developer

  1. CodeX

    Natafuta Google Developer Console

    Habari wakuu. Nahitaji mtu mwenye Google Developer Console niweze kununua. Nahitaji kwa Ajili ya kuendeshea blog. Napatikana 0692 76 33 06
  2. C

    Marejesho Mimi ni software Developer mwenye idea aje tulifanyie kazi

    Wakuu kwema? kuna Post yangu nilileta hapa kuwa kama una idea yeyote tuje tuifanyie kazi for free bila malipo yeyote Nimefunga huu mjadala rasmi.. sipokei tena maombi nimepokea request nyingi saana nyingine nimezikubali na nyingingine nimezikataa kuna watu nimefanya nao kazi huku...
  3. covid 19

    Nahitaji developer nitayefanya naye kazi zangu

    kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nahitaji developer anayejua kudesign website nitayefanya nae kazi zangu tafadhali nicheki inbox chap
  4. Drone Camera

    Developer Account Azam Pay

    Habari na poleni na majukumu wanajukwaa, Hivi karibuni nimekuwa nikijihusisha na kutengeneza web applications zinazojumuisha maswala ya malipo. Kwa kipindi hicho chote, nilikuwa natumia APIs za Stripe. Kama mnavyojua, Stripe ni ya nchi za magharibi hivyo ukiwa nchi zetu hizi mara nyingi utaweza...
  5. Jamii Opportunities

    Software Developer Cum Development Operations Engineer at Mwiba Holdings Limited February, 2024

    Position: Software Developer Cum Development Operations Engineer Role Summary: A Software Developer cum Development Operations Engineer is responsible for building and maintaining systems, implementing daily code changes based on emerging insights. This role involves overseeing software...
  6. Jamii Opportunities

    Senior Software Developer at Tabono Consult January, 2024

    Position Title: Senior Software Developer Consultant Work station: Dar-es-salaam, Tanzania Employment type: Contract based Duration: 12 Months Application deadline: 27th January 2024: 1700hrs Job Duties/Responsibilities: Confirms project requirements by reviewing program objective, input...
  7. C

    Mimi ni Web developer na Mobile dev nina wazo njoo tu discuss

    Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu kuwa mimi ni web developer kwa miaka takribani 5 ninafahamu PHP, Javascripty,Mysql,CSS, pia nafahamu laravel na codeignter kwa ufasihi mkubwa pia nafahamu Kotlin pamoja na Java nafahamu vizuri kabisaa frameworks ya Java spring. lengo la...
  8. Jozedan56009

    Full Stack Developer Needed

    Habari Naitaji Full Stack Javascript Developer Or ( Front end na back end mkafanya team ) Pamoja Na Mob Developer ( Flutter or React Nqtive Dev ) Call: 0678650509 NB: Lazima muwe based on Dar Es Salaam
  9. African Geek

    Kwa wenye iphone, Naomba mnisaidie kunitajia ios version zenu 🙏

    Wakuu, Mimi ni software developer. Natengeneza App kwa ajili ya kutumika kwenye simu za Apple(iphones). Nafanya research nipate kujua ios version gani inatumika na watu wengi hapa Tanzania ili niweze kuwaletea App yangu na muweze kuitumia. Hivyo naomba kufahamu ios version ya ngapi mnatumia...
  10. Jamii Opportunities

    Software Developer (4 Posts) at Jumla Africa September, 2023

    Position: Software Developer (4 Posts) Location: Arusha, Tanzania Duration: Full Time Key Responsibilities – Maintain and develop the existing Management Information System comprising of Apps and Web Applications each sharing data across each other. – Collaborate with sales and marketing...
  11. African Geek

    Framework gani ya backend inafanya uwe productive zaidi? Laravel / Django

    Ukiachana na serverless backend kama Firebase, Supabase, etc. Ni Framework gani inamfanya developer awe productive zaidi kati ya Laravel na Django? Binafsi, huwa natumia Node js kufanya backend lakini pia nimefanikiwa kutumia serverless backends (Firebase &, Supabase). Changamoto kubwa ya node...
  12. run CMD

    Software developer

    Haya macoder Fursa hiyo changamkieni
  13. African Geek

    Nimeachana Rasmi na Flutter. Sasa ni ios/SwiftUI

    Baada ya kutumia Flutter kwa takribani miezi 6. Nimeamua kuachana nayo rasmi na kufanya Native Mobile App Development. Hii ni kutokana na kutoridhishwa na performance ya Apps zinazotengenezwa kwa Flutter kulinganisha na Native Apps. Kwa sasa nina wiki moja tangu nianze kujifunza kutengeneza...
  14. Jamii Opportunities

    Fundraiser / Business Developer at The Accessibility Institute

    Position: Fundraiser / Business Developer The Fundraiser / Business Developer will · Research for prospect donors: Family Foundations, CSR Programs, HNWI who focus on disability, and/or poverty alleviation in East Africa. Initiate, develop and manage the relationship with these donors ·...
  15. Makirita Amani

    Anahitajika CRM Developer (Ya Kiswahili).

    Natafuta mtu anayeweza kutengenezea CRM ya kiswahili. Iwe web based na app. Iwe nyepesi na inayoweza kuload haraka hata kwa internet isiyo strong. Hosting na kila kitu inakuwa kwenye servers zetu wenyewe. Parameters tayari zipo ni ku customize na kuifanya kuwa rahisi kutumia. Tayari tumekuwa...
  16. rutajwah

    Website developer (wordpress developer) Natafuta Kazi

    Habari wanajf, Husika na kichwa cha habari hapo juu, Mimi ni self taught web/wordpress developer Natafuta kazi kama website/wordpress developer Niko tayari kufanya kama freelancer,part time, remote au full time. Kama unamjua mtu yeyote mwenye connection ya kazi, au unaijua web development...
  17. African Geek

    Unafanya coding ukiwa kwenye mazingira gani?

    Coders / Developers mnacode mkiwa mmejifungia chumbani au mnatembea na laptop kama mimi kwa ajili ya kubadilisha mazingira ya kazi. Nipo zangu zanzibar nakula upepo huku kazi ikiendelea
  18. African Geek

    Naombeni mchango wa mawazo juu ya hii Project.

    Habari wana JF, Mimi ni Developer ( Web & Mobile ). Nina uzoefu na web development upande wa Backend na Frontend. Pia nimejifunza mobile app development kwa Flutter na nimefanikiwa kufanya project kadhaa ndogo ndogo kwa ajili ya kujiimarisha na kupata uzoefu wa kile nilichojifunza. Kwa sasa...
  19. T

    Msaada wa utambuzi wa kitabu kutoka kwa java developer

    Kwa mtu aliesoma kitabu hicho chini naomba title. Nimekiokota mtandaoni chapter moja tu, hakina title book. Nimevutiwa nacho ninahitaji title na mwaandishi ili niweze kukidownload. Thanks
  20. Kuchwizzy

    Natoa huduma za Website and Mobile Application Development

    Price yangu ni affordable na ya makubaliano. Nina Business Centric Approach, yenye lengo ya kuipush idea yako ifanikiwe kwenye market ikiwemo na ushauri wa bure jinsi gani inaweza fanikiwa. Technologies ninazotumia; 1. Laravel (version 6 up to 8) 2. Vuejs(Version 2 up to 3) 3. Database(Mysql)...
Back
Top Bottom