Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,436
- 14,222
Mkuu napiga hela mno njoo nikufundishe bure. Yaani mpaka nakosa wapi pa kuzipeleka. Nipe hela hela nikufundishe mkuu ama ngoja tuanze bure ukianza kupiga hela basi utalipiaHivi kwanini forex mtu hawezi kupiga hela bila matangazo na kuaminisha watu?