Tupe mifano zilivuja lini mitandaoni mfano humu jamiiforums kwenye jukwaa la michezo ?
Hapa bongo penyewe tunajua kuna wachezaji wanacheza hii michezo ya kujifungisha huwezi kuzikuta hizi siri zinazagaa mitandaoni, ikitokea hivyo Fifa wakijua wanaweza kufungia mpaka timu.
sasa hao ni wachezaji wamo ndani ya team inakuwa siri ya wachache sana haipaswi kuvuja nje maana ikivuja tu ni kesi nzito sana hii,
sio vitu vya kuvujisha kwa watu mtaani waviuze kwa elf 20,
Mfano ile mechi ya Simba kupigwa 5G unakuta ilikuwa ni siri ya Manula na watu watatu tu, sio vitu vya...
Hili siamini mkuu labda uwe na connection ya wachezaji wa timu wakuhakikishie watajifungisha
Kwa sasa labda uniambie Bayer Levikusen ntakuelewa lakini nae anapewa odds ndogo sana, makampuni ya kubeti yashaziba huu mwanya
Nilitembelea website flani wanaposti mikeka imetiki yani sure odds fixed matches, nikalipa dola 30 takribani shilingi elf 80 kuungwa kwenye group, humo ndani ni upuuzi mtupu game wanazoweka ni chache zenye odds za 1.01 yani ukiweka laki ushinde buku lakini ukija kwenye website zao wanadanganya...
Kitu chenye baraka wengi hukiombea wakipate, kinyume chake watu huomba kiwaepuke
Kwa imani zetu huwa tunaamini Mungu anahusika kwenye uumbaji hivyo hata mlemavu ni kazi yake, akipanga uwe na mtoto mlemavu kuna tatizo ?
Naleta hii mada sababu inafikia kipindi wazazi wanafungia watoto wao wenye...
Soma post nzima, hata dada zako / mama yako anaweza kuwa na mme tajiri lakini ndoa haina furaha, wanaanza kumuonea wivu mke wako kisa unamletea vizawadi, kumtoa out, n.k.
Sisi wanaume ni ngumu kujua hatujapewa huo uwezo machoni, labda iwe ni wazi wanaonesha hawampendi.
Sababu ni hizi
𝗪𝗶𝘃𝘂
Ukute wewe ni mtu unaewajibika kwa mkeo, unampenda na kumjali na unamtunza vyema mkeo,
dada yako mama yako pengine aidha hana ndoa kabisa ama aliolewa akaachika ama yupo...
1. kijana wa kuuza duka ambae kashinikizwa na wazazi/ ndugu, hawa mara nyingi wamekubali kazi kwa msukumo tu kishingo upande, ni ngumu kufanya kazi kwa kujitoa
2. Ndugu wa mke - hakikisha wanakaa mbali sana na biashara, ni watu wanaoweza kuvuruga biashara na hata ndoa yako.
3. Rafiki yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.