Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 38,123
- 80,088
Huyu wa hapa atakua wa piliUmewahi kumsikia Rear Admiral mjamaica ambae ndio mkuu wa majeshi ya Jamaica? Na ndio mwanamke wa kwanza duniani kushika wadhifa huo?View attachment 2974680
Huyu wa hapa atakua wa piliUmewahi kumsikia Rear Admiral mjamaica ambae ndio mkuu wa majeshi ya Jamaica? Na ndio mwanamke wa kwanza duniani kushika wadhifa huo?View attachment 2974680
Alikua sio major ni Major GeneralSio Brigedia, ni hadi major alikuwepo, Zawadi Madawili.
Molali yaani unamaanisha ????Wanawake wenyewe jeshini wa kuhesabu, hawaendi kwenye uwanja wa mapambano wapo kwa ajiri ya molali tu
Admiral Lisa Franchet -mkuu wa jeshi la wanamaji (Navy) huko Marekani.Kwa upuuzi wa watawala wa Tanzania inawezekana mwanamke kuwa mkuu wa majeshi lakini Kwa Nchi zinazojitambua kama huko ulaya huwezi kusikia huo upuuzi.
Why notHuyu wa hapa atakua wa pili
Israel, Eritrea and North KoreaWanawake jeshini hupelekwa Frontline vitani?
Tuanzie hapo.
Inawezekana km yule Zawadi Madawili hv alistaafu au badoWhy not
Wakitukatia umeme hatukuona chochote.Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
Haitakaa itokee kwa sasa labda uko baadaye sanaaaa miaka 100 ijayo.Huyu mama sio kabisa, kakosea sana kuzungumza hivi. CDF Mwanamke HAPANA
Hivi unajua kuna kazi nyingine huwa nature yake inahitaji jinsia fulani.. na nature ni kitu natural sasa ukienda kinyume na nature lazima matatizo yajitokeze.Ukuu wa Majeshi ni kazi yenye 'nature' ya jinsia ya kiume,
Huwezi peleka mwanamke uwanja wa vita ikianza kupigwa mizinga wanableed maumbile ya kike hayataki shuruba saana.Sijawah kusikia mwanajeshi mwanamke kauwawa vitani,
Wote ambao nawaona na kuwasikia ni wanaume tu
Hivi wanawake huwa hawaendagi huko kupigana ??
😁😁😁Huwezi peleka mwanamke uwanja wa vita ikianza kupigwa mizinga wanableed maumbile ya kike hayataki shuruba saana.
Kwa vita za kisasa hizi sawa maana vita za siku hizi zinapigana kwa computer kama games vile..mwendo wa drone tu.
Kati ya nchi hizo,Israel, Eritrea and North Korea
USA,Canada,Germany,Australia
Norway,Denmark,Finland,Sweeden
New Zealand ,France,India
Hizo nchi zinaruhusu wanawake kwenye uwanja wa vita...
Na nchi zinazidi kuongezeka...
Namnukuu Mbowe "...."why not, and we have sitting woman president and Commander in chief of defense forces 🐒
"mmekua laini zaidi ya maini"Namnukuu Mbowe "...."
majanga ya kiasili hayanaga wa kulaumiwa 🐒Anawaza Utawala, Uarabu na UANAMKE bila kusahau kulea UFISADI.
Jangwani ni kama hawapaoni, Saivi mtu unatumia masaa mawili kwa elfu 5-10 kutoka Magomeni mpaka Fire.
Madafanta🚮
We know that, hatutakiKisa? CDF ni management nani kasema wanaenda front au lazima arushe mapanga?
hakuna haja kuiga wengine wamefanyaje au wanafanyaje 🐒Ngoja nigoogle niangalie ni nchi gani tangu kuumbwa kwa dunia imewahi ongozwa na cdf mwanamke .