Kaka kwenye kuwekeza kijeshi siyo lazima kununua vifaa vya biliions of Dollar. Juzi tuu hapo rwanda kanunua drones zina tumika na lile kundi lake lipo kule Congo ,haya sisi tuna hata hizo drones, tunajua hata kuzitumia, iraq umeona zile drones walitumia kupiga Israel sisi tunayo hata 1, ile moja...
Hao WAMAREKANI wanaonyesha kubeba mizigo tuu ?!
Si wana onyesha na technologies zao kwenye mambo mengine na vifaa vyao advanced. Hao wameonyesha nini zaidi ya mizigo ?
BYD, XIAOMI au kampuni yoyote ya magari ije pia iwekeze Tanzania aisee. Dah Xiaomi mbaya sana kwenye EV yaani najua kabisa Elon Musk kila akilala lazima aote gari za Xiaomi zikiwa zina mkimbiza 😂
Alafu waandishi wa habari walivyo kuwa wanafiki wana andika kabisa eti BALAA LA MAKOMANDO WA JWTZ.
😂😂😂😂 Sasa hapo kuna balaa gani, au kubeba mizigo ya kilo 70 ndiyo balaa lenyewe.
Badala ya kuonyesha vifaa vya kisasa wao wana beba mamizogo ya kuvunja migongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.