Search results

  1. S

    Namuona Amos Makalla akichua mikoba ya Makonda na John Mongela akichukua nafasi ya Naibu Katibu Mkuu Anamringi Macha!

    Baada ya mabadiliko ya Mwenezi ndani ya chama cha Mapinduzi kuna kila dalili ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kurithi mikoba ya Makonda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha! Pia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongela kuna kila dalili ya kujaza nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa...
  2. S

    Bashe, ulishafeli kwenye mbolea na kwenye hili huwezi kufanya maajabu!

    Katika Wizara ya Kilimo msimu ulipita 2022/2023 kwenye usambazaji wa mbolea hukufanya vizuri. Pia kwenye kugawa pikipiki kwa Maafisa Kilimo mlilolifanya maana jana bado hatujaona impact yake. Kwenye kumshauri Rais vizuri juu ya kufunga ama kufungua mipaka pia hukufanya vizuri, ndio maana...
  3. S

    Rais Mwinyi Zanzibar anawapambania wananchi wake kuhusu gharama za chakula! Bara Bashe anawakazia wananchi!

    Sisi huku Tanzania bara viongozi wetu wanakwama wapi? Gharama za chakula ziko juu Waziri anaulizwa anaongea brahbrah hakuna sauti thabiti ya serkali! Bashe na Mwigulu hamna kitu pale ni kulinda masrahi ya wachache tu! Saizi wanao uza chakula nje sio wakulima ni wafanya biashara kwa hiyo...
  4. S

    CCM endeleni kujidanganya mmesahau kabla 2015 mlikuwa mnazomewa na sare zenu za kijani!

    Serikali hii iliingia kwa mbwembwe mara chanjo ikadunda! Mara kufungua nchi na safari kibao lakini hamna la maana linaloonekana kwenye maisha halisi! Kurudisha wezi na wababaishaji kama akina Makamba! Mara Royal tour ujinga huu wa ajabu kabisa usio na tija kwa taifa letu! Bila kujipanga...
  5. S

    MWANZA: Hivi RC Adam Malima kaletwa kwa kuwa ana uwezo au mkakati tu wa kisiasa?

    Nasema hivo kwa kuwa tokea aingie kinachofaanyika ni ujuaji na kubishana tu na watendaji wenzake! Mosi! Mfano mzuri ni ujenzi wa jengo la uwanja wa ndege MWANZA maana mkuu wa mkoa amesikika akibishana na TAA ambayo imepanga kuanza ujenzi wa jengo kubwa ambayo itaaccomodate abiaria wa...
  6. S

    Rais Samia: Makamba kwenye nishati atakufelisha! Umeme unakatika mno!

    Kama unapenda aendelee kuwa waziri sasa unaweza kumbadilisha vizara ila kwa wizara ya nishati kusema kweli ni changamoto kubwa: Watu wanalia kila kukicha lakini wewe kuna uwezekano hupati taarifa sahihi,ila naomba ujue hali sio nzuri! Gharama za maisha zimepanda watu wa ofisi ndogondogo kama...
  7. S

    Maajabu ya Mbowe, Fatma Karume na Zitto: Wako kimya licha ya gharama za maisha kupanda. Kipindi Magufuli kaziba maslahi yao kelele kila siku!

    Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana. Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia! Mfano ni Zitto Kabwe kipindi...
  8. S

    Raphael Chegeni, ulijidai chawa na kutoa kejeli kwa Magufuli naona leo umeyapata majibu!

    Mkiambiwa chama kipo kwa mwenye nacho mnajidai kuwa chawa mkumbukwe! Kwanza mjue kabisa Samia na kundi lake hawana mipango na nyinyi watu wenye nasaba na Magufuli iwe kwa maeneo mtokayo nk! Chegeni alipopigwa chini kwenye ubunge alijua adui yake ni Magufuli bila kujua kuwa Chegeni CV yako ya...
  9. S

    Wana-Kagera, bila kubadilika na kukubali kuwa Kagera ni ya Watanzania wote, mtabaki kama mlivyo

    Nasema hivyo kwa sababu makao makuu ya mkoa na wilaya zake yanasikitisha! Kila mradi wa serkali bukoba lazima uwe na ubishani na ujuaji unaosababisha kuchelewesha mradi! mfano ujenzi wa stendi mpya hadi sasa bado haujaanza ukiulizia sababu za msingi hamna! Ukabila na ubaguzi kwa wageni...
  10. S

    Rais watu wa Kusini mwa Tanzania utawatembelea lini?

    Nasema hivyo kwa sababu! Rais wetu kashafanya ziara ndani ya nchi yetu hususani kwenye mikoa ile ile mara mbili au tatu lakini hatujaona ikifanya hivyo kusini mwa nchi! Mfano Rais wetu katembelea mara tatu mwanza na geita pia kwa kanda ya ziwa! Pia Arusha na Kilimanjaro katembela nako sio...
  11. S

    Serikali ya Kuupiga Mwingi: Badala ya kuzungumzia maisha ya watu mitaani mnaendekeza majungu

    Serkali hii itahukumiwa na wananchi kiutendaji si kwa sababu Magufuli alifanya vibaya au vizuri! Magufuli tayari ni mfu hana cha kujitetea hata tutukane vipi yeye kashatenda yake mabaya au mazuri shauri yake na Mungu wake! Kujificha kwenye kivuli cha Magufuli kuwa alikuwa mbaguzi ni kwa wale...
  12. S

    Serikali tunaomba upanuzi wa barabara ya kutoka Usagara mpaka Mjini Mwanza. Hii barabara ni kero na haiendani na hadhi ya Jiji la Mwanza

    Ukiwa unaingia katika JIJI la MWANZA utakutana na barabara nyembamba na iliyojaa viraka kila kona! Tunaomba SERKALI kwa kushirikiana na Halmashauri ya JIJI la MWANZA kuweka budget ya kuijenga barabara hii! Pia kwa sasa kuna ujenzi wa stendi kuu ya Nyegezi haitapendeza kama barabara hii...
  13. S

    CHADEMA mnatakiwa sana kujifunza na kukubali kuwa kukosoana, kuvumiliana ndo sehemu ya demokrasia

    Nalisema hili kutoka na tabia ya baadhi ya CHADEMA kuwa ma mtazamo kama ifuatavyo: I) Baadhi ya wanaCHADEMA wamekuwa waligombana sana na watu walio kinyume na sera zao! Mfano mtu akitoka wazo tofauti juu ya CHADEMA inachokiamini watu wa chama hiki hujitokeza kuta kejeli na matusi kama...
  14. S

    Chris Lukosi: Gharama za kusafirisha kontena kwenda Bandari ya Dar es Salaam zimepanda sana

    Ukimsikiliza huyo bwana hapo analalamikia gharama za kusafirisha container 40 fit umefikia mpaka US dollar 2300-2500 wakati bandari ya Mombasa ni US dollar 1300 anasema kuna hatari ya wateja kukimbia kama serkali haitachukua maamzi kuzuia hiyo hali!
  15. S

    Mbowe: Utawala wa Magufuli uliwatesa sana watu wa Kilimanjaro na Arusha!

    Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa! Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo! Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
  16. S

    Uchifu ni ushirikina, ukabila na kafara

    Jamii ya watanzania ilishatoka huko kwenye uchifu! Na huu upuuzi ukiendekezwa utaturudisha nyuma sana hasa kwenye baadhi ya jamii kwa kuongeza ushirikina na uchawi hivyo kupelekea mauaji kila kona ya nchi! Ukitizama nchi ya Nigeria ina matatizo mengi sana kwa kuwa inaruhusu uchifu kitu ambacho...
  17. S

    Jeshi la polisi na wananchi tushirikiane kukomesha mauaji yanayoongezeka nchini sasa

    Siku za hivi karibuni mauji ya wananchi yameonesha kuongezeka na kuripotiwa kwa wingi na hali hii ni hatari kwa usalama wa raia! Mfano wa matukio kwa uchache! I) Jana tu watu watano huko bahi Dodoma wameuwa! ii)Wiki hii wanzoni wanawake watatu huko mwanza miili yao iliokotwa wakiwa...
  18. S

    Rais Samia anajua akikopa asilimia 21 ya mkopo unaenda Zanzibar. Watanganyika wamelala usingizi

    Hata hii trillion 7 wanayopigia kelele zanzibar itapata trillion 1.3 kwa hiyo yenye faida ni zanzibar ila watanganyika faida ni ndogo ukilinganisha na eneo na idadi ya watu! Rais kwa kuwa ni Mzanzibar anatumia ho mwanya ila kwa vile watanganyika hatuwezi kuhoji na ukihoji unasakamwa kama...
  19. S

    Hivi wafanyakazi wa TRA mna matatizo gani? Mnaomba omba hela za rushwa kila huduma kwa mteja!

    Juzi juzi mwisho wa mwaka nilienda TRA kuulizia nadaiwa kodi kiasi gani mfanyakazi anaomba elfu 15 ili aniangalizie! Nikamuuliza ya nini? Akajibu siunajua bro ya maji kidogo! Nimenda tena jana kufanya bond cancellation ili wafanye bond cancellation wanataka hela yaani ni tabu tupu! Nimebana...
  20. S

    Awamu ya Sita imeshakopa Trillion 10 ndani ya miezi 9 madarakani. Tunaomba ufafanuzi

    Mbatia katika hotuba yake ya mwisho wa mwaka alisikika akisema mpaka sasa Serkali ya awamu ya sita imeshakopa takriban Trillion 10 tokea iingie madarakani! Nauliza kwanini serikali haiji kutoa ufafanuzi wa kutosha badala yake kufunika funika mambo?. Mheshimiwa Spika Ndugai japo kaomba msamaha...
Back
Top Bottom