Msisitizo hapaPunguza muda wa kukaa nyumbani. Ukitoka kwenye mizunguko pitia Bar.
Ukisha rudi home utatujuza kilicho endeleaKwema watu wa mapenzi?
Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika,nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka,asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo,nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie,amenihudumia vizuri hadi raha,mpaka sasa bado niko kwake,wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupukia?
Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.
Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.
Asante.
Kula msosi sio tabu ila issue inakuja anaekupa msosi yupo katika mood gani??? Maana mood yake inaweza kukupa feeling ya msosi au ikakunyimaSasa hapo usomi na wewe kususa chakula vinausianaje? Ebu rudi home ukale msosi ukale na mpishi huko, mwanaume mzima una gubuu
Kwema watu wa mapenzi?
Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika,nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka,asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo,nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie,amenihudumia vizuri hadi raha,mpaka sasa bado niko kwake,wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupukia?
Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.
Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.
Asante.
We jamaa dishi halijayumba Kweli?Nilitaka anibembeleze
Watoto wa Mama hao wala hawakulelewa kiume ume kama sisi tusioweza kuzila hivyo vituUnazira kwenye menu?
Vitu viwili vya msingi hutakiwi kuzira, K na msosi.
Bibi Faiza false.....kama wanawake wangekua wanaishi hv ndoa nyingi zingekufa ..Mwanamme ndio wakumbebeleza mwanamke.
Tena huyo msomi wako si wa pwani huyo, angekuwa wa pwani ndio kwanza angekoleza mkaa akifukiza maudi na ma liwa kichwani, kimyaaa kitandani. Na hiyo kukuuliza utakulahuli asingekuuliza, ungekuta sahani na vyombo vina mabaki ya chakula unachokipenda, kimeshaliwa. Mwenyewe ungeomba msamaha.
Bibi Faiza False ...Mwanamme ndio wakumbebeleza mwanamke.
Tena huyo msomi wako si wa pwani huyo, angekuwa wa pwani ndio kwanza angekoleza mkaa akifukiza maudi na ma liwa kichwani, kimyaaa kitandani. Na hiyo kukuuliza utakulahuli asingekuuliza, ungekuta sahani na vyombo vina mabaki ya chakula unachokipenda, kimeshaliwa. Mwenyewe ungeomba msamaha.