epuka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Epuka kuajiri makundi haya ya watu kwenye duka/ biashara yako

    1. kijana wa kuuza duka ambae kashinikizwa na wazazi/ ndugu, hawa mara nyingi wamekubali kazi kwa msukumo tu kishingo upande, ni ngumu kufanya kazi kwa kujitoa 2. Ndugu wa mke - hakikisha wanakaa mbali sana na biashara, ni watu wanaoweza kuvuruga biashara na hata ndoa yako. 3. Rafiki yako...
  2. Kaka yake shetani

    Epuka hili, tafadhali

    Jamaa mmoja alifungua duka basi marafiki zake, familia, na majirani walinunua bidhaa kwake na wengine wakikopa, Baada ya miaka kadhaa, hiki ndicho kilichosalia. Mara nyingine tunakubali ndio wakati tungepaswa kusema hapana. Unakubali ndio ukifikiria unawasaidia watu lakini kwa kweli unapoteza...
  3. G

    Nakutahadharisha ewe ndugu yangu unayejiita jasiri, epuka kulitaja jina lile

    Japo haijatajwa sababu ya kwann umeshushwa kwenye bajaji na ukapandishwa kwenye bodaboda, lkn mtazamo wa wengi ni kwamba uliendelea kusifia jina la bosi wako wa zamani ukalididimiza na kulidhihaki la huyu wa sasa. Ukataka kujivika ushofeli na umwamba kwa kuyaazima matendo na maneno ya lile jina...
  4. Ushimen

    Epuka na usikubali kushauriwa na watu hawa katika Ndoa/Mahusiano yako.

    1. Ikiwa unapitia changamoto yeyote, usije ukaomba ushauri kwa Ex kwasababu huyu atakushauri kwa kusukumwa na wivu ama hisia. 2. Jitahidi kuto mshirikisha rafiki wako wa karibu changamoto za mahusiano yako kwasababu, huyu ni rahisi kukushauri kwa kutumia hisia kwasababu atayabeba maumivu yako...
  5. Suley2019

    Epuka kujenga uadui na mwenzio kisa eti anaunga mkono chama tofauti na chako

    Salaam Wadau, Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo katika mfumo wa Vyama vingi vya Siasa. Kwa maana hii, Wananchi wamekuwa wafuasi wa Vyama mbalimbali. Baadhi ya Vyama vina ushawishi Mkubwa na wafuasi wengi kuliko wengine. Kumekuwa na tabia baadhi ya Wananchi (Wanachama) hasa wa Vyama vikubwa...
  6. M

    Mwijaku anasema ukiwasikiliza watu utakufa maskini. Epuka watu wanaokuambia unajidhalilisha, fainali ni uzeeni

    Mwijaku anasema ukiwasikiliza watu utakufa maskini. Epuka watu wanaokuambia unajidharirisha, fainali ni uzeeni.
  7. JituMirabaMinne

    Epuka jambo hili kama gari yako imeibiwa masega(Catalytic converter)

    Jambo la kuepuka ni kuweka masega ya kuchomelea iwapo engine ya gari yako itakuwa na EGR. EGR huwa inarudisha kiasi fulani cha moshi kwenda mahali ambako mafuta yanaungua(combustion chamber), kwa ajili ya kupunguza joto(combustion temperature) hivyo kupunguza pia kutengenezwa kwa Nitrogen Oxide...
  8. Nyafwili

    Ikiwa wewe ndiye Masikini zaidi kati ya ndugu zako, epuka mikusanyiko ya Kifamilia

    Umaskini ni mbaya sana, hasa pale ikiwa ndani ya ukoo wewe ndiye maskini zaidi kuliko wengine, epuka mikusanyiko ya familia hadi uwe na pesa. • Ikiwa unajua wewe ndiye masikini zaidi kati ya ndugu zako au hufanyi vizuri kwenye masuala ya kifedha, ninapendekeza uepuke matukio ya familia au...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    Usitoe mahari, epuka mila potofu

    Kwema Wakuu! Nasisitiza, vijana kama ulikuwa ni mpango wako kutaka kuoa mwaka huu kwa kutoa mahari. Sitisha! Usitoe mahari. Ila ni vizuri kwenda kujitambulisha kwao na kwenu. Kama kuna uwezekano fanyeni sherehe ndogo kulingana na uwezo wenu. Kamwe Usitoe mahari. Mahari ni kununua binadamu...
  10. kavulata

    Yanga epuka mpango wa kusajili washambuliaji dirisha dogo, walioko wanatosha kabisa

    Kuna wadau wanaotaka Yanga kuongeza washambuliaji dirisha dogo. Siungi mkono kwakuwa walioko wanatosha na kupitiliza. Timu ya Yanga Ina magoli mengi ya kufunga kuliko timu nyingine ya ligi hivi sasa kwenye ligi. Kwenye mashindano ya CAF timu zote hata zile kubwa zenye washambuliaji Bora ikiwemo...
  11. Petro E. Mselewa

    Epuka porojo, zijue takwimu za Yanga na Ihefu. Yanga iko juu!

    Tafadhali mfuatiliaji na mpenzi wa soka, epuka porojo. Puuza upuuzi unaoenezwa kuwa Yanga, bingwa mtetezi wa Tanzania, ni kibonde wa Ihefu FC ya kule Mbarali Mbeya. Tangu Ihefu ipande Ligi Kuu, imecheza na Yanga mara tano. Kati ya hizo, Yanga imeshinda mara tatu. Ihefu imeshinda mara mbili...
  12. P

    Rais Samia, kwa unyenyekevu mkubwa epuka huo mtego

    Mheshimiwa Rais, suala la Mkataba wa Bandari limefichua nyufa kubwa za Taifa letu hasa katika suala la Dini, Muungano, Ukabila, Ukanda, Jinsia na Itikadi za Siasa. Sasa naomba nikushauri kwa unyenyekevu mkubwa epuka mtego wa wasaidizi wako hasa huu wa kukamata watu na kuwaambia ni wahaini. Huu...
  13. Powell Gonzalez

    Epuka gharama kwa kuacha kununua vitu visivyo vya lazima, tumia mbinu hizi

    Bila shaka kila Mtu ameshawahi kununua kitu alafu baadae akajihisi kama anajutia kukinunua Aidha Kwa sababu hakina umuhimu au kimemuingiza gharama zisizo za msingi.Hapa mara nyingi vitu kama simu,vifaa vya usafiri,nguo na vitu vingine ambavyo ni luxurious huwa vinahusishwa. Mimi Kwa utafiti...
  14. sinza pazuri

    Epuka matapeli. Kamala Harris hamjui msanii yoyote kwenye playlist inayozunguka

    Huo ni mchongo wa kuokota trend songs za wiki hii huko apple music kisha unadanganya waafrica. Hauitaji kuwa genius kuona ilo. Wabongo tupige kazi tuufikishe mbali muziki wetu safari yetu bado ni ngumu. Huyu mmoja anaetuwakilisha nje siku hatokuwepo na tutarudi enzi za dharau. Say no tu janja...
  15. klinbritetz

    Kadiria Kodi kabla ya 31-March, epuka penati isiyo ya lazima ya Biashara au Kampuni yako

    Habari, Mtanzania mwana JF, Makadiro ya Kodi ni Kwa kila mlipa kodi. Huwa yanafanyika muda wowote kuanzia tarehe 1,January hadi tarehe 31,March kila mwaka Kwa Yeyote atakae chelewa kufanya makadirio, kwa sasa, siku moja baada ya tarehe 31, March kunachaji(penati) ya Tsh 225,000 kwa KILA mwezi...
  16. sky soldier

    Tuache lawama za kurogwa: Kama ukoo wenu kuna ugonjwa/ulemavu wa kurithishwa epuka kuzaa na mtu mnaefanana. Ualbino, Uziwi, Kifafa, n.k vinaepukika

    Na uzuri ni kwamba sayansi imekuwa kwa sasa, tunaweza kupima dna kujua kama watoto ni wetu lakini pia tunaweza kupima dna kutambua kama tumebeba genes zenye magonjwa ya kurithi kama vile ualbino, uziwi, ububu, ulemavu wa akili, n.k. Mangonjwa yanayoweza kurithika hutokea pale ambapo watu wawili...
  17. Achapombe cha pombe

    Epuka kuandika matusi na maneno machafu kwenye Simu yako

    Simu zetu Zinatunza kumbukumbu na mara nyingi hukuletea maneno unayoandika kwamba kama ndilo uendelee na kuchapa sentence. Ubaya hutokea pale unapoandika haraka haraka na kutuma sms au ujumbe Kwa wapendwa na watu wetu muhimu. Hii inawakuta wengi wanapochapa maneno na kuletewa neno kama chaguo...
  18. Sildenafil Citrate

    Dhibiti matumizi ya sukari za nyongeza ili uimarishe afya yako

    Changamoto za kiafya huja kwenye nyakati tunazotumia sukari nyingi za nyongeza, ambazo wazalishaji wa vyakula na vinywaji viwandani huiongeza ili kuboredha (kuongeza) ladha. Aina hii ya sukari ni hatari kwa afya ambapo tafiti za kisayansi huihusisha na mambo yafuatayo- Kuongezeka kwa uzito...
  19. Contraband

    Unapotaka kufanya biashara epuka kabisa madalali wa uswahilini. Kilichonikuta kimenipa funzo

    Nipo kwenye mkoa mmoja kwa muda sasa kikazi. Baada ya kukaa kufikiria kwa muda mrefu sana, nikaona ni vema nikijenga ka kibanda cha kujisitiri. Basi katika kuulizia ulizia kuna mtu mmoja alifanikisha kuniunganisha na madalali na akaniahidi kuwa ni wa uhakika katika biashara za viwanja...
  20. Mkurya romantic

    Ushauri: Epuka kufanya haya kwenye uhusiano wako

    Katika harakati zako za kutafuta mpenzi, unaweza kukutana na mwanamke ambaye kwa sababu moja au nyingine anakuondolea uwezo wako wa kufikiri, kutumia mantiki na pia kutumia akili yako ya kuzaliwa. Si lazima awe amekufanyia kitu, lakini inaweza kuwa ni ulevi wako tu unaosababisha ufanye mambo...
Back
Top Bottom