ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,490
- 3,618
I think ni internal control within TRA tuMkuu acha kupotosha au kama hujui uliza uelimishwe. Ofisini kwangu ( Private sector) tumeanza kutumia TIN tangu mwezi wa 8 mwaka huu baada tu ya TRA kutoa mwongozo. Hiyo TIN hakuna makato yanayoongezwa kwenye mshahara wako isipokua ile pesa unayokatwa kodi ( PAYE) ndio sasa italipwa kupitia TIN yako na sio manually kama inavyolipwa sasahivi. Hii imefanyika ili ku control mapato yanayopatikana kupitia kodi za wafanyakazi. So usitishe watu Mkuu.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app