Nilitembelea website flani wanaposti mikeka imetiki yani sure odds fixed matches, nikalipa dola 30 takribani shilingi elf 80 kuungwa kwenye group, humo ndani ni upuuzi mtupu game wanazoweka ni chache zenye odds za 1.01 yani ukiweka laki ushinde buku lakini ukija kwenye website zao wanadanganya wanaweka mikeka ya mechi zilizokuwa na odds kubwa kwamba imetiki.
Nikaja hapa bongo kuna mdau alikuwa anapost hizi sure bets na mikeka, na kuna watu wanasifia kabisa wameshinda kumbe ni yeye mwenye anajichatisha, nililipa elf 15 ili niungwe group, muhuni sana huyu anapost odds baada ya mechi kuisha ukienda page yake anaweka mikeka imetiki itakuwa ana edit
Nikaja hapa bongo kuna mdau alikuwa anapost hizi sure bets na mikeka, na kuna watu wanasifia kabisa wameshinda kumbe ni yeye mwenye anajichatisha, nililipa elf 15 ili niungwe group, muhuni sana huyu anapost odds baada ya mechi kuisha ukienda page yake anaweka mikeka imetiki itakuwa ana edit