cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,184
- 140,140
Hivi huyu naye ni mwanaume? Kweli wanawake wana huruma sana woiiioiiiiiih,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mwanamme ndio wakumbebeleza mwanamke.
Tena huyo msomi wako si wa pwani huyo, angekuwa wa pwani ndio kwanza angekoleza mkaa akifukiza maudi na ma liwa kichwani, kimyaaa kitandani. Na hiyo kukuuliza utakulahuli asingekuuliza, ungekuta sahani na vyombo vina mabaki ya chakula unachokipenda, kimeshaliwa. Mwenyewe ungeomba msamaha.
We kula Kwa mchepuko shushia nyagi/pombe kali hafu ukirudi home mida mibaya unaomba game la kibabe hadi akushangaeKwema watu wa mapenzi?
Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.
Jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika.
Nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka, asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo, nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie.
Amenihudumia vizuri hadi raha, mpaka sasa bado niko kwake, wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupikia chakula kikaharibika kama jana?
Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.
Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.
Asante.
Mtazamo hasiUkioa msomi hakikisha unamchepuko anayekupenda sanaaaa
Hawana thamani hao na hawajui kutimiza majukumu yao ya kijinsia huyo mkeo ndo alipaswa kuwa mchepuko wako na huyo mchepuko ndo alipaswa kuwa mkeo
Msomi akiwa mchepuko ht kulogwa ni kazi ila huwezi kuweka msomi wa kiwango hiko ndani utakuwa kichaaa wewe maana hao kwanzA wasafi nje ila ndani wachafu maana hawapendi kaZi,hawajui kupika wengi wao zaidi ya kujaza mafuta kwenye chakula, kibri, wengi wao ht mileage zinasoma sana maana wametumika sehemu mbalimbali nakuachika,hwn sociAl skills anaweza kukutia aibu ht ukiendanae msibAni,hawajui maisha wanawaza mawigi tu
Kwanini tusiwafanye michepuko sababu akili zao zipo matakoni na kwenye mawigi kweli wengi wao ni wazuri kweli kweli
Niliwahi muuliza mwanaume wangu kwann amecheat na baamedi na wadangaji akajibu hakuna tofauti ya wale na msomi mimi (yani K ni hiyo hiyo). Akili za wanaume namna wanavyotuwazia sisi wanawake no tofauti na sisi wanawake tunavyojilinganisha. Kifupi K yako ndo inapaswa ipande kiwango na sio vitabu.
Jibu lilinichosha sana
Muhimu ndoa usiikamie,muishi kiurafiki zaidi kuliko kindoa.
Mwambie asihangaike kupika hutorudiKwema watu wa mapenzi?
Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.
Jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika.
Nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka, asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo, nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie.
Amenihudumia vizuri hadi raha, mpaka sasa bado niko kwake, wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupikia chakula kikaharibika kama jana?
Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.
Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.
Asante.
Unaonekana ww nimkorofi sana!Mwanamme ndio wakumbebeleza mwanamke.
Tena huyo msomi wako si wa pwani huyo, angekuwa wa pwani ndio kwanza angekoleza mkaa akifukiza maudi na ma liwa kichwani, kimyaaa kitandani. Na hiyo kukuuliza utakulahuli asingekuuliza, ungekuta sahani na vyombo vina mabaki ya chakula unachokipenda, kimeshaliwa. Mwenyewe ungeomba msamaha.
yaani nimechekaKwema watu wa mapenzi?
Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.
Jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika.
Nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka, asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo, nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie.
Amenihudumia vizuri hadi raha, mpaka sasa bado niko kwake, wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupikia chakula kikaharibika kama jana?
Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.
Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.
Asante.
Heeee
Inawezekana anko.
Cathbert wa Kimara "SuCa" alioa mmama wa kihehe aliye soma uingereza,akaja kufanya kazi NHC,mmama akajichanga wakafungua hotel ikaitwa SUCA,mama uzungu ukawa mwingi,mume akamla ''ousigeli" na mimba juu...
Kesi ikaenda mahakamani,mbaba akajitetea alirogwa na ousigeli,ndoa ikavunjika. Kwa sasa mama yupo Malamba mawili anafuga kuku,ousigeli yupo kwenye ndoa.
Nipe K uproveHivi huyu naye ni mwanaume? Kweli wanawake wana huruma sana woiiioiiiiiih,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Niliwahi muuliza mwanaume wangu kwann amecheat na baamedi na wadangaji akajibu hakuna tofauti ya wale na msomi mimi (yani K ni hiyo hiyo). Akili za wanaume namna wanavyotuwazia sisi wanawake no tofauti na sisi wanawake tunavyojilinganisha. Kifupi K yako ndo inapaswa ipande kiwango na sio vitabu.
Jibu lilinichosha sana
Kwanini yasiendelee chezea kupenda weweNa mapenzi yakaendelea au sio..?
Kwanini yasiendelee chezea kupenda wewe
Ukweli ni kwamba hakuna tofauti kati ya K ya msomi na isiyo ya msomi.
Mahusiano ni zaidi ya kutambua hilo mkuuHongera Mkuu kwa kuwa muelewa,, utadumu sana na Stress zitapungua.
Ana akili sana huyo dada mkioa mke asiiye na kazi anakutegemea kwa kila kitu mnamnyanyasa ,hapo ndiyo panawafaa, mwanaume mzima unasusaje? Ndiyo nyie unasusa misosi yote ,mwanaume mkomavu hasusi chochote .Kwema watu wa mapenzi?
Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.
Jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika.
Nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka, asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo, nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie.
Amenihudumia vizuri hadi raha, mpaka sasa bado niko kwake, wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupikia chakula kikaharibika kama jana?
Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.
Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.
Asante.
Huyo mama ntilie ndiyo saizi yake aoe tu mama ntilieumeoa msomi wa birmingham halafu mchepuko mama ntilie
kudhira= kuzira
kila mtu anapata wa kuendana nae