Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 1,177
- 2,229
kwan umehama ulponambia nije umehamia pm🙄Slide pm
kwan umehama ulponambia nije umehamia pm🙄Slide pm
Mtoe 'out' wkend ndefu hiiNapiga timing, ubovu sio mtu wa movie sasa ningemjazia majina ya movie tam tam
Subiri kadi ya mchangoMtoe 'out' wkend ndefu hii
unakuta unamheshimu mtu kinyama kumbe ana ujinga wa kuzalisha wanawake tofauti tofauti hovyoNgoja nipachike mapacha hapa kwanza
Ko unataka nikuelekezee hapa hapa🤣🤣🤣we waiti eb acha utanikwan umehama ulponambia nije umehamia pm🙄
we mbon umenkomalia na uo u waiti au mwandiko wangu unajieleza😂Ko unataka nikuelekezee hapa hapa🤣🤣🤣we waiti eb acha utani
Akuna tabu mkuu Mungu yupo anaona.....we turingishie tuTangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi.
Leo marafiki zake wakaribu wakamuuliza, mbona mwenzetu unanawili tu na unapendeza? Akashindwa kuwajibu.
Sasa mida hii ndio tunapiga stori, ndio ananisimulia yaliyojiri huko mtaa wa pili; nami nikwamabia, kweli unapendeza na unavutia.
Akasema tangu nimekuwa na wewe sina mawazo tena, kwa nini nisipendeze?
Hapa nilipo, nimemkumbatia yuko kifuani kwangu; ukichangia na hii mvua inayonyesha! dah wananzengo msinionee wivu; pambaneni kutafuta wa kwenu.
Kumbe pa kushika papo!Hongera kwa Lucas Mwashambwa nina kg zangu 79 Mungu anipe nini mie🤸
Uache Nyeto sasa.Tangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi.
Leo marafiki zake wakaribu wakamuuliza, mbona mwenzetu unanawili tu na unapendeza? Akashindwa kuwajibu.
Sasa mida hii ndio tunapiga stori, ndio ananisimulia yaliyojiri huko mtaa wa pili; nami nikwamabia, kweli unapendeza na unavutia.
Akasema tangu nimekuwa na wewe sina mawazo tena, kwa nini nisipendeze?
Hapa nilipo, nimemkumbatia yuko kifuani kwangu; ukichangia na hii mvua inayonyesha! dah wananzengo msinionee wivu; pambaneni kutafuta wa kwenu.
Sasa mbona hujajibu swali.Nilivyoona umeniquote moyo umelipuka
Nimekumissssss😣
AnalyseSubiri azidishe mapenzi
AnalyseHongera kwa Lucas Mwashambwa nina kg zangu 79 Mungu anipe nini mie🤸
Wanajifurahisha tu hao. Huyo kada kichwani anawaza ilani ya Chama Cha mapinduzi muda wote, hana time na mapenzi
Iliani❌Wanajifurahisha tu hao. Huyo kada kichwani anawaza iliani ya Chama Cha mapinduzi muda wote, hana time na mapenzi
Lipo la kutoshaKama ana tako shukuru sana Mungu