magonjwa ya moyo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    Watu weusi (Black African) wana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata Magonjwa ya Moyo kuliko Wazungu

    Leo katika pitapita zangu Mtandaoni nimekutana na taarifa ya kushtua kidogo kwamba Watu wenye asili ya Afrika (Waafrika Weusi) wanakuwa hatarini zaidi kupata Magonjwa ya Moyo ikiwemo Shinikizo la Juu la Damu kuliko Watu weupe (Wazungu). Hili jambo lina ukweli kiasi gani?
  2. JanguKamaJangu

    Uzito kupitiliza watajwa kuwa changamoto, wahusika hatarini kupata magonjwa ya Moyo

    "Sehemu kubwa ya jamii yetu tuliyoipata idadi kubwa ni uzito uliopitiliza ukilinganisha na wale ambao uzito upo chini, na sababu kubwa ya wale ambao uzito upo chini wengi ni kwa sababu ya upatikanaji wa vyakula vya makundi yote lakini wengine ni kuchagua kuacha kula baadhi ya vyakula vya makundi...
  3. BARD AI

    Magonjwa ya Moyo ndio Muuaji Mkuu kwasasa Duniani

    Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO), Magonjwa Yasiyoambukiza (NCD) sasa yanachangia takriban visababishi 8 kati ya 10 vinavyoongeza Idadi ya Vifo Duniani ikiwa ni ongezeko kutoka visababishi 4 vilivyoongoza mwaka wa 2000. Magonjwa ya Moyo yanazidi kushika kasi na kusababisha...
  4. Roving Journalist

    Geita: Watu 500 wafanyiwa vipimo vya magonjwa ya moyo, kati yao 290 wagundulika kuwa na changamoto

    Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) tayari wamewapima watu 500 ambapo kati ya hao 290 wamegundulika kuwa na changamoto mbalimbali za magonjwa ya moyo. Takwimu hiyo ikiwa ni siku ya sita toka kuanza kwa maonesho ya madini ya Teknolojia yanayofanyika katika viwanja vya Bombambili mkoani Geita...
  5. Roving Journalist

    JKCI kushiriki Kongamano la 8 la Dunia la wataalam wa magonjwa ya moyo kwa watoto nchini Marekani

    Madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto watano kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kushiriki Kongamano la nane la dunia la watoa huduma za matibabu ya magonjwa ya moyo kwa watoto linalofanyika nchini Marekani. Kongamano hilo linatarajiwa kuanza tarehe 28 agosti hadi 3 septemba...
  6. Roving Journalist

    Raia wa Malawi aliyetibiwa Magonjwa ya Moyo, asimulia JKCI ilivyorejesha furaha yake

    Jane Chimuyaka, raia wa Nchini Malawi aliyekuwa akisumbuliwa na Magonjwa ya Moyo ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Tanzania kwa kuanzisha matibabu ya moyo nchini kusaidia wagonjwa wa moyo waliopo Tanzania na nchi za jirani. Jane aligundulika kuwa na matatizo ya moyo kupitia kambi maalum ya...
  7. Roving Journalist

    Wataalamu wa magonjwa ya moyo 100 wa JKCI wapigwa msasa wa kuwahudumia wagonjwa wa dharura na mahututi

    Wataalamu wa magonjwa ya moyo 100 kutoka Kurugenzi ya Upasuaji ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wamepatiwa mafunzo ya kuongeza ujuzi wa jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wa dharura na mahututi. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya...
  8. BigTall

    Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete asema magonjwa ya moyo yanaweza kuepukika kwa kufuata mtindo bora wa maisha

    Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wameishukuru Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kutoa huduma za upimaji wa viashiria vya magonjwa ya moyo pamoja na ushauri wa jinsi ya kuyaepuka magonjwa hayo bila malipo yoyote yale. Huduma hiyo inatolewa katika maadhimisho ya miaka 70 ya baraza la uuguzi na...
  9. Crocodiletooth

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    No wonder this grass went viral all over the social media. With its endless health benefits, it is truly God’s gift to mankind. We can find this weed almost everywhere throughout the Philippines and mostly in warm countries. This grass is widely spread along river banks, settled areas and even...
  10. Sildenafil Citrate

    Athari za Uvutaji wa Sigara kwa afya

    Sigara huzalisha kemikali za uraibu (Nicotine) ambazo husababisha maradhi yanayo husisha mifumo mbalimbali ya mwili wa binadamu iliwemo ile ya damu, moyo na upumuaji. Pia, ni chanzo cha aina mbalimbali za saratani zikiwemo za Kinywa na koromeo, utumbo mkubwa, kongosho na mapafu. Kwa mujibu wa...
Back
Top Bottom