Hapana ni pamoja na majengo ya madarasa, rasilimali zote za shule na wafanyakazi wengine kama mlinzi, wapishi, mhasibu, matron .....
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya majukumu ya walimu ni;
1.Kufundisha wanafunzi.
2.kuandaa azimio
3.kuita majina wanafunzi.
4.kusahihisha kazi za wanafunzi
5.kuandaa andalio la somo
6.kutunga & kusahihisha mitihani
7.kuwalea wanafunzi kimwili na kiroho.
8.kusimamia miradi mbalimbali shuleni
9.kutekeleza majukumu mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.