuna muda tunahitaji kuongeza maarifaMmmh..karibu ila we nadhani kule ndio kunawafaa sana..mna content za kutosha kule
Mithali 4:13...Wacha weeeeee.
Najua wengi hamtonielewa hiyo kauli😂😂Hahahahaha...
Hahahahaha...mmmmh kule nimetokea kupaogopa na kupaheshimuHa haaaa kule ni kujizima data tu Kuna muda tunahitaji kuongeza maarifa
Tueleweshe ..napenda kujifunza nijazie kwa yale niliyonayoNajua wengi hamtonielewa hiyo kauli😂😂
Dawa ya kule ni kufunga PM tu...yaani hakuna Mtu anapata taarifa zako nyetiHahahahaha...mmmmh kule nimetokea kupaogopa na kupaheshimu
Mimi ni Christian by faith Tena Ile Ile..lakini pia nimebahatika kupanua kidogo knowledge nje ya Imani yangu....So tukidiscuss mada Kama hizi Kwa kubase kwenye biblia itatubana, maana biblia inaongelea historia ya Mashariki ya kati pekee na pembe ya Africa Misri na Kushi(Ethiopia)Kwa uchache sana..Biblia haijaongelea habari za Bara la America Wala Australia Wala Mashariki ya Mbali,(China, Thailand,Malaysia,)angalau Ulaya imeongelewa kidogo kwenye Falme ya Rumi lakini si Kwa undani sana...so ndio maana nikasema tunavyoangalia haya masuala si vyema kubase kwenye kitabu kimoja ambacho ni Biblia...Biblia imekaa kiimani zaidi kuliko kinadharia,imagine story ya Safina ya Nuhu inaongelea wanyama wote walipandishwa safina,Safina ilitua milima ya Ararat wanyama wakatoka,lakini Leo hii ukienda middle East hakuna Simba Wala Twiga ,Hawa wanyama utawakuta Africa,swali fikirishi walifikaje Africa?ilhali Kuna bahari ya Hindi katikati yetu?Kuna vitu vingi sana tukiwaza nje ya box hatupati majibu nnyoofuTueleweshe ..napenda kujifunza nijazie kwa yale niliyonayo
We tiririka tu..mie nimejifunza uislam kwa kwenda madrasa..nimejifunza ukatoliki kwa kwenda mafundisho yote hadi ya ndoa...nimewahi kukaa na kuongea na Sir Andy Chande [ east Africa grand masonic master] nimefika Misri nikajifunza vichache...pia nimeishi DRC nimejifunza kdg mambo ya ki utamaduni...hivyo we kwangu ongea tu..napenda kujifunza mambo mengiMimi ni Christian by faith Tena Ile Ile..lakini pia nimebahatika kupanua kidogo knowledge nje ya Imani yangu....So tukidiscuss mada Kama hizi Kwa kubase kwenye biblia itatubana, maana biblia inaongelea historia ya Mashariki ya kati pekee na pembe ya Africa Misri na Kushi(Ethiopia)Kwa uchache sana..Biblia haijaongelea habari za Bara la America Wala Australia Wala Mashariki ya Mbali,(China, Thailand,Malaysia,)angalau Ulaya imeongelewa kidogo kwenye Falme ya Rumi lakini si Kwa undani sana...so ndio maana nikasema tunavyoangalia haya masuala si vyema kubase kwenye kitabu kimoja ambacho ni Biblia...Biblia imekaa kiimani zaidi kuliko kinadharia,imagine story ya Safina ya Nuhu inaongelea wanyama wote walipandishwa safina,Safina ilitua milima ya Ararat wanyama wakatoka,lakini Leo hii ukienda middle East hakuna Simba Wala Twiga ,Hawa wanyama utawakuta Africa,swali fikirishi walifikaje Africa?ilhali Kuna bahari ya Hindi katikati yetu?Kuna vitu vingi sana tukiwaza nje ya box hatupati majibu nnyoofu
Hebu endelea naeza kujifunza kitu kwako..Mimi ni Christian by faith Tena Ile Ile..lakini pia nimebahatika kupanua kidogo knowledge nje ya Imani yangu....So tukidiscuss mada Kama hizi Kwa kubase kwenye biblia itatubana, maana biblia inaongelea historia ya Mashariki ya kati pekee na pembe ya Africa Misri na Kushi(Ethiopia)Kwa uchache sana..Biblia haijaongelea habari za Bara la America Wala Australia Wala Mashariki ya Mbali,(China, Thailand,Malaysia,)angalau Ulaya imeongelewa kidogo kwenye Falme ya Rumi lakini si Kwa undani sana...so ndio maana nikasema tunavyoangalia haya masuala si vyema kubase kwenye kitabu kimoja ambacho ni Biblia...Biblia imekaa kiimani zaidi kuliko kinadharia,imagine story ya Safina ya Nuhu inaongelea wanyama wote walipandishwa safina,Safina ilitua milima ya Ararat wanyama wakatoka,lakini Leo hii ukienda middle East hakuna Simba Wala Twiga ,Hawa wanyama utawakuta Africa,swali fikirishi walifikaje Africa?ilhali Kuna bahari ya Hindi katikati yetu?Kuna vitu vingi sana tukiwaza nje ya box hatupati majibu nnyoofu
Wewe Sasa ndio unaweza discuss hizi mambo Kwa upana zaidi,Kuna mkufunzi wangu aliwahi sema,huweziWe tiririka tu..mie nimejifunza uislam kwa kwenda madrasa..nimejifunza ukatoliki kwa kwenda mafundisho yote hadi ya ndoa...nimewahi kukaa na kuongea na Sir Andy Chande [ east Africa grand masonic master] nimefika Misri nikajifunza vichache...pia nimeishi DRC nimejifunza kdg mambo ya ki utamaduni...hivyo we kwangu ongea tu..napenda kujifunza mambo mengi
Ila na wewe kiboko,Hadi Sir Andy Chande vipi ulifanikiwa kupata lolote huko?Je ndio wao wanaochorachora Hizo michoro au?maana wao sio ndio wajenzi hao?We tiririka tu..mie nimejifunza uislam kwa kwenda madrasa..nimejifunza ukatoliki kwa kwenda mafundisho yote hadi ya ndoa...nimewahi kukaa na kuongea na Sir Andy Chande [ east Africa grand masonic master] nimefika Misri nikajifunza vichache...pia nimeishi DRC nimejifunza kdg mambo ya ki utamaduni...hivyo we kwangu ongea tu..napenda kujifunza mambo mengi
Kwa Sir Andy Chande nimeyapata mengi na Misri nikayapata mengine...nini sir chande hata mule masonic lodge pale posta nimeingiaIla na wewe kiboko,Hadi Sir Andy Chande vipi ulifanikiwa kupata lolote huko?Je ndio wao wanaochorachora Hizo michoro au?maana wao sio ndio wajenzi hao?
Oooh good!unajua huku nje Kila Mtu anaongea anachojua yeye Bora wewe umesikia kutoka Kwa wenyewe kabisaKwa Sir Andy Chande nimeyapata mengi na Misri nikayapata mengine...nini sir chande hata mule masonic lodge pale posta nimeingia
Naam ndio maana napenda niendelee kujifunza zaidi na zaidi kulinganishaOooh good!unajua huku nje Kila Mtu anaongea anachojua yeye Bora wewe umesikia kutoka Kwa wenyewe kabisa
Sawa sawaDawa ya kule ni kufunga PM tu...yaani hakuna Mtu anapata taarifa zako nyeti
Huyo kushoto Mbona Kama anampulizia pumzi ya uhai huyo mtoto/kiumbe aliyembeba?Mkuu hatari sana Haya mambo ngoja kwanza kabla sijakupa maelezo angalia huu kwanza,angalia vizuri uone mwenyewe kama hao walikua ni viumbe wa kawaida!
Yes huyo ni mother goddess anampa uhai huyo kiumbe,Huyo kushoto Mbona Kama anampulizia pumzi ya uhai huyo mtoto/kiumbe aliyembeba?
Kuichonga miamba inawezekana ila Sio kwa ustadi kama walivyofanya hao miungu ili tufikie hiyo tech lazima tuwe na laser tools ili kushape maumbo mbali mbali now tuna yapasua na baruti na kushape Sio kwa degree kama yale yaliyotumika kuzijenga pyramids ile tech ni balaa yaani wanasayansi bado wapo na kitendawili wale waliwezaje wezaje!Na unaamini kabisa mzungu Hana vifaa vya kuchonga hiyo miamba kweli??kama anaweza kuchonga vyuma anashindwaje kuchonga miamba?mzungu sio wa kumuamini sana anaweza kuchonga vizuri tu hapo akapuliza na material ya kulifanya jiwe limezeeka halafu akazua taharuki,,,,,maybe ni kweli maybe si kweli
Na huyo wa pili, amebeba wawili (watoto/viumbe), nae ina maana ipi?Yes huyo ni mother goddess anampa uhai huyo kiumbe,
Hii ndio prove mojawapo ya kwamba Annunak walifanya
Human creation through Advanced technology!