Wakuu kwema?
kuna Post yangu nilileta hapa kuwa kama una idea yeyote tuje tuifanyie kazi for free bila malipo yeyote
Nimefunga huu mjadala rasmi.. sipokei tena maombi nimepokea request nyingi saana nyingine nimezikubali na nyingingine nimezikataa kuna watu nimefanya nao kazi huku...
Habari na poleni na majukumu wanajukwaa,
Hivi karibuni nimekuwa nikijihusisha na kutengeneza web applications zinazojumuisha maswala ya malipo. Kwa kipindi hicho chote, nilikuwa natumia APIs za Stripe. Kama mnavyojua, Stripe ni ya nchi za magharibi hivyo ukiwa nchi zetu hizi mara nyingi utaweza...
Position: Software Developer Cum Development Operations Engineer
Role Summary:
A Software Developer cum Development Operations Engineer is responsible for building and maintaining systems, implementing daily code changes based on emerging insights. This role involves overseeing software...
Position Title: Senior Software Developer Consultant
Work station: Dar-es-salaam, Tanzania
Employment type: Contract based
Duration: 12 Months
Application deadline: 27th January 2024: 1700hrs
Job Duties/Responsibilities:
Confirms project requirements by reviewing program objective, input...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu
kuwa mimi ni web developer kwa miaka takribani 5
ninafahamu PHP, Javascripty,Mysql,CSS,
pia nafahamu laravel na codeignter kwa ufasihi mkubwa pia nafahamu
Kotlin pamoja na Java nafahamu vizuri kabisaa frameworks ya Java spring.
lengo la...
Habari
Naitaji Full Stack Javascript Developer Or ( Front end na back end mkafanya team )
Pamoja Na Mob Developer ( Flutter or React Nqtive Dev )
Call: 0678650509
NB: Lazima muwe based on Dar Es Salaam
Wakuu, Mimi ni software developer. Natengeneza App kwa ajili ya kutumika kwenye simu za Apple(iphones).
Nafanya research nipate kujua ios version gani inatumika na watu wengi hapa Tanzania ili niweze kuwaletea App yangu na muweze kuitumia.
Hivyo naomba kufahamu ios version ya ngapi mnatumia...
Position: Software Developer (4 Posts)
Location: Arusha, Tanzania
Duration: Full Time
Key Responsibilities
– Maintain and develop the existing Management Information System comprising of Apps and Web Applications each sharing data across each other.
– Collaborate with sales and marketing...
Ukiachana na serverless backend kama Firebase, Supabase, etc. Ni Framework gani inamfanya developer awe productive zaidi kati ya Laravel na Django?
Binafsi, huwa natumia Node js kufanya backend lakini pia nimefanikiwa kutumia serverless backends (Firebase &, Supabase).
Changamoto kubwa ya node...
Baada ya kutumia Flutter kwa takribani miezi 6. Nimeamua kuachana nayo rasmi na kufanya Native Mobile App Development.
Hii ni kutokana na kutoridhishwa na performance ya Apps zinazotengenezwa kwa Flutter kulinganisha na Native Apps.
Kwa sasa nina wiki moja tangu nianze kujifunza kutengeneza...
Position: Fundraiser / Business Developer
The Fundraiser / Business Developer will
· Research for prospect donors: Family Foundations, CSR Programs, HNWI who focus on disability, and/or poverty alleviation in East Africa. Initiate, develop and manage the relationship with these donors
·...
Natafuta mtu anayeweza kutengenezea CRM ya kiswahili.
Iwe web based na app.
Iwe nyepesi na inayoweza kuload haraka hata kwa internet isiyo strong.
Hosting na kila kitu inakuwa kwenye servers zetu wenyewe.
Parameters tayari zipo ni ku customize na kuifanya kuwa rahisi kutumia.
Tayari tumekuwa...
Habari wanajf,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi ni self taught web/wordpress developer
Natafuta kazi kama website/wordpress developer
Niko tayari kufanya kama freelancer,part time, remote au full time.
Kama unamjua mtu yeyote mwenye connection ya kazi, au unaijua web development...
Coders / Developers mnacode mkiwa mmejifungia chumbani au mnatembea na laptop kama mimi kwa ajili ya kubadilisha mazingira ya kazi.
Nipo zangu zanzibar nakula upepo huku kazi ikiendelea
Habari wana JF, Mimi ni Developer ( Web & Mobile ). Nina uzoefu na web development upande wa Backend na Frontend. Pia nimejifunza mobile app development kwa Flutter na nimefanikiwa kufanya project kadhaa ndogo ndogo kwa ajili ya kujiimarisha na kupata uzoefu wa kile nilichojifunza.
Kwa sasa...
Kwa mtu aliesoma kitabu hicho chini naomba title. Nimekiokota mtandaoni chapter moja tu, hakina title book.
Nimevutiwa nacho ninahitaji title na mwaandishi ili niweze kukidownload. Thanks
Price yangu ni affordable na ya makubaliano.
Nina Business Centric Approach, yenye lengo ya kuipush idea yako ifanikiwe kwenye market ikiwemo na ushauri wa bure jinsi gani inaweza fanikiwa.
Technologies ninazotumia;
1. Laravel (version 6 up to 8)
2. Vuejs(Version 2 up to 3)
3. Database(Mysql)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.