Barcelona yatajwa kumuwania Darwin Nunez

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,339
5,562
Wakati msimu wa 2023/24 ukielekea ukingoni, inadaiwa kuwa Klabu ya Barcelona ina mpango wa kumuuza mshambuliaji wake, Robert Lewandowski mwishoni mwa msimu huu na nafasi yake kuchukuliwa na straika wa Liverpool, Darwin Nunez.

Uamuzi huo umekuja baada ya Barcelona kushuhudia wapinzani wao wa jadi, Real Madrid wakitwa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uhispania (LaLiga)

Lewandowski (35) amesaliwa na miaka miwili katika mkataba wake lakini Brcelona inataka kumuuza ili kupunguza kiwango kikubwa cha mshahara ambacho klabu hiyo inapambana nacho.

=============

Barcelona 'line up shock summer swoop for Liverpool striker Darwin Nunez - with the Catalan giants looking to sell Robert Lewandowski this summer to comply with LaLiga's salary cap'

Barcelona have reportedly earmarked Liverpool's Darwin Nunez as a potential successor to Robert Lewandowski.

The legendary Polish striker netted a first-half penalty on Saturday as Xavi's side suffered a 4-2 defeat against Girona at the Estadi Montilivi.

Failure to secure three points saw Real Madrid crowned champions of LaLiga for a record-extending 36th time and reports suggest Xavi is already planning for a summer rebuild after falling short in the title race.

Since arriving at the club in a £42.5m deal from Bayern Munich in 2022, Lewandowski has remained one of Barca's highest-earners amidst ongoing financial troubles.

The 35-year-old still has two years remaining on his current deal, but Barca look set to attempt to offload him in the summer to ensure they comply with a £175m salary cap imposed by LaLiga earlier this season.

Despite the club's faltering form this season, Lewandowski has remained consistent in front of goal, and any potential replacement would be required to pick up where he left off.

According to a report by The Sun, Barca feel like Nunez is capable of taking on the mantle and are prepared to meet Liverpool's asking price for the Uruguayan forward.

Source: Dailymail
 
Kibu Denga atadakwa juu kwa juu na Barcelona FC maana ni bonge la striker.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom