Habari wanaJamiiForums
Karibu kwenye uzi wetu mpya unaolenga kila kitu kuhusu Digital Marketing!
Katika enzi ya kisasa ya kidijitali, kuelewa wa uuzaji wa kidijitali ni muhimu kwa biashara, wajasiriamali, na mtu yeyote anayejitahidi kujenga uwepo mtandaoni. Uzi huu unalenga kuwa kitovu cha...
-Ni wazi kwamba dunia nzima matumizi ya simujanja(smart phones) na kompyuta yametawala kwa kiasi kikubwa.
-Ni vyema kwa serikali kuanzisha mfumo utakaojulikana kama NATIONAL DIGITAL MARKETING (NDM) ambapo itakuwa ni teknolojia ya habari na mawasiliano katika nyanja ya biashara na masoko...
Tufaidishane pengine tukaokoa watu wengi kutotapeliwa au kuingiza faida.
Kuna namba ilinitumia message telegram wakidai wao ni kampuni ya marketing za online ambapo wanafanya media buy wakishirikiana na makampuni mbalimbali. Wanachofanya ni ku-recruit watu kufanya kazi ya ziada binafsi...
Leo nimesikia kitu kilichonifurahisha sana kutoka wa waziri wa fedha wakati akiwasilisha bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2023/2024 nalo ni kuja na mpango wa kuanza kukusanya Kodi kwenye matangazo ya biashara mitandaoni.
Sijajua kwa upande wa Serikali ukiachana na kukusanya Kodi kwenye...
Digital Marketing - moja ya mada zinazotajwa sana haswa katika fursa za mtandaoni. Wafanyabiashara wengi wanasifu kuwa ni njia muhimu sana katika ukuzaji wa biashara. Kitu ambacho vyuo vingi vimeanza mafunzo ya kozi za digital marketing, lakini hii haimaanisha ni lazima uwe na college degree...
Service yangu ni kwa ajili ya watu wanaotaka kuwa na Vipindi vya Kuvirusha kwenye youtube
instagram na Facebook ...
Nakutengenezeae account ya Youtube
instagrama na facebook kama hauna
then nakuandalia ratiba ya kupost ya mwezi mzima kulingana na huduma unayotoa
au biashara unayofanya ...
Kuanzia kwenye uchumi mpaka kwenye maisha yetu ya kila siku hatuna watu ambao watatuambia kitu ambacho mtu wa Kawaida hawez kukiona
Mfano
Ukienda ulaya utaona planning y miji katika nchi za ujerumani ni tofauti na France, Spain, na england, kote huko ukienda unakuta na upangaji wa miji unique...
Habarini wakuu
Mimi ni mjuzi mzuri wa masuala ya digital marketing haswaa.
Ila nimekua nikijikita kwenye ishu nyingine kwa muda mrefu sasa ukiachana na hizi mambo za marketing. Sasa nimeona ni muda muafaka wa mimi kutumia ujuzi huu nilionao kuniingizia kipato zaidi.
Je nikifungua digital...
Unahisi kuna lugha ngapi duniani?
6,500-7,117.
Tena hizi ni zile zinazojulikana na zikiwa kwenye hatari ya kupungua.
Vipi kuhusu zile ambazo hazijulikani?
Wewe je unajua na kuzungumza lugha ngapi mbali na Kiswahili, Kiingereza na lugha ya kabila yako (Kilugha)?
(Washiriki wa mafunzo ya...
MASOKO YA KIDIGITAL I(digital marketing) ni nini?
MASOKO KWA NJIA YA KIDIGITALI ni matumizi ya mtandao yaliyoanza kuibuka kuanzia miaka ya 90 mpaka 2000 yaliyokuwa na lengo la kuendeleza shughuli za kunadi masoko kwa uuzaji bidhaa mitandaoni/ na services (shughuli) kwa kutumia vifaa vya...
Siku hizi suala la Marketing limehamia mtandaoni, si Tv, magazeti, mabango, wala Radio zinazoweza kushindana na digital katika kutangaza.
Nimekuwa natangaza biashara facebook/insta. Ni msitu mkubwa na changamoto ni nyingi. Na ili upate matokea yote inabidi kuielewa vizuri. Bado najifunza lakini...
Upi mtandao sahihi zaidi wa kijamii unaoweza kuutumia kutangaza biashara yako mtandaoni?
Tangu kuvumbuliwa kwa mtandao wa intaneti miaka 60 iliyopita, mapinduzi ya teknolojia yamerahisisha mawasiliano kwa kiasi kikubwa. Moja ya mabadiliko hayo ni uwezo wa kuwafikia watu wengi kwa muda mfupi...
Vacancy title: 84 Digital Marketing Interns
Abel & Fernandes Communications
Job Description
We are looking for an enthusiastic, fast-learning digital marketing intern to join our growing team helping our clients achieve great results through effective digital marketing campaigns.
You should be...
Hello wadau,
Natafuta mtaalamu mwenye uwezo wa kutengeneza na kuchanganya high quality graphics na videos kwa ajili ya marketing. Sifa:
1.) Awe na ujuzi wa kutengeneza na kuchanganya sauti, video na graphics kwa kiwango cha juu.
2.) Ajue kiingereza na kiswahili vizuri sana, kuongea na...
Biashara na matangazo ya karne ya 21 yanategemea sana teknolojia. Tunaishi ulimwengu wa dijiti hivyo kila kitu hakina budi kufanywa kidijitali. Unaweza kuwa na biashara yako au kampuni yako inayotoa huduma ama bidhaa imara na uhakika kabisa lakini usipotumia bidii kujitangaza unaweza kuzidiwa na...
Africa 118 - Infomoby which provides a digital marketing platform for small and medium-sized enterprises (SME’s) in Africa, and NORAD (Norwegian Agency for Development) partnered to make it easier for Ethiopian businesses to develop an online presence and to market their services to an...
Kuna website and androids apps inayopatikana play store kwa jina la SOKOVITU, ni apps nzuri kwa ajili ya advertisement ya Real estates, Magari, aina mbalimbali za Nguo pamoja na aina zote za kilectroknis, pia website yao ni www.sokovitu.com, Ingia playtore pakua apps kwa jina la SOKOVITU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.