liverpool

  1. JanguKamaJangu

    Barcelona yatajwa kumuwania Darwin Nunez

    Wakati msimu wa 2023/24 ukielekea ukingoni, inadaiwa kuwa Klabu ya Barcelona ina mpango wa kumuuza mshambuliaji wake, Robert Lewandowski mwishoni mwa msimu huu na nafasi yake kuchukuliwa na straika wa Liverpool, Darwin Nunez. Uamuzi huo umekuja baada ya Barcelona kushuhudia wapinzani wao wa...
  2. DIDAS TUMAINI

    Uhasama wa Everton na Liverpool ulianzia hapa

    Kulikuwa na timu iliyoitwa Everton kutoka kitongoji cha Merseyside cha jiji la Liverpool nchini England. Timu hii ilikuwa ikitumia uwanja wa Anfield, uliokuwa ukimilikiwa na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu hiyo, John Houlding, mfanyabiashara mkubwa wa Freemason kutoka jiji la...
  3. JanguKamaJangu

    Klopp aelezea sababu ya mchezo wa Liverpool na Man United kuwa mgumu

    Mchezo wetu (Liverpool) ugenini dhidi ya Manchester United ni mechi maalum kwa United kuliko wanapocheza dhidi ya timu nyingine, wanacheza kwa bidii zaidi ya kawaida yao, ndio maana inakuwa mechi ngumu, hivyo ndivyo ilivyo. Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp, Aprili 7, 2024, ametoa kauli hiyo...
  4. JanguKamaJangu

    Manchester United yaipiga Liverpool 4-3 Robo Fainali ya FA Cup, Machi 17, 2024

    Manchester United imefanikiwa kuingia Nusu Fainali ya Kombe la FA (FA Cup 2023/24) kwa ushindi wa magoli 4-3 dhidi ya Liverpool kwenye Uwanja wa Old Trafford, mchezo ambao umechezwa dakika 120 baada ya matokeo ya 2-2 katika dakika 90. Kwa matokeo hayo, Man United imeungana na Coventry City...
  5. JanguKamaJangu

    Matokeo ya 1-1 Liverpool na Man City yaipa faida Arsenal kwenye EPL

    Mchezo kati ya Liverpool dhidi ya Manchester City umemalizika kwa sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Anfield, matokeo ambayo yanaipa faifa Arsenal kubaki kileleni katika Premier League kwa faida ya magoli mengi ya kufunga Magoli yaliyoamua mechi ya leo Machi 10, 2024 yamefungwa na John Stones kwa...
  6. JanguKamaJangu

    Chama cha soka Misri chavutana na Liverpool kuhusu afya ya Salah

    Suala la afya ya Mohamed Salah limesababisha mvutano baina ya Chama cha Soka cha Misri (EFA) dhidi ya Klabu ya mchezaji huyo, Liverpool ambapo kila upande unavuta upande wake ukiona una haki ya kumtumia na kujua maendeleo ya majeraha yake. Liverpool imedai afya ya mchezaji haijakaa sawa tangu...
  7. JanguKamaJangu

    FT: Chelsea 0-1 Liverpool, Carabao Cup Final 23/24, February 25, 2024

    Fainali ya Carabao Cup inaendelea kwenye Uwanja wa Wembley Jijini London. Dakika 90 zimekamilika matokeo bado ni 0-0, zimeongezwa dakika 30. Michezo michezo 8 iliyopita baina ya timu hizi, Liverpool imeshinda mara moja na sare zilikuwa nane. Ushindani ni mkali, timu zote zinashambuliana kwa...
  8. THE BEEKEEPER

    Liverpool na Chelsea Leo carabao cup mwamuzi wa kati simuelewi kabisa

    Huyu cancedo amecheza rafu ya ajabu harafu mwamuzi wa kati kaangalia tu!
  9. Andre-Pierre

    Ni miaka 60 sasa tangu mchezaji wa mwisho kuhama moja kwa moja kutoka Man Utd kwenda Liverpool

    Phil Chisnall anabakia katika vitabu vya kumbukumbu kama mchezaji wa mwisho kuhama direct toka Man Utd kwenda Liverpool baada ya hapo haijawahi kutokea tena. Alifanya uhamisho huo mwaka 1964. Man Utd & Liverpool ni wapinzani kweli katika mpira na uhasama wao ulifanya mechi zao ziwe zinachezwa...
  10. mwanamwana

    Kocha Jurgen Klopp atangaza kuachana na Liverpool mwisho wa msimu huu 2023-2024

    Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp ametangaza kuachana na timu hiyo mara baada ya msimu huu kwa kile alichosema kwamba ‘amechoka’. Klopp alijiunga na Liverpool Oktoba akitokea Borussia Dortmund ya Ujerumani na mkataba wake wa sasa na timu hiyo unafikia mwisho mwaka 2026 lakini ameamua kuachana na...
  11. JanguKamaJangu

    Majeraha ya paja yamuondoa Mo Salah AFCON, kurejea Liverpool kwenda kutibiwa

    Uongozi wa Timu ya Taifa ya Misri umethibitisha kuwa mshambuliaji wao Mohamed Salah (31) amerejea katika klabu yake kupatiwa matibabu zaidi baada ya kuumia misuli ya paja katika mchezo dhidi ya Ghana kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Salah au Mo Salah ataukosa mchezo wa leo Januari 22...
  12. Maghayo

    Vita ya Israel na Gaza kuikosesha ubingwa liverpool EPL

    Mzuka wanajamvi. Vita inayoendelea sasa hivi Gaza kati ya Israeli na Hamas itaikosesha ubingwa wa ligi kuu ya uingereza mpira liverpool. Liverpool ambayo imeishinda usiku huu Newcastle United kwa magoli 4-2 nakuongoza kwa point 3 mbele ya Aston villa ambayo ni ya pili inahofia sana hii vita ya...
  13. JanguKamaJangu

    Liverpool 0-0 Manchester United, Desemba 17, 2023

    Liverpool ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Anfield imelazimishwa matokeo ya 0-0 dhidi ya Manchester United katika mchezo wa Premier League ambapo Liverpool ilipewa nafasi kubwa ya kushinda kutokana na kuonesha ubora katika michezo ya hivi karibuni tofauti na wapinzani wao. Matokeo hayo...
  14. JanguKamaJangu

    Kwa kikosi hiki cha Man United unadhani dhidi ya Liverpool itakuwaje?

    Jumapili ya Desemba 17, 2023, Saa 1:30 Usiku, Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag anatarajiwa kuwa na mtihani mgumu wa kuivaa Liverpool katika mchezo wa Premier League kwenye Uwanja wa Anfield, huku akiwa na orodha ndefu ya wachezaji wa kikosi cha kwanza anaotarajiwa kuwakosa. Marcus...
  15. JanguKamaJangu

    Man City na Liverpool ngoma yaisha kwa sare ya 1-1, Guardiola na Nunes warushiana maneno

    ManchesterCity imeendelea kushika usukani wa Premier League kwa kufikisha pointi 29 licha ya kulazimishwa sare ya goli 1-1 katika mchezo dhidi ya Liverpool yenye alama 28 kwenye Uwanja wa Etihad, leo Novemba 25, 2023 Erling Haaland amecheka na nyavu upande wa City dakika ya 27 huku...
  16. Kunguru Mjanja

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Full name: Chelsea Football Club Nickname(s): The Blues, The Pensioners Founded: 10 March 1905 League: Premier League Website: ChelseaFC.com Ground: Stamford Bridge, (Capacity: 41,663) - Pitch 103m x 67m Owner: The consortium of Todd Boehly, Clearlake Capital Group, Hansjörg...
  17. Cannabis

    Shabiki wa Liverpool alalamika kutolewa uwanjani huku mechi ikiendelea kwa sababu ya kuvaa koti lenye ujumbe wa "Free Palestine"

    Shabiki wa Liverpool amelalamika mtandaoni kwa kitendo cha kuondolewa uwanjani kwa sababu ya kuvaa koti Lenye ujumbe wa "Free Palestine". Shabiki huyo aliondolewa uwanjani na vyombo vya usalama vilishinikiza avue koti hilo na kutupa bendera ya Palestina kabla ya kuruhusiwa kurudi uwanjani...
  18. K

    Mohamed Salah wa Liverpool alaani mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza!

    Tumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji watatu wameshasimaishwa. Mchezaji mahiri na mashuhuri Duniani anaechezea Liverpool amejitokeza rasmi...
  19. The Boss

    List ya viungo 70 Liverpool wamewafatilia

    Interesting... viungo 70 sio mchezo.. 1.macalister. 2. sobozlai 3.manu Kone 4jude Bellingham 5.moise Caisedo 6.Romeo Lavia 7.Enzo Fernandez 8.Declan Rice 9.nicola Barela 10.cheick Doucore 11.Kalvin Philips 12. boubacar Camara 13.ibrahim Sangare 14. matheus Nunez 15.Conor Gallagher 16.joao...
  20. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Sasa ni Rasmi Liverpool ni epl tittle contender!

    Niliwapa man city kutetea na Arsenal kuwa challenger mzuri msim Huu 2023/2024,lakin KWA usajili wa moises caicedo KWA pound million 106 kwenda liverpool,sasa majogoo wa jiji liverpool ni team ya kuogopwa na vigogo wote pale epl! Midfield ya caicedo,macalister na Dominic szoboslai ni combination...
Back
Top Bottom