Kufuatia mvua zinazoendelea nimegunduwa tiles zinaingiza maji, nini tatizo?

Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Mkuu hapo chimba kisima tu iko siku utajukuta unaogelea ukiwa ndani
 
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Ikiwa tiles zinaingiza maji wakati wa mvua, tatizo linaweza kuwa kwenye ufungaji wa sakafu au katika muundo wa jengo.
Ikiwa ufungaji wa tiles haukufanywa vizuri, kuna nafasi ya maji kuingia kati ya tiles na sakafu chini yake. Hii inaweza kusababisha ukungu na hatimaye maji kuingia ndani ya nyumba.
Katika hali mbaya zaidi, tatizo linaweza kuwa kwenye muundo wa jengo lenyewe. Kuvuja kwa maji kutoka kwenye paa au kuta kunaweza kusababisha maji kupenya kupitia sakafu.
logo geology.png

+255754933110
EMAIL:mininggeologyit@gmail.com
MINING GEOLOGY IT TUNA WAKARIBISHA WATEJA WOTE WENYE ENEO LAKO UNALOTAKA KIJIOLOJIA KUANZIA MAKAZI,KILIMO,UTAFITI WA MADINI NA UCHIMBAJI ,MASOKO NA LESENI KWENYE TASNIA YA ICT.
 
Ikiwa tiles zinaingiza maji wakati wa mvua, tatizo linaweza kuwa kwenye ufungaji wa sakafu au katika muundo wa jengo.
Ikiwa ufungaji wa tiles haukufanywa vizuri, kuna nafasi ya maji kuingia kati ya tiles na sakafu chini yake. Hii inaweza kusababisha ukungu na hatimaye maji kuingia ndani ya nyumba.
Katika hali mbaya zaidi, tatizo linaweza kuwa kwenye muundo wa jengo lenyewe. Kuvuja kwa maji kutoka kwenye paa au kuta kunaweza kusababisha maji kupenya kupitia sakafu.
View attachment 2974735
+255754933110
EMAIL:mininggeologyit@gmail.com
MINING GEOLOGY IT TUNA WAKARIBISHA WATEJA WOTE WENYE ENEO LAKO UNALOTAKA KIJIOLOJIA KUANZIA MAKAZI,KILIMO,UTAFITI WA MADINI NA UCHIMBAJI ,MASOKO NA LESENI KWENYE TASNIA YA ICT.
Naheshimu maoni positive yóte na ushauri uliotolewa, ila hapa kuna kitu kipya nimekipata, ili la kuvuja kwa maji kwenye paa ni kweli lipo.

Maana kipindi najenga sebule, dining room na corridor niliweka tarazo, kwa sababu expensinsive sana kipindi hicho ndio bedroom nikaweka tiles.

Na shida iko chumba kimoja tu, na ukichunguza kwa makini si zaidi ya tiles 6 ambazo ndio unaona eneo hili ndio linakuwa wet, siyo kwa mimaji kibao no.
 
Mkuu hapo chimba kisima tu iko siku utajukuta unaogelea ukiwa ndani
Kipindi cha nyuma eneo letu lilikuwa na shida kubwa ya maji, tulikuwa tunanunuwa maji kwenye matoroli, nilichimba kisima cha kienyeji.

Baada ya dawasa kutuletea maji kile kisima situmii tena maji yake ni ya kumwagilia mauwa tu.

Kwahiyo kisima kipo nilikijengea.
 
Kuna sehemu aliposema amepanga? Au ameedit?
Keyboard prediction ilikuwa on, lakini kwa mtu mwenye akili timamu Para za mwisho zimejieleza vizuri tu.

Huyo humjui tu, namuweka kiporo leo kuna watu wamenisii, nilikuwa nataka kumpa full dose asinizowee tena.

By the way mimi kwanza siwashangai lolote watu ambao hawajajenga kila mtu na mfumo wake wa maisha, na wengine wamepanga lakini wana nyumba zao.
 
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Hii na mimi imenikuta mwaka huu.kona zote za sebulen zimeingiza maji mimi naona ni water table imekua juu sabab mvua imekua nyingi mwaka huu.ila mimi sabab nimeihisi ni sebulen nilichimba ipo chini kama 2 steps kwenda chini kuliko sehem zingine so mm hili ndo tatizo.So hii shida kwako si tiles kama wengine wanavyosema.
 
Back
Top Bottom