TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,931
- 21,703
Kwa nini mkuu ucheke?Nimejikuta nacheka
Kwa nini mkuu ucheke?Nimejikuta nacheka
Alafu waandishi wa habari walivyo kuwa wanafiki wana andika kabisa eti BALAA LA MAKOMANDO WA JWTZ.Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.
Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles,. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??
View attachment 2974562
Kaka, majeshi yote hufanya uwekezaji kulingana na hali ya maendeleo ktk sekta ya ulinzi. Aidha, nguvu ya kijeshi kwa nchi za kawaida huwa ni siri. Mataifa yaliyoendelea na baadhi ya mataifa ya Afrika ndio huweka wazi taarifa za maendeleo ya kijeshi. Nakumbuka kuna sherehe za maadhimisho ambapo tulionesha uwezo wetu wa kimapigano! Vifaa na dhana kadhaa za kijeshi vilionyeshwa! Kila jambo hufanyika kwa kusudi maalumUkomavu huu wakingese kabisa wakija wale wakoloni kutaka kutufanya watumwa tena itakuwa kazi ndogo kwao. Tunahitaji kuwekeza kwenye mbinu mpya hata uwe na kachupi unaweza fanya maangamizi sio kubeba mizigo kama watalii wa kizungu wa miaka ya 90’s.
Hamna kitu walevi tu ninyi. Ndiyo maana mnapambana kujitofautisha na raia kwa mavazi badala ya mbinu za kivita. Hopeless!Ujinga ni kuamini na kujua kuwa kinachofanywa ktk hayo maonyesho ndio ulinzi...
Mengine yapi sasa mbona hatuwaoni? Wengine tulienda mpaka jeshi hatukuyaona tukaamua kutupa kuleMsingi wa jesh kolote duniani ni ukakamavu!. Mengine yanafuata
🤣🤣🤣🤣Miaka yote ni marobota ya kilo 70Nimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.
Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??
View attachment 2974562
Unaona hizi akili finyu sasa?? Marekani alikuwa anapigana na Iraq, wako bara moja?Nani hapa Africa tuingie nae uhasama kiasi kwamba atutumie hizo drones??
Ni Bora tungeonyesha how tume be advanced kwenye technologyNimechukizwa sana kuona majeshi yetu yanaonesha umahiri wao wa kubeba kilo 70 za mizigo. Nilitegemea ktk zama hizi jeshi liwe linafanya vitu visivyohitaji nguvu bali viwe vinahitaji akili na maarifa zaidi.
Wenzenu huko duniani wanatengeneza supersonic missiles. Silently triggered guns, invisible drones, camouflaged warships, n.k. Ninyi mnahangaika kubeba mizigo??
View attachment 2974562
Benki na TRA kuna mabadiliko mengi sana. Miaka ya nyuma matumizi ya teknolojia ktk malipo ya Kodi TRA, ama kufanya miamala benki ilikuwa lazima ifanywe ofisini.Siyo Jeshi tu hata sekta zingine zinapaswa kuonyesha umahiri wa technolijia. Sasa jiulize wewe kwenye sekta yako kuna kipi kipya kinachoendana na wakati au ndiyo ile kutoa kibanzi kwenye jicho la mwingine ilhali nawewe una boriti jichoni?
Jaribu hii mkuu 2115 maana inabadilika badilika sana 😆😆😆Ni namba ngap dstv?
Sawa mkuu 😂Jaribu hii mkuu 2115 maana inabadilika badilika sana 😆😆😆
Kwahiyo mmeamua kuonesha jinsilivyo nyuma kivita?? M23 (wahuni wa msituni tu) wanatumia mapanga halafu wanawaueni?? Inashangaza sanaHalafu kwenye maadhimisho kama haya tuje tuwaoneshe hadharani namna tulivyoendelea kijeshi?
Yale makomando wa jwtz yanauwezo wa kudaka mdomoni hizo drone na kuzitema kuzipelekea zilikotokaYaani nimesikitishwa sana na nilicho kiona leo pale uhuru stadium. JESHI MAMBO MENGINE YANGELIBAKI KUWA SIRI ZA JESHI TU. 🙄😤 Hebu imagine yale ma drone Iran yalivyo tulizwa wenge juzi na jeshi la Israel hebu imagine 😌 halafu angalia sisi 😂 si bora tufiche mambo mengine aisee.
Wanataka wanajeshi wakate mishahara yao wakanunue Missiles? If the policy aren't tight, How can JWTZ be good.Hapo nimeoa ni makomando, hebu jaribu kucheki na makomando wa wenzetu, nadhani nao watakuwa hivyo hivyo.
Kuhusu suala la silaha bora, shidani serikali yetu, elimu duni, pesa wananunulia mavieite.
Watasema ni ume wa hack kumbe ni open channelSisi bado sana..
Wanajesh wanaingia kambini na smartphone za kampuni tofauti...
Kuna siku nilkuwa naset 'radiocall' kuweka channel moja hiv..nikakamata mawasiliano ya maafande...duh
Watapigika vibaya sana hawa. Kama wahuni wa M23 tu wa hapo Congo wanawafyeka, Somalia watawamaliza.Tuwaombee mechi ya kirafiki na somalia ili kupima ukomavu wao