Ni raisi sana kuiset smartphone yako iwe kama CCTV camera, IPwebcam ndio suluisho la tatizo ilo. Fatana name mpaka mwisho wa Tutorial hii. IPwebcam is easily the best of the lot because it works through your browser, which gives it the cross platform compatibility.
Ili kuset simu yako iwe kama...
Huku kwetu Buzza mpaka Kwamtogole ukiwa na smartphone unajiunga na Instagram unatangaza uwezo wako wa kitu chochote unachoweza kufanya. Shughuli isiyohitaji mtaji mkubwa ni kufanya kazi za ndani. Kufua, kupiga pasi, kusafisha vyombo, usafi wa nyumba, kupika nk.
Si watu wengi wanahitaji...
Sasa hivi watu wako busy kuperuzi mitandaoni kwani dunia ni kama Kijiji mtu unapata vyote ambavyo unavihitaji..
Ukitaka kufurahi na kuvunja mbavu huitaji mpenzi akuchekeshe unaingia katika page za vituko unakutana na comedy.
Ukitaka mtu wa kufanya naye sex unaingia tu katika site za X...
Habari!
Kampuni kubwa ya teknolojia ya Kichina Huawei (Huawei Technologies Co., Ltd.) imezindua mradi wa ufugaji wa nguruwe kupitia teknolojia ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) Jumatatu wakati kampuni hiyo ikigeukia katika maeneo mengine ya kibiashara wakati biashara yake ya simu janja...
Asalaam aleikum. Kila siku kuna watumiaj wapya wa mitandao mbalimbali ya kijamii na internet kwa ujumla. Nichukue ukurasa huu tusaidiane kujua mitandao yenye faida kwa kila mpenda habar, maono, hekma na mambo ya kufaidisha kupitia simu ya mhusika.
Wengine wanakuwa na hamu tu ya kumilik simu...
heri nikose apps zote kwenye simu ila sio hizi mbili 🤣 🤣 🤣 🤣
apple music kwa ajili ya kusikiliza miziki
amazon kindle kwa ajili ya vitabu
labda naweza pata ya ziada apa
Habari wadau,
Leo nimeamua kuingia kwenye hii fani ya udaktari ili nami niweke neno kaa hapa chin basi uongeze maarifa. Ok nadhan kila mtu anajua kwa sasa kuna vuguvugu la chanjo dunia mzima tena mbaya zaid chanjo imekuja kipind ambacho kila mtu anamtizama mwenzake kwa jicho la mnafiki kuna...
Wachungaji ni walewale, wadau ni walewale, wenye midomo ya kusemea wenzao!
Niliwahi kusema hapa! Na narudia tena
Tatizo la Watanzania tukiwa maarufu au viongozi au wachungaji ni kujidai tunajua kila kitu!
Kiongozi wa siasa ndiye msemaji wa afya, kiongozi wa siasa ndiye mshauri wa ujenzi...
Okay, sijui kama ishawahi kuwa posted humu au la, ila tufanye kama haijawahi kuwa posted tukumbushane tu.
Najua hapo uko na smart yako moja amazing sio? 😁😁 haya basi fresh, sasa waheshimiwa hivyo vi toy vyetu amazing
mara kadhaa tunakuta vinaanza ku act tofauti na tulivyozoea mara app flani...
Habari za muda huu!
Rejea kichwa cha habari hapo Juu sisi ni waagizaji wa smartphones kwa gharama nafuu kutoka China specialized kwenye iphone na Samsung.
Mzigo hutumia siku 8-14 kwa maana haizid week 2 unakua ushapata simu yako mpya kabisa na kwa gharama nafuu mno wote tunawakaribisha
Kuanzia...
Kwa wake wanaodhani kuwa kudhibiti vyombo vya habari kuripoti habari za wapinzani kutawasaidia, wajue tu wanajidanganya kwani hivi sasa watanzania wengi wanamiliki smartphone hasa maeneo ya mijini, hivyo watazitumia kupashana habari za uchaguzi zikiwemo habari za wapinzani.
Lissu kasema...
IMEI NUMBER NI NINI?
IMEI ni kifupi cha " International Mobile Equipment Identity". Hii ni number ambayo inatumiwa kukitambua na kutofautisha
vifaa ambavyo vinatumia cellular network. Cellular network ni network ambayo unatumia kupiga simu au kuunganishwa na internet.
Kwa simu zenye sim card...
- Brand New Samsung A10s
- Boxed with 2 years warrant
Specifications
Display6.20-inch (720x1520)
Processor1.5GHz octa-core
Front Camera 8MP
Rear Camera13MP + 2MP
RAM 2GB
Storage32GB
Battery Capacity4000mAh
OS Android 9 Pie
Hello wadau! Ikiwa imebaki wiki moja tuumalize mwezi Januari, leo tujadiliane kitu kimoja. Kwa namna moja ama nyingine simu zetu za TECNO zimekuwa na watumiaji wengi sana Tanzania. Huku ikionesha kuwa asilimia kubwa ya watu walioanza kutumia smartphone kwa mara ya kwanza kulingana na tafiti zetu...
Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Samsung imekuwa kinara katika soko jipya la 'Smartphones' zenye uwezo wa 5G ikiweza kuzalisha simu za 5G takribani robo tatu ya uzalishaji wote ulimwenguni katika kipindi cha robo ya tatu (Third Quarter) kwa mujibu wa utafiti kutoka IHS Markit | Technology...
Nimepita mtandao wa Android Police ambao wameichagua Pixel 3A kuwa ndio simu bora kwa mwaka 2019. Sasa nikiangalia bei yake si ya kitoto halafu sioni kama ina watumiaji wengi Tanzania.
Sasa kwa sisi wa watumiaji wa Tecno, Samsung, Xiaomi, Oppo na nyinginezo zilizo na watumiaji wengi Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.