The Taliban (; Pashto: طالبان, romanized: ṭālibān, lit. 'students' or 'seekers') or Taleban (, ), who refer to themselves as the Islamic Emirate of Afghanistan (IEA), is a Deobandi Islamist movement and military organization in Afghanistan, currently waging war (an insurgency, or jihad) within the country. Since 2016, the Taliban's leader has been Mawlawi Hibatullah Akhundzada.From 1996 to 2001, the Taliban held power over roughly three-quarters of Afghanistan, and enforced a strict interpretation of Sharia, or Islamic law. The Taliban emerged in 1994 as one of the prominent factions in the Afghan Civil War and largely consisted of students (talib) from the Pashtun areas of eastern and southern Afghanistan who had been educated in traditional Islamic schools, and fought during the Soviet–Afghan War. Under the leadership of Mohammed Omar, the movement spread throughout most of Afghanistan, sequestering power from the Mujahideen warlords. The totalitarian Islamic Emirate of Afghanistan was established in 1996 and the Afghan capital was transferred to Kandahar. It held control of most of the country until being overthrown after the American-led invasion of Afghanistan in December 2001 following the September 11 attacks. At its peak, formal diplomatic recognition of the Taliban's government was acknowledged by only three nations: Pakistan, Saudi Arabia, and the United Arab Emirates. The group later regrouped as an insurgency movement to fight the American-backed Karzai administration and the NATO-led International Security Assistance Force (ISAF) in the War in Afghanistan.
The Taliban have been condemned internationally for the harsh enforcement of their interpretation of Islamic Sharia law, which has resulted in the brutal treatment of many Afghans. During their rule from 1996 to 2001, the Taliban and their allies committed massacres against Afghan civilians, denied UN food supplies to 160,000 starving civilians and conducted a policy of scorched earth, burning vast areas of fertile land and destroying tens of thousands of homes. During their rule, they banned hobbies and activities such as kite flying and keeping birds as pets, and discriminated against religious and ethnic minorities. According to the United Nations, the Taliban and their allies were responsible for 76% of Afghan civilian casualties in 2010, 80% in 2011, and 80% in 2012. The Taliban has also engaged in cultural genocide, destroying numerous monuments including the famous 1500-year old Buddhas of Bamiyan.The Taliban's ideology has been described as combining an "innovative" form of sharia Islamic law based on Deobandi fundamentalism and the militant Islamism combined with Pashtun social and cultural norms known as Pashtunwali, as most Taliban are Pashtun tribesmen.
The Pakistani Inter-Services Intelligence and military are widely alleged by the international community and the Afghan government to have provided support to the Taliban during their founding and time in power, and of continuing to support the Taliban during the insurgency. Pakistan states that it dropped all support for the group after the 11 September attacks. In 2001, reportedly 2,500 Arabs under command of Al-Qaeda leader Osama bin Laden fought for the Taliban.
Blazilian women taking a selfie and unarmed with the Taliban, But she was gang raped by 7 men in India.
- but if it was the Taliban that raped her instead, then US would've gone back to war with them.
⭐ Sulaiman Ahmed
⭐ Alex Barnicoat
⭐ Huma Zehra
Taliban imepiga marufuku wasichana kupiga simu redion
✍🏻Kwamba wana hamsha ari za wanaume na kuwafanya wawaze ngono
✍🏻Inawaondoa wanaume kwenye mood wawapo kazini
✍🏻Kwamba dini ya Kiislamu si kwamba hairuhusu maumbile tu ya mwanamke kuonekana, Bali hata Sauti ya Kuvutia inamfanya Mwanaume...
Aisee huu mwaka una nn, kila kukicha story mpya za kutatanisha, ukitulia kidogo unasikia wengine wamelianzisha huko, kwasasa naona trend ni Muslim vs Muslim vs Muslim.
Hawa watu wameamua kujiana juu.
Breaking;
Heavy clashes have erupted on the border of Afghanistan and Pakistan.
Taliban...
Taifa la Marekani liliingia vitani nchini Afghanistan kwa kisingizio cha kuitia adabu kwa vile ilikataa kumkababidhi Osama kwao aliyetajwa kuongoza uripuwaji wa majengo pacha ya New York.Vita vilikuwa ni vikali sana vilivyouwa maelfu kwa maelfu ya watu nchini Afghanistan.
Matekani hakuna...
Marufuku hiyo ya Uongozi wa Taliban umehusu Mbuga ya Wanyama ya Band-e-Amir iliyopo katika Jimbo la Bamiyan, ambapo Kaimu Waziri wa Maadili wa Afghanistan, Mohammad Khaled Hanafi amesema Wanawake wamekuwa hawazingatii mavazi ya hijabu wanapokuwa ndani ya mbuga hiyo.
Amewataka viongozi wa dini...
Utawala wa Taliban wa Afghanistan Jumatano umepiga marufuku vyama vyote vya kisiasa nchini humo ukisema kuwa ni kinyume cha sheria za kiislamu au Shariah.
Tangazo hilo limefanywa baada ya viongozi waliochukua madaraka ya Afghanistan kuadhimisha mwaka wa pili wa tangu kurejesha utawala wao mjini...
Marufuku ya saluni ya Taliban: Wanawake wa Afghanistan wanaomboleza mwisho wa huduma iliyothaminiwa.
Siku moja kwenye saluni iliwaruhusu wanawake wa Afghanistan kuzungumza katika mazingira tulivuImage caption: Siku moja kwenye saluni iliwaruhusu wanawake wa Afghanistan kuzungumza katika...
Saluni za nywele na urembo zinatarajiwa kufungwa wiki kadhaa zijazo hali ambayo inatarajia kusababisha ajira 60,000 kupotea.
Uongozi wa Taliban baada ya kuingia madarakani Mwaka 2021 uliruhusu saluni hizo kuendelea lakini wamebadili maamuzi hayo wakati ambapo tayari wamezuia Wanawake kwenda...
Jere Van Dyk alikamatwa na kushikiliwa na kundi la Taliban kwa siku 45 katika eneo lisilo la mtu kati ya Afghanistan na Pakistan, ambapo alikabiliwa na hukumu ya kunyongwa.
Kadiri matukio ya kutisha yanavyoendelea, watu kunyakuliwa na kundi la Taliban na kuuawa kwa kukatwa kichwa lazima iwe...
Hivi karibuni jeshi la Afghanistan chini ya Taliban ilionesha mamia kadhaa ya magari ya kijeshi ambayo wamesema yaliachwa na jeshi la Marekani katika haraka ya kukimbia hapo mwaka 2021.
Kwa upande mwengine ikulu ya White house imemtupia lawama za aibu hiyo raisi Trump ambaye muda huo...
Umoja wa Mataifa umesema Jumanne kwamba utawala wa Taliban nchini Afghanistan umewaarifu kwamba umepiga marufuku wanawake kufanya kazi katika taasisi hiyo, ikiwa hatua ya karibuni zaidi ya kuweka masharti kwa haki za wanawake nchini humo
Katibu mkuu wa UN, Antonio Guterres, amesema kwamba, “...
Utawala bora ni dhana pana. Hata hivyo kuzidiwa katika lolote kwenye dhana hiyo na wataliban wa Afghanistan tunapaswa kujiuliza tunakwama wapi.
Nepotism - Yale mambo yetu ya kujuana na kupeana ajira kindugu, mtaliban hana mzaha.
Enyi wenye u-bin wenye kujinasibu na vigogo madarakani au...
TalibanCopyright: Taliban
Gavana wa Taliban Muzamili aliuawa katika ofisi yakeImage caption: Gavana wa Taliban Muzamili aliuawa katika ofisi yake
Gavana wa Taliban wa jimbo la Balkh kaskazini mwa Afghanistan ameuawa katika shambulio la kujitoa mhanga linalodaiwa na kundi la Islamic State (IS)...
Afghanistan's ruling Taliban killed eight Islamic State militants and arrested nine others in a series of raids targeting key figures in a spate of attacks in Kabul, a senior Taliban government spokesman said Thursday.
The Islamic State group claimed responsibility for a deadly bombing near a...
Mashirika Matano yamechukua uamuzi huo kutokana na mfululizo wa makatazo mapya yanayowekwa dhidi ya Wanawaka Nchini humo chini ya utawala wa Taliban.
Baadhi ya mashirika hayo ni Care International, the Norwegian Refugee Council (NRC) na Save the Children ambayo yamesema hayawezi kufanya kazi...
Serikali ya Taliban inayoongozwa kwa kutumia sheria za waislamu, imeamuru wanawake wote wanaofanya kazi kwenye taasisi za kijamii waache kufanya kazi mara moja.
Juzi waliamuru wanawake wasielimishwe, hizi dini bana, yaani mwanamke huchukuliwa kama takataka, kiumbe fulani hivi kisichokua na...
Uongozi huo wa Afghanistan umedai kuwa sababu za kufanya hivyo ni kutokana na mavazi wanayovaa katika taasisi hizo kutozingatia maadili yao.
Katazo hilo ambalo limekuja siku chache baada ya Wanawake kuziwa kusoma Chuo Kikuu limekosolewa na Umoja wa Mataifa (UN) wakidai kuwa inakandamiza haki za...
Kundi la Wanawake hao wanaopinga uamuzi wa Serikali kuwazuia Wanawake kutosoma Chuo Kikuu wameingia matatizoni baada ya video zilizosambaa mitandaoni zinaonesha waandamanaji wakijikinga na wengine kukimbia kukwepa mkono wa sheria katika Mji wa Herat.
Wanawake hao walikuwa wakiandamana huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.